Maji ya kipindi cha Nuhu kutengeneza Safina yalienda wapi?

Maji ya kipindi cha Nuhu kutengeneza Safina yalienda wapi?

Ukitaka kujua uwezo wa watu kufikiri wewe soma tu mada kama hizi ndipo utaweza kushangaa sana....

Mtu anahoji jambo lililotokea miaka maelfu huko utadhani limetokea mwaka jana. hivi ni kweli hatujui kabisa kuwa kulikuwa na tofauti kubwa sana ya kimazingira na hali ya hewa kipindi kile na leo?

Hata hivyo,unapohoji na kujibu masuala ya ki-Biblia unapaswa ufikirie kwa namna ambayo siyo sawa na hii ambayo unaifikiria kwenye aisha ya kawaida kwasababu kuna mambo yaliyoko kwenye biblia ambayo hayawezekaniki kwa namna ya kawaida kwasababu mtendaji hafungwi na kanuni zinazokufunga wewe....

Sasa kama mtu anahoji namna wanyama wanaoishi kwenye mazingira fulani kuweza kuishi kwenye safina ambayo haina mazingira hayo huyo ni moja kwa moja anafungwa na kanuni ambazo aliyewafanya wanyama hao wakaishi kwenye safina hafungwi nazo....

Hilo ni sawa na kuhoji walichokuwa wanakula wanyama siku zote,yaani ni kichekesho kikubwa kabisa....

Hujui tu kuwa kuna mwanamama mmoja alitumia unga kidogo sana aliokuwa nao bila kuisha kwa siku mingi tu,jambo ambalo haliwezekaniki kwa akili zako za kawaida ambazo kwa kiwango kikubwa zimejengwa na mazingira na jamii yako na hivyo kuzifanya kuwa ziyo zako.....

Tunashindwa kuelewa hata mambo madogo kama haya,inasikitisha sana....
Umeeleza vizuri sana.......kwa kweli inastaajabisha sana.....lakini kwa kifupi ...ni kwamba humu kuna watu wana upeo wa ajabu ....
 
Yapo angani ,ukweli ni kwamba kiasi cha maji yaliyopo angani(mvuke na mawingu) ni kikubwa kuliko hata maji yaliyopo kwenye bahari zote na chini ya ardhi,kwa sababu kuna mawingu mengine yanayofanya giza na kumfunika Mungu.
Hayo mawingu yapo duniani kote ama sehemu flani?...na hilo giza la mawingu lipo wapi/eneo gani?
 
Akili yako itakua haina akili,kwani ww toka uzaliwe mvua zilianza kunyesha enzi na enzi jiulize hayo maji toka miaka ya 1200 yanakwendaga wapi?
KenBayona ana hoja lakini kwa swali lake maana bible inasema yalijaa kuifunika dunia nzima sio hivi vifuriko vya muda mchache tuu (siku 40 si mchezo!).
 
KenBayona ana hoja lakini kwa swali lake maana bible inasema yalijaa kuifunika dunia nzima sio hivi vifuriko vya muda mchache tuu (siku 40 si mchezo!).
Sure na yakadumu siku 150, jamaa ana hoja na ni swali zuri. Hope umeona mahali nimemwonyesha majibu katika Biblia na sayansi.
 
Ushahidi wa gharika upo..kwn hata umbo la dunia ya leo unavyoona ni matokeo ya gharika..
.mwnzo dunia haikuwa hivi..nilishawahi kuwafutilia wana sayansi fulani...wanakwambiya hata afrika na marekani ilikuwa moja.. Walichukuwa eneo la ardhi ya africa wakaisogeza na eneo la marekani wakaliunganisha kikatoka kitu kina make sense..pia kuna eneo fulani finland hakuna bahari lakini wazungu waligunduwa mifupa ya nyangumi..na eneo hilo walipochimba walikuta mchanga mweupe wa bahari chini..bado wanajiuliza ilikuwaje..ila gharika ilikuwapo...na maji yalijaa duniani.. Dunia ya leo taswira yake ni matokeo ya gharika..kuna kipindi fulani dstv kinazungumzia science tu na mambo ya geography..nadhani ni world discover.. Kama sikosei..ni kizuri mno na unanifunza mengi sana..mengi wanayogunduwa scientific.. Yapo kwny vitabu vya MUNGU
 
