Maji ya chupa ya Kilimanjaro yameanza kupotea sokoni Dar

Maji ya chupa ya Kilimanjaro yameanza kupotea sokoni Dar

Hakuna maji bora kwangu mimi kwa sasa kama hill !
hayana ladha tofauti tofauti nadhani yana tengenezwa kwa umakini sana pengine na machine zake zinaweza kuwa bora sijawahi pata ladha 2 kwenye maji ya hill
 
Ile ladha ya awali ya maji ya Kilimanjaro haipo tena.

Ndio yalikuwa maji pendwa kwa miaka mingi ila nadhani kuna aidha mchanganyaji aliondoka au wameamua kubania mchanganyiko wa awali na ndio unaowaondoka sokoni. Sio Dar tu ila mpaka mikoani.

Nimekuwa nawaza kuanzisha thread kuwasema ila nashukuru nimepata lift hapa kuyasema niliyoyasema.

Kilimanjaro water is collapsing dramatically.
Naree-nduuh
 
Majitu meusi bwana ndio maana hayaendelei hata kidogo, kuwekeana nyongo wao kwa wao kila kukicha huku biashara kubwa wakiongoza Wahindi na Warabu huku Wachaga wakichipukia tena kwa mbali basi yanaona tugawane hikihiki kidogo alichokitengeneza Mzee Mengi, Mzee Shirima, Mzee Lamwai, Mzee Laswai, Mzee Mushi huku Mzee Rakesh, Shivji, Chande, Rajan, Khan hawa hawaguswi nimiungu kwao[emoji23]
 
Ndo Mana ambaye Hana hela huwa haendi kwao Mana Hana Cha kuwavimbia wenzake so watatumwa maji ya kunawisha wenzake.
Yes wanatu motivate kwa matusi nako pia ni Aina ya lugha ya kumpatia mtu hasira.
Hakuna nouma mangi nipe hasira bana.nitukane ili nijielewe.
Baba yangu mkubwa alikuwa ni maarufu kwa kucheza ritungu Sana karibia kurya society nzima. He was very famous so now we're harvesting his seeds that he sowed that time.

Mie najua mangi wakianza kusoma miaka Ile white fathers wametua Kilimakyasharo around 1800s.
[emoji106]
 
Quality yake si ile ya kwanza. Yananunulika kidogo sana
 
Hata kabla ya Mengi kufariki, maji ya Kilimanjaro yalishapoteza ladha kabisa.

Kuanzia walipoondoa packaging ya maboksi, maji yalianza kuchakachuliwa mno na kuleta ladha mbaya.

Dew Drop madogo ndiyo maji ninayoyapenda sana.
Dew drop ni mazuri sana yanatuliza kiu ,hata chupa yake ipo classic
 
Hill Water ndiyo yanaongoza kwa kuuzika huku Dar, yakifatiwa na Afya, Masafi etc.

Maji ya Kilimanjaro yapo kwa uchache sana Madukani, sijui Bonite hawana stock ya maji au watu hawayanunui tena.

Miaka zaidi ya 20 nilikuwa nakunywa haya na nilikuwa nayapenda lakini kwa sasa quality yake imebadirika yako na chumvi
 
Hill Water ndiyo yanaongoza kwa kuuzika huku Dar, yakifatiwa na Afya, Masafi etc.

Maji ya Kilimanjaro yapo kwa uchache sana Madukani, sijui Bonite hawana stock ya maji au watu hawayanunui tena.
Hill na afya ni maji mazuri na bei yake si kubwa. Kwa nini ninunue kilimanjaro lita moja kwa 1000 wakati napata mbadala kwa 500 au 600?
 
Mbona ulikuwa unamtukana magufuli akijenga chato?
Magufuli hajatukanwa alipewa facts ni uwendawazimu kujenga international airport bila kuwa na matumizi tena Kijijini hata mimi siwezi fanya huo ujinga Kijijini kwetu, matokeo sasa uwanja unaanikia mazao, hyo yote ni misuse of government funds kwa kweli.
 
Wachaga naona mnajaribu kutengeneza chuki ya kimakusudi na makabila mengine ila muwe na uhakika itawagharimu
Sisi tunapojadili maji ya Kilimanjaro kushuka kiwango uchaga unatoka wapi hapa? muwe makini kidogo msitumie smartphone vibaya
 
Majitu meusi bwana ndio maana hayaendelei hata kidogo, kuwekeana nyongo wao kwa wao kila kukicha huku biashara kubwa wakiongoza Wahindi na Warabu huku Wachaga wakichipukia tena kwa mbali basi yanaona tugawane hikihiki kidogo alichokitengeneza Mzee Mengi, Mzee Shirima, Mzee Lamwai, Mzee Laswai, Mzee Mushi huku Mzee Rakesh, Shivji, Chande, Rajan, Khan hawa hawaguswi nimiungu kwao[emoji23]
Kwani watu wananunua kwa jina au quality ya kitu? Kwa asilimia kubwa sisi hatuna uhusiano kati ya kabila na kitu cha kununua
 
Magufuli hajatukanwa alipewa facts ni uwendawazimu kujenga international airport bila kuwa na matumizi tena Kijijini hata mimi siwezi fanya huo ujinga Kijijini kwetu, matokeo sasa uwanja unaanikia mazao, hyo yote ni misuse of government funds kwa kweli.
Hivi Magufuli ndio alikuwa mmiliki wa maji ya Kilimanjaro kumbe!! Ndio maana hayana ubora
 
Back
Top Bottom