Maji ya kunywa ya Afya yanatishia soko la Maji ya Kilimanjaro huko Kaskazini mwa Tanzania

Maji ya kunywa ya Afya yanatishia soko la Maji ya Kilimanjaro huko Kaskazini mwa Tanzania

Christopher Wallace

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2015
Posts
1,479
Reaction score
3,788
Maji ya kunywa ya Kilimanjaro lita 1.5 inauzwa sh. 1,000 mpaka sh. 1,200 kutokana na upandaji wa bei ya bidhaa mbalimbali.

Maji ya Afya sasa yameingia rasmi kaskazini mwa Tanzania ambapo lita 1.5 utaipata kwa sh. 600 mpaka 700 huku lita 1 ikipatika kwa sh. 500/=

Ukiwa na sh. 500 kwa kampuni ya Kilimanjaro utapata nusu lita wakati kwa Afya ni ukiwa na sh. 500 unapata lita 1 kamili.

Kwa bei hizo maji ya Kilimanjaro yameanza kukosa soko kwa mtaani kutokana na Wabongo kupenda bei rahisi lakini pia kwa siku za karibuni kumeluwa na malalamiko kuhusu ubora wa maji ya Kilimanjaro hivyo ujio wa Maji ya Afya ni kama umekuja kutikisa soko la maji ya Kilimanjaro.

Je Afya ataweza kumtikisa Kilimanjaro huko Kaskazini?
 
Maji ya kunywa ya Kilimanjaro lita 1.5 inauzwa sh. 1,000 mpaka sh. 1,200 kutokana na upandaji wa bei ya bidhaa mbalimbali.

Maji ya Afya sasa yameingia rasmi kaskazini mwa Tanzania ambapo lita 1.5 utaipata kwa sh. 600 mpaka 700 huku lita 1 ikipatika kwa sh. 500/=

Ukiwa na sh. 500 kwa kampuni ya Kilimanjaro utapata nusu lita wakati kwa Afya ni ukiwa na sh. 500 unapata lita 1 kamili.

Kwa bei hizo maji ya Kilimanjaro yameanza kukosa soko kwa mtaani kutokana na Wabongo kupenda bei rahisi lakini pia kwa siku za karibuni kumeluwa na malalamiko kuhusu ubora wa maji ya Kilimanjaro hivyo ujio wa Maji ya Afya ni kama umekuja kutikisa soko la maji ya Kilimanjaro.

Je Afya ataweza kumtikisa Kilimanjaro huko Kaskazini?
Ni ushindani wa kibiashara, watumiaji wanapatiwa nafasi ya kuchagua wapendacho. Hakuna ubaya katika hilo, ubora wa bidhaa uzingatiwe na wazalishaji.
 
Maji ya Kilimanjaro yana chumvichumvi wakati maji ya Afya mtumiaji hahisi chumvichumvi hivyo kupendelewa sana na watumiaji wengi(wa Afya).
Hata hivyo,maji ya Afya bei yake iko chini ukilinganisha na Afya.
[emoji855][emoji855][emoji855][emoji855]
 
Hapo bado balaa la HILL WATER (sitangazii biashara) hajaingia rasmi huko Kaskazini, japo bado kwa Dar bado demand yake inakuwa kubwa sana mpaka sometimes yanakosekana baadhi ya sehemu, mfano LITA 1.5 NI adimu nayo huuzwa Tsh 600-700 hadi 1000 kwa sehemu zingine

KILIMANJARO acha apigwe tu, amebweteka sana pamoja na malalamiko ya watumiaji basi akajikuta ni PREMIUM sana sasa WATERCOM anayezalisha maji ya Afya acha ateke soko tu ni haki yake

Halafu mmegundua kitu siku hizi Maji ya kilimanjaro yanatangazwa Azam ambako kuna maji ya Uhai? Niliona hilo Tangazo kwenye channel za Azam Nikashtuka kwa sababu nimezoea kuliona ITV sanasana

KILIMANJARO Acha apumulie mipira tu, so far kwangu AFYA, HILL na Uhai ndio maji ya chaguo langu
 
Iwe tunhvyo hkn namna Kilimanjaro kala hela za watu bure
 
Maji ya Kilimanjaro yana chumvichumvi wakati maji ya Afya mtumiaji hahisi chumvichumvi hivyo kupendelewa sana na watumiaji wengi(wa Afya).
Hata hivyo,maji ya Afya bei yake iko chini ukilinganisha na Afya.
Hi so mchezo
 
Maji ya kunywa ya Kilimanjaro lita 1.5 inauzwa sh. 1,000 mpaka sh. 1,200 kutokana na upandaji wa bei ya bidhaa mbalimbali.

Maji ya Afya sasa yameingia rasmi kaskazini mwa Tanzania ambapo lita 1.5 utaipata kwa sh. 600 mpaka 700 huku lita 1 ikipatika kwa sh. 500/=

Ukiwa na sh. 500 kwa kampuni ya Kilimanjaro utapata nusu lita wakati kwa Afya ni ukiwa na sh. 500 unapata lita 1 kamili.

Kwa bei hizo maji ya Kilimanjaro yameanza kukosa soko kwa mtaani kutokana na Wabongo kupenda bei rahisi lakini pia kwa siku za karibuni kumeluwa na malalamiko kuhusu ubora wa maji ya Kilimanjaro hivyo ujio wa Maji ya Afya ni kama umekuja kutikisa soko la maji ya Kilimanjaro.

Je Afya ataweza kumtikisa Kilimanjaro huko Kaskazini?
Kwani wenye kiwanda cha maji ya Kilimanjaro wamekutuma uwasemee?
 
Oilcom,Milkcom,afyacom na watercom ni balaa hao sasa Hv kila kampuni ya maji anacheza beat lake either upunguze bei au uongeze ukubwa wa chupa
 
Ngoja tuone maana Uhai alishindwa kuteka soko huko tena kipindi kile wakiwa wawili tuu kwenye ushindani wa soko.
Bakhresa eti anasema anauza chupa tu hauzi maji maana maji ni kharamu kuuza yanatakiwa yatolewe bure ndio maana hayupo serious na biashara ya maji.[emoji1787][emoji1787] ila bakhresa anazingua sana
 
Back
Top Bottom