Maji ya kilimanjaro sio mazuri siku hizi

Ni kweli, maji ya Kilimanjaro ubora wake kwa Sasa upo chini sana.
 
Hamumuelewi mtoa mada,kuna sehemu za starehe ukienda maji ndio hayo unayakuta,hawana maji mengine.
 
Hawana muda wa kupata mrejesho toka kwa wateja mimi nilisha badilisha mind set
 
"siku hizi natapika"! Nakushauri ukapime ujauzito kwanza kabla ya kulalamikia maji.
Mie sio 30 mie ni 30 plus so najua missing period nini na ninafanya nini ingine mi siko double nipo single mimba labda ingie kimiujiza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…