Umeeleza vizuri sana.......kwa kweli inastaajabisha sana.....lakini kwa kifupi ...ni kwamba humu kuna watu wana upeo wa ajabu ....
Twende nao taratibu wataelewa taratibu pia mkuu....

Kama wakibadilika kidogo tu wataona vile ambavyo mambo yanakuwa rahisi sana....
 
kwahiyo
Ni sawa na mie ninavyowaza na kupata jibu kuwa huenda bustani ya Edeni ilikuwa Tanzania pale Ngorongoro crater kwa sababu hizi mbili kubwa... Kwanza tunaambiwa binadamu walikuwa wanaishi na wanyama enzi zile kwenye bustani.. hadi leo hakuna sehemu nyingine duniani ambapo wanyama wanaishi kwa amani na binadamu isipokuwa Ngorongoro crater, na ndiyo maana imekuwa kivutio cha watalii kutoka pande zote za Dunia.. Pili, hadi leo tunaambiwa kwamba Fuvu la binadamu wa kwanza lilivumbuliwa na Dr Leakey eneo la Olduvai Gorge,na kwa vipimo vya C14 kweli linaonekana ndio fuvu la binadamu wa kwanza.. hadi leo hakuna mwanasayansi yeyote duniani aliekuja na masalia yenye umri unaopita yale ya Dr Leakey.. na ukiangalia Olduvai gorge ni sehemu y huko huko Ngorongoro... Sasa hatuoni kuwa hilo fuvu ni la Adamu/ Hawa? kwa nini pale pasiwe ndo Bustani ya Edeni?

kwahiyo Adam na eva walikua wamasai?
 
Ukijibu hili utajua jibu la.swali lako we mleta thread.

Mito au vijito vikikauka maji huwa yanaenda wapi vile aisee?
Maji ya gharika la nuhu yalikua mengi tofauti nahayo unayo yazungumzia
 
Ni sawa na mie ninavyowaza na kupata jibu kuwa huenda bustani ya Edeni ilikuwa Tanzania pale Ngorongoro crater kwa sababu hizi mbili kubwa... Kwanza tunaambiwa binadamu walikuwa wanaishi na wanyama enzi zile kwenye bustani.. hadi leo hakuna sehemu nyingine duniani ambapo wanyama wanaishi kwa amani na binadamu isipokuwa Ngorongoro crater, na ndiyo maana imekuwa kivutio cha watalii kutoka pande zote za Dunia.. Pili, hadi leo tunaambiwa kwamba Fuvu la binadamu wa kwanza lilivumbuliwa na Dr Leakey eneo la Olduvai Gorge,na kwa vipimo vya C14 kweli linaonekana ndio fuvu la binadamu wa kwanza.. hadi leo hakuna mwanasayansi yeyote duniani aliekuja na masalia yenye umri unaopita yale ya Dr Leakey.. na ukiangalia Olduvai gorge ni sehemu y huko huko Ngorongoro... Sasa hatuoni kuwa hilo fuvu ni la Adamu/ Hawa? kwa nini pale pasiwe ndo Bustani ya Edeni?
Kama nihivyo Huenda Adam/Hawa alikua mchaga au maasai
 
Yalikaukia sehemu iliyoumbwa ikiwa nchi kavu na mengine kiasi yalijisogeza kwenye bahari na maziwa kulingana na uelekeo wake.mbona hujajiuliza yale ya kwenye Elnino yalienda wapi?jibu ni rahisi kibinadamu
 
Maji ya gharika la nuhu yalikua mengi tofauti nahayo unayo yazungumzia

Process ndiyo iyo hiyo hakuna mpya ambao maji yanapotea katika uso wa dunia/ juu ya ardhi .

Ndiyo maana hawakutoka ghafula katika safina baada ya mvua kunyesha kwa siku 40 walikuwa wanaangalia kama yanapungua walikaa siku sijui 150 kusubiria yakauke wapate eneo la kukanyanga.

Pia, biblia ina changanya sana sehemu nyingine wanasema siku 1 ni miaka 1000 kwa Mungu sasa kama wanasema walisubiria yakauke kwa siku sijui 150 inaweza ikawa ni sawa na siku 150 × miaka 1000 = miaka makumi elfu hukooo.

Kwa hiyo, unaona hata kusubiria tu katika safina haikuwa issue ya overnight but, it took a good number of days (150 ) which is almost five months.

Usiniulize sana mambo ya biblia siyaelewi please
 
hakuna gharika iliyotokea kuikumba dunia nzima hakuna hata chembe ya ushahidi zaidi ya madai ya biblia inawezekana ni mafuriko yaliyotokea kwenye mto frati unajua watu wa zamani eneo lao ndio ilikua kama dunia kwao.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] jamii forum bhana!!
 
Ukitaka kujua uwezo wa watu kufikiri wewe soma tu mada kama hizi ndipo utaweza kushangaa sana....

Mtu anahoji jambo lililotokea miaka maelfu huko utadhani limetokea mwaka jana. hivi ni kweli hatujui kabisa kuwa kulikuwa na tofauti kubwa sana ya kimazingira na hali ya hewa kipindi kile na leo?

Hata hivyo,unapohoji na kujibu masuala ya ki-Biblia unapaswa ufikirie kwa namna ambayo siyo sawa na hii ambayo unaifikiria kwenye aisha ya kawaida kwasababu kuna mambo yaliyoko kwenye biblia ambayo hayawezekaniki kwa namna ya kawaida kwasababu mtendaji hafungwi na kanuni zinazokufunga wewe....

Sasa kama mtu anahoji namna wanyama wanaoishi kwenye mazingira fulani kuweza kuishi kwenye safina ambayo haina mazingira hayo huyo ni moja kwa moja anafungwa na kanuni ambazo aliyewafanya wanyama hao wakaishi kwenye safina hafungwi nazo....

Hilo ni sawa na kuhoji walichokuwa wanakula wanyama siku zote,yaani ni kichekesho kikubwa kabisa....

Hujui tu kuwa kuna mwanamama mmoja alitumia unga kidogo sana aliokuwa nao bila kuisha kwa siku mingi tu,jambo ambalo haliwezekaniki kwa akili zako za kawaida ambazo kwa kiwango kikubwa zimejengwa na mazingira na jamii yako na hivyo kuzifanya kuwa ziyo zako.....

Tunashindwa kuelewa hata mambo madogo kama haya,inasikitisha sana....
Mkuu hata mimi ni mkristo kama wewe ila lazima tukubali kuna mambo kwenye bible yana walakini inawezekana waandishi walifanya makosa kwenye kusimulia hivo visa.
 
Akili yako itakuwa imelala. Kila mwaka dar mvua ikinyesha kidogo tu ni mafuriko. Je ayo maji huwa yanaenda wapi?
wewe ndio akiri yako imelala mafuriko ya dar unafananisha na mafuriko ya dunia zima hebu imagine mlima mrefu kuliko yote everest uwe under water then hayo maji yapotee tu ghafla lazima tuhoji yalienda wapi.
 
wewe ndio akiri yako imelala mafuriko ya dar unafananisha na mafuriko ya dunia zima hebu imagine mlima mrefu kuliko yote everest uwe under water then hayo maji yapotee tu ghafla lazima tuhoji yalienda wapi.
Wewe ckujibu chchite. Dawa yako ni kukusonteshea kwa cc. faizy fox
 
Back
Top Bottom