Mr Antidote
JF-Expert Member
- Jan 11, 2015
- 953
- 1,304
We jamaa baba Tunda aka cleopatra wako hivi upoMsichafue hali ya hewa
Hance mtanashati anapita
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We jamaa baba Tunda aka cleopatra wako hivi upoMsichafue hali ya hewa
Hance mtanashati anapita
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
Nipo mkuuWe jamaa baba Tunda aka cleopatra wako hivi upo
Badala ya kuwashangaa hao wengine mi nakushangaa wewe.Ukitaka kujua uwezo wa watu kufikiri wewe soma tu mada kama hizi ndipo utaweza kushangaa sana....
Mtu anahoji jambo lililotokea miaka maelfu huko utadhani limetokea mwaka jana. hivi ni kweli hatujui kabisa kuwa kulikuwa na tofauti kubwa sana ya kimazingira na hali ya hewa kipindi kile na leo?
Hata hivyo,unapohoji na kujibu masuala ya ki-Biblia unapaswa ufikirie kwa namna ambayo siyo sawa na hii ambayo unaifikiria kwenye aisha ya kawaida kwasababu kuna mambo yaliyoko kwenye biblia ambayo hayawezekaniki kwa namna ya kawaida kwasababu mtendaji hafungwi na kanuni zinazokufunga wewe....
Sasa kama mtu anahoji namna wanyama wanaoishi kwenye mazingira fulani kuweza kuishi kwenye safina ambayo haina mazingira hayo huyo ni moja kwa moja anafungwa na kanuni ambazo aliyewafanya wanyama hao wakaishi kwenye safina hafungwi nazo....
Hilo ni sawa na kuhoji walichokuwa wanakula wanyama siku zote,yaani ni kichekesho kikubwa kabisa....
Hujui tu kuwa kuna mwanamama mmoja alitumia unga kidogo sana aliokuwa nao bila kuisha kwa siku mingi tu,jambo ambalo haliwezekaniki kwa akili zako za kawaida ambazo kwa kiwango kikubwa zimejengwa na mazingira na jamii yako na hivyo kuzifanya kuwa ziyo zako.....
Tunashindwa kuelewa hata mambo madogo kama haya,inasikitisha sana....
Ukitaka kujua uwezo wa watu kufikiri wewe soma tu mada kama hizi ndipo utaweza kushangaa sana....
Mtu anahoji jambo lililotokea miaka maelfu huko utadhani limetokea mwaka jana. hivi ni kweli hatujui kabisa kuwa kulikuwa na tofauti kubwa sana ya kimazingira na hali ya hewa kipindi kile na leo?
Hata hivyo,unapohoji na kujibu masuala ya ki-Biblia unapaswa ufikirie kwa namna ambayo siyo sawa na hii ambayo unaifikiria kwenye aisha ya kawaida kwasababu kuna mambo yaliyoko kwenye biblia ambayo hayawezekaniki kwa namna ya kawaida kwasababu mtendaji hafungwi na kanuni zinazokufunga wewe....
Sasa kama mtu anahoji namna wanyama wanaoishi kwenye mazingira fulani kuweza kuishi kwenye safina ambayo haina mazingira hayo huyo ni moja kwa moja anafungwa na kanuni ambazo aliyewafanya wanyama hao wakaishi kwenye safina hafungwi nazo....
Hilo ni sawa na kuhoji walichokuwa wanakula wanyama siku zote,yaani ni kichekesho kikubwa kabisa....
Hujui tu kuwa kuna mwanamama mmoja alitumia unga kidogo sana aliokuwa nao bila kuisha kwa siku mingi tu,jambo ambalo haliwezekaniki kwa akili zako za kawaida ambazo kwa kiwango kikubwa zimejengwa na mazingira na jamii yako na hivyo kuzifanya kuwa ziyo zako.....
Tunashindwa kuelewa hata mambo madogo kama haya,inasikitisha sana....
Yapo angani ,ukweli ni kwamba kiasi cha maji yaliyopo angani(mvuke na mawingu) ni kikubwa kuliko hata maji yaliyopo kwenye bahari zote na chini ya ardhi,kwa sababu kuna mawingu mengine yanayofanya giza na kumfunika Mungu.Kwa muda sasa najaribu kujiuliza hili swala kwamba Bahari ilikuwepo tangu kuumbwa kwa hii dunia ila maji yalioangamiza kizazi cha enzi za Nuhu yalipotelea wapi katika uso wa dunia au ndio kusema kina cha bahari kiliongezeka?
Mwenye uelewa juu ya hili naomba anisaidie.
Anayepaswa watu wamshangae ni yule anayeshangaa bila kusema kwasababu ipi anashangaa maana anashangaza....Badala ya kuwashangaa hao wengine mi nakushangaa wewe.
Haaaaa Wewe!Yapo angani ,ukweli ni kwamba kiasi cha maji yaliyopo angani(mvuke na mawingu) ni kikubwa kuliko hata maji yaliyopo kwenye bahari zote na chini ya ardhi,kwa sababu kuna mawingu mengine yanayofanya giza na kumfunika Mungu.
Yapo angani ,ukweli ni kwamba kiasi cha maji yaliyopo angani(mvuke na mawingu) ni kikubwa kuliko hata maji yaliyopo kwenye bahari zote na chini ya ardhi,kwa sababu kuna mawingu mengine yanayofanya giza na kumfunika Mungu.
Nami naomba nikuulize,Kwa muda sasa najaribu kujiuliza hili swala kwamba Bahari ilikuwepo tangu kuumbwa kwa hii dunia ila maji yalioangamiza kizazi cha enzi za Nuhu yalipotelea wapi katika uso wa dunia au ndio kusema kina cha bahari kiliongezeka?
Mwenye uelewa juu ya hili naomba anisaidie.
Hivi qaum mbili zishawahi ku exist kwa wakati mmoja? Kwa maana mitume su manabii wawili walikuwepo duniani na umma zao TOFAUTI?Nuhuu alitumwa kwa watu wa kaumu yake(umma)wake.Hivyo adhabu ile ya gharika ilikuwa ni kwa mji alioishi nuhuu(a.s)kwa mujibu wa Quran