Maji ya kilimanjaro sio mazuri siku hizi

Maji ya kilimanjaro sio mazuri siku hizi

SweetyCandy

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2022
Posts
3,109
Reaction score
6,323
Watu wanaofanya kazi ya production huko acheni kutuwekea chemical nyingi hadi maji yanakuwa machungu na inaharufu ya dawa kabisa.

Haya maji ndio yalikuwa the best sasa kama mnazidisha chemikali tutaishije?

Badilikeni hadi mtu anaugua sasa kisa midawa yenu na inanuka siku hizi.

PLease. Punguzeni madawa tusipate magonjwa

Asanteni
 
Back
Top Bottom