DOKEZO Maji ya kuoshea maiti yanayo lalamikiwa kutumika kuhifadhia samaki yanauzwa kwenye maduka ya dawa za asili, Serikali imulike huko

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Wote waongo hao na huyo vice president

Tunajua tatizo la saratani linasababishwa na kemikali za migodini zinazoelekezwa kwenye maji.
Unajua au unapiga ramli? Ni kemikali gani zinatumika migodini? Katika hizo kemikali ni zipi ambazo ni carcinogenic?
 
Na hapa ndo utafiti au uchunguzi wa kina unatakiwa kufanyika, huenda hayo maji ya maiti ni mbinu ya kishirikina kuwafanya hao samaki wasiharibike, ndo maana VP amesema kwa sababu yeye ana vyanzo vingi vya taarifa..
 
Hawataki ukweli usemwe
Ndiyo maana hawakutimiza wajibu wao kuwakamata wahusika
 
Naomba kufunzwa hapa, maji ya kuoshea maiti ni maji gani na yamekaaje kaaje? Mimi nilidhani maiti anakoshewa maji haya haya ya kawaida tu!!!
 
 
Kumbe ndo maana samaki wamenenepa sana kumbe ni virutubisho kutoka maiti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…