Maji ya Mvua meusi

Maji ya Mvua meusi

Hata mm nimeliona Hilo maji Ni meusi nikadhank labda ndoo tulio kingia ndio chafu kumbe wapi

Wkt zamani maji ya mvua yalikuwa meupe nadjanj Ni uchaguzi wa mazingira na ongezeko la viwanda vingi dunian vinavyo zalisha hewa chafu
 
... Inawezekana volkeno fulani, jirani na eneo la tukio, IMEKOHOA!
... VOLKENO HAI INAPOKOHOA HUTOA VUMBI JINGI LENYE CHEMBECHEMBE NDOGONDOGO SANA AMBAZO HUNG'ANG'ANIA HEWANI NA KUJA KU'FLASHIWA' NA MVUA KAMA HIVYO!
NB: KUNA UWEZEKANO MKUBWA KUWA MAJI HAYO YANA SUMU, MSIYANYWE WALA KUYAPIKIA!
PELEKENI SAMPULI ZA MAJI HAYO KWA WAKEMIA WA IDARA YA MAJI MJUE USALAMA WAKE!
 
Duh asante sana kwa hii elimu, bas mimi siku zote nilikua najua maji ya mvua ni salama hivyo hua nakinga ya kunywa. kuanzia sasa sitakinga
Sio kwamba usikinge mkuu, maji ya mvua yanasaidia sana kwa yale maeneo ambayo kuna uhaba mