Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
HahaaaAkili yako itakuwa imelala. Kila mwaka dar mvua ikinyesha kidogo tu ni mafuriko. Je ayo maji huwa yanaenda wapi?
Kabisa mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahaaaAkili yako itakuwa imelala. Kila mwaka dar mvua ikinyesha kidogo tu ni mafuriko. Je ayo maji huwa yanaenda wapi?
Sawia kabisaKuna article nimeandika fupi tu inajumlisha na hint za ushahidi toka katika Geology/Geography. Sina hakika wangapi wameisoma ila naona kama wameiruka hivi maana maswali mengi yanaulizwa na nimeyaainisha majibu kule.
Kama ulivyosema Ukisoma Geology, Engineering, Science, Linguistics, Philosophy, Historia, na field zote za Sayansi halisi unaweza usiiamini Biblia ila utakubali kuwa Biblia si kitabu cha kawaida. Kuna mambo mle hayaelezeki yamefikaje kama ingekuwa ni invention ya watu maana kuna mengine na Teknolojia tunayojidai nayo tumeyajua juzi, ila mle yapo maelfu ya miaka!
Mkuu unajua maji ya kuijaza dunia nzima, hebu fikiria urefu wa mlima everest na uwe chini ya maji ardhi gani inaweza nyonya maji yote hayo kwa akiri yako.Hawakufanya makosa we ndo huelewi
Soma vizuri utagundua walisubiri yakauke
Na kukauka inamaana yanyonywe na ardhi
Mkuu ulikuwa unatoroka Sunday school hebu google Noah's ark utapewa details na vipimo vikiwa in modern measurement.hapo namba tano hapo hebu naomba ufafanuzi vizuri kwamba ulitumia vipimo gani kujua kwamba titanic ni kubwa kuliko safina hebu nielezee kiundani zaidi
Kumfunika MUNGU?so unataka kusema MUNGU yupo mawinguni?Yapo angani ,ukweli ni kwamba kiasi cha maji yaliyopo angani(mvuke na mawingu) ni kikubwa kuliko hata maji yaliyopo kwenye bahari zote na chini ya ardhi,kwa sababu kuna mawingu mengine yanayofanya giza na kumfunika Mungu.
Kwani husomagi biblia?Kumfunika MUNGU?so unataka kusema MUNGU yupo mawinguni?
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Akili yako itakuwa imelala. Kila mwaka dar mvua ikinyesha kidogo tu ni mafuriko. Je ayo maji huwa yanaenda wapi?
Biblia ina majibu yote.Mkuu unajua maji ya kuijaza dunia nzima, hebu fikiria urefu wa mlima everest na uwe chini ya maji ardhi gani inaweza nyonya maji yote hayo kwa akiri yako.
Sisomagi mkuu..ila kwahili ukinipa vifungu nitasoma tena sasa hivi..ili nione jinsi MUNGU anavyofunikwa na mawinguKwani husomagi biblia?
hahaa rudi tu MMUYali-evaporate
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hahaa rudi tu MMU
Yange evaporate bado yange kuwa kwenye system ya dunia sasa hayapo ndio maana mtoa mada anahoji yalienda wapi.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jibu kwanza swali hili: maji yaliyofanya hiyo Safina ya Nuhu ielee yalitoka wapi?Kwa muda sasa najaribu kujiuliza hili swala kwamba Bahari ilikuwepo tangu kuumbwa kwa hii dunia ila maji yalioangamiza kizazi cha enzi za Nuhu yalipotelea wapi katika uso wa dunia au ndio kusema kina cha bahari kiliongezeka?
Mwenye uelewa juu ya hili naomba anisaidie.
Mkuu pokea mkono wangu popote ulipo.Ukitaka kujua uwezo wa watu kufikiri wewe soma tu mada kama hizi ndipo utaweza kushangaa sana....
Mtu anahoji jambo lililotokea miaka maelfu huko utadhani limetokea mwaka jana. hivi ni kweli hatujui kabisa kuwa kulikuwa na tofauti kubwa sana ya kimazingira na hali ya hewa kipindi kile na leo?
Hata hivyo,unapohoji na kujibu masuala ya ki-Biblia unapaswa ufikirie kwa namna ambayo siyo sawa na hii ambayo unaifikiria kwenye aisha ya kawaida kwasababu kuna mambo yaliyoko kwenye biblia ambayo hayawezekaniki kwa namna ya kawaida kwasababu mtendaji hafungwi na kanuni zinazokufunga wewe....
Sasa kama mtu anahoji namna wanyama wanaoishi kwenye mazingira fulani kuweza kuishi kwenye safina ambayo haina mazingira hayo huyo ni moja kwa moja anafungwa na kanuni ambazo aliyewafanya wanyama hao wakaishi kwenye safina hafungwi nazo....
Hilo ni sawa na kuhoji walichokuwa wanakula wanyama siku zote,yaani ni kichekesho kikubwa kabisa....
Hujui tu kuwa kuna mwanamama mmoja alitumia unga kidogo sana aliokuwa nao bila kuisha kwa siku mingi tu,jambo ambalo haliwezekaniki kwa akili zako za kawaida ambazo kwa kiwango kikubwa zimejengwa na mazingira na jamii yako na hivyo kuzifanya kuwa ziyo zako.....
Tunashindwa kuelewa hata mambo madogo kama haya,inasikitisha sana....
Mambo ya Mungu si ya kuhoji kwa akili za kibinadamu!!!Yange evaporate bado yange kuwa kwenye system ya dunia sasa hayapo ndio maana mtoa mada anahoji yalienda wapi.
Kweli mkuu, kipindi kile nilishuhudia, kwa macho yangu mabonde yamejaa maji, hayavukiki ila leo hata tone hamnaNami naomba nikuulize,
Maji ya mvua ya El niño ya mwaka 1997/1998 yalienda wapi?