Maji ya kunywa ya Afya yanatishia soko la Maji ya Kilimanjaro huko Kaskazini mwa Tanzania

Maji ya kunywa ya Afya yanatishia soko la Maji ya Kilimanjaro huko Kaskazini mwa Tanzania

Hapo bado balaa la HILL WATER (sitangazii biashara) hajaingia rasmi huko Kaskazini, japo bado kwa Dar bado demand yake inakuwa kubwa sana mpaka sometimes yanakosekana baadhi ya sehemu, mfano LITA 1.5 NI adimu nayo huuzwa Tsh 600-700 hadi 1000 kwa sehemu zingine

KILIMANJARO acha apigwe tu, amebweteka sana pamoja na malalamiko ya watumiaji basi akajikuta ni PREMIUM sana sasa WATERCOM anayezalisha maji ya Afya acha ateke soko tu ni haki yake

Halafu mmegundua kitu siku hizi Maji ya kilimanjaro yanatangazwa Azam ambako kuna maji ya Uhai? Niliona hilo Tangazo kwenye channel za Azam Nikashtuka kwa sababu nimezoea kuliona ITV sanasana

KILIMANJARO Acha apumulie mipira tu, so far kwangu AFYA, HILL na Uhai ndio maji ya chaguo langu
Wewe hata hujielewi.
Hiyo Hill water kupatikana kwake tu ni tatizo ndio aje amsumbue Kilimanjaro ambaye ni sehemu ya Cocacola?

Afya kanda ya kati na ziwa haitumiwi sana kama ilivyo Kili na maji mengine, Uhai kwa dodoma hapa yanauzwa 300 yes mia 3 hii sio bei ya jumla ni rejareja kwa wanaotembeza.

Nyanda za juu Afya amewashinda wengine wote na wana maji yao mfano Mkwawa na ya kutoka Njombe nimeyasahau jina ndio washindani wake
 
Na kuna brand mpya sokoni imeingia inachupa za plastiki aloo...wanauza lita moja 300 sijakalili jina lake tu...
 
Back
Top Bottom