Synod
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 4,143
- 4,180
Angalia tarakimu zako haziko sawaKila kitu kiliwezekana zamani .kama mfalme sulemani alikuwa na wanawake 1000 na Masuria 700 huku akiishi miaka 600 .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angalia tarakimu zako haziko sawaKila kitu kiliwezekana zamani .kama mfalme sulemani alikuwa na wanawake 1000 na Masuria 700 huku akiishi miaka 600 .
Wewe ndo huna akili kabsaa!!Akili yako itakuwa imelala. Kila mwaka dar mvua ikinyesha kidogo tu ni mafuriko. Je ayo maji huwa yanaenda wapi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Inabidi watu wengine umasamehe bure, maana kaelimu kadogo walichokipata wanajiona wao ndio alpha na omega
Haikutokea dunia nzima ila eneo alilokuwa anatawalahakuna gharika iliyotokea kuikumba dunia nzima hakuna hata chembe ya ushahidi zaidi ya madai ya biblia inawezekana ni mafuriko yaliyotokea kwenye mto frati unajua watu wa zamani eneo lao ndio ilikua kama dunia kwao.
Kama unadhani kuna gharika ilitokea jiulize maswali haya.
1. Maji yalitoka wapi na yalikwenda wapi baada ya gharika.
2. Wanyama walikuwa wanakula nini ndani ya safina.
3. Nani alianza kuwasambaza tena wanyama baada ya safina kwenda maeneo mbalimbali ya dunia.
4. Kuna wanyama ambao hawawezi ishi kabisa mashariki ya kati kama polar bears nuhu aliwezaje ishi nao.
5. Zaidi ya species million 8 zilitoshaje kwenye safina ndogo kuliko hata titanic.
6. Kwanini formation ya miamba hai suggest uwepo wa gharika hata nusu dunia tu.
hebu tofautisha kati ya binadamu wanyama na ndege sisi hatuhitaji kusambazwa mkuu.
Kwani maji huwa yanaenda wapiKwa muda sasa najaribu kujiuliza hili swala kwamba Bahari ilikuwepo tangu kuumbwa kwa hii dunia ila maji yalioangamiza kizazi cha enzi za Nuhu yalipotelea wapi katika uso wa dunia au ndio kusema kina cha bahari kiliongezeka?
Mwenye uelewa juu ya hili naomba anisaidie.
Biblia haikazati kuhoji ilichoandika, wala watu wanaoiamini hawana hofu ya maandiko ya BibliaMaandiko ya biblia yametujenga katika kuishi kwa hofu ya Mungu.
Hivyo kitendo chochote cha kufikiri kinyume na maandiko kinatafsiriwa kama dhambi na kutomuogopa Muumba.
Vinginevyo endapo utajaribu tu kuiondoa hofu hiyo (ingawa ni dhambi) na ukarejea kusoma biblia basi utawacheka sana na kuwadharau watu wa kale kwa mambo mengi waliokuwa wakiyafanya.
Post za watu wengi hapa zinaonyesha ni jinsi gani hofu ya Mungu inavyoondoka kwenye mioyo ya wengi...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Akili yako itakuwa imelala. Kila mwaka dar mvua ikinyesha kidogo tu ni mafuriko. Je ayo maji huwa yanaenda wapi?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]kwahiyo
kwahiyo Adam na eva walikua wamasai?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Itakuwa ndio yale maji ya Mtera na Bwawa la Mungu.
acha ulofa mkuu karibia kila ancient civilization ina a record of a great flood kwanzia egyptians,mayans,aztecs,chinese even indians....kwahiyo ulichosema hapo labda utakuwa hujafanya research au umejisahau tuhakuna gharika iliyotokea kuikumba dunia nzima hakuna hata chembe ya ushahidi zaidi ya madai ya biblia inawezekana ni mafuriko yaliyotokea kwenye mto frati unajua watu wa zamani eneo lao ndio ilikua kama dunia kwao.
hujuwi ulichoandika mkuu, kwani jamii gami zinamzugumzia nguva/samaki mtu kama kiumbe halisi? na je yupo huyo nguva.acha ulofa mkuu karibia kila ancient civilization ina a record of a great flood kwanzia egyptians,mayans,aztecs,chinese even indians....kwahiyo ulichosema hapo labda utakuwa hujafanya research au umejisahau tu
dunia ni kubwa mkuu kwakuwa labda simiyu au arusha hujawahi kuona nguva au kusikia habari za nguva hamaanishi kuwa hawapo unaweza ukakuta wapo.....just because you don't believe in something doesn't mean that it doesn't existhujuwi ulichoandika mkuu, kwani jamii gami zinamzugumzia nguva/samaki mtu kama kiumbe halisi? na je yupo huyo nguva.
unaongea yale yale mkuu hapa ni ushahidi au haikutokea.dunia ni kubwa mkuu kwakuwa labda simiyu au arusha hujawahi kuona nguva au kusikia habari za nguva hamaanishi kuwa hawapo unaweza ukakuta wapo.....just because you don't believe in something doesn't mean that it doesn't exist