Maji ya kilimanjaro sio mazuri siku hizi

Maji ya kilimanjaro sio mazuri siku hizi

Attachments

  • 20240830_235829.jpg
    20240830_235829.jpg
    1.7 MB · Views: 2
  • 20240830_235851.jpg
    20240830_235851.jpg
    1.1 MB · Views: 2
Watu wanaofanya kazi ya production huko acheni kutuwekea chemical nyingi hadi maji yanakuwa machungu na inaharufu ya dawa kabisa.

Haya maji ndio yalikuwa the best sasa kama mnazidisha chemikali tutaishije?

Badilikeni hadi mtu anaugua sasa kisa midawa yenu na inanuka siku hizi.

PLease. Punguzeni madawa tusipate magonjwa

Asanteni
Ni kweli, maji ya Kilimanjaro ubora wake kwa Sasa upo chini sana.
 
Hamumuelewi mtoa mada,kuna sehemu za starehe ukienda maji ndio hayo unayakuta,hawana maji mengine.
 
Watu wanaofanya kazi ya production huko acheni kutuwekea chemical nyingi hadi maji yanakuwa machungu na inaharufu ya dawa kabisa.

Haya maji ndio yalikuwa the best sasa kama mnazidisha chemikali tutaishije?

Badilikeni hadi mtu anaugua sasa kisa midawa yenu na inanuka siku hizi.

PLease. Punguzeni madawa tusipate magonjwa

Asanteni
Hawana muda wa kupata mrejesho toka kwa wateja mimi nilisha badilisha mind set
 
"siku hizi natapika"! Nakushauri ukapime ujauzito kwanza kabla ya kulalamikia maji.
Mie sio 30 mie ni 30 plus so najua missing period nini na ninafanya nini ingine mi siko double nipo single mimba labda ingie kimiujiza
 
Back
Top Bottom