Hujui medani za kivita.Hiyo haipo
Uwe sehem ya mfumo badala ya kwenda Kati na kutokuwa sehemu ya mfum
Tayari ni Mmoja wa mataifa
Yasubiri yajayo, yanafurahisha!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujui medani za kivita.Hiyo haipo
Uwe sehem ya mfumo badala ya kwenda Kati na kutokuwa sehemu ya mfum
Tayari ni Mmoja wa mataifa
😂 Donatila Kulingana na biblia, huo wadhifa wa mpatanishi kati ya Mungu na wanadamu ni Yesu Kristo je, Kuhani Musa anakaimu au vipi?Kuhani na Mwalimu Musa Mwacha...
Mpatanishi kati ya Mungu na wanadamu...
Vifaa vyake vinaitwa vitakatifu au vya kiroho...
Kuna maji, mafuta nk...
Tuanze na maji, yapo ya aina nyingi...
Maji ya mfuniko mweupe ndio maji yanayofichua vilivyosirini ila ukiamini kwa jina la YESU utapata majibu...
YESU ni Kuhani Mkuu...[emoji23] Donatila Kulingana na biblia, huo wadhifa wa mpatanishi kati ya Mungu na wanadamu ni Yesu Kristo je, Kuhani Musa anakaimu au vipi?
Kuhani Musa ni msaidizi wake au?
We una ushahidi kuwa sio wapinga kristo?Mkuu HIMARS unathubutu kuwaita RC ni wapinga Kristo! Una ushahidi??
Wanao tumia ndio wanajua nguvu ya hayo maji na keki za upakoNdugu wanajamii, kuna utofauti upi wa kiimani Kati ya maji ya "baraka " na maji "ya upako"?
Je tofauti pekee ni, yale mengine kuuzwa? Au kuna tofauti zingine za ziada. Je, mkate wa Bwana na keki ya upako Vina tofauti gani?
Nashawishika kuamini kuwa bulldozer ana"copy" vitu upande wa "kanisa katoliki" na kuvi"modifai".Je kuna uhusiano upi hapo juu?
Nawakaribisha wajuzi wa mambo watudadavulie!
Hakuna kufa kule thus hatuhitaji kulaSasa tutakuwa tunaishije,si tutakufa na njaa
Huwa nasubiri siku ya mwisho nione watu watakavyoumbuka
Roho anathibitisha Walio wake wa Kweli na wa UONGO wasio wake!!Unatumia kigezo kipi?
Mi ni mkristo ila nimecheka jinsi ambavyo hukuzingatia mafundisho ya kipaimara.Eti damu kweli na mwili kweli!!!! Mwenyewe Aliumega Mkate akawapa akisema.....fanyeni hivi kwa ukumbusho wangu.Kuna utofauti mkubwa sana Bwaaa shekhe,
1.Maji ya Baraka hayauzwi ili hali yale ya upako yanauzwa.
2.Maji ya Baraka sio mali ya mtu,ili hali yale ya upako ni mali ya Mwamposa.
3.Maji ya Baraka yana nguvu ya Mungu,ili hali yale ya Upako hayana nguvu ya Mungu bali binadamu na ndio Maana yanauzwa.
Kuhusu Sakramenti na vimikate vingine
1.Sakramenti ya Ekaristi Takatifu ni mwili kweli na damu kweli ya Bwana wetu Yesu Kristo,ili hali Mikate hiyo mingine ni Mikate tu km Mikate.
2.Sakramenti ya Ekaristi Takatifu inatupa Uzima wa Milele,Wakati Mikate hiyo mingine haina uwezo huo.
3.Sakramenti ya Ekaristi Takatifu ni Kwaajili ya Wakristo Wakatoliki,tena waliojiandaa yaani wamejitakasa kwa toba,na matendo mema,ili hali Mikate hiyo mingine inaliwa na yeyote bila kujali dini yake wala hali yake Kiroho.
Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
Kwangu ni miongoni mwa vitu kama umenisoma vizuri hapo juu. Soma tena ujue wa kumtumaini bila kupitia kitu chochote (medium).Unasemaje kuhusu maji ya baraka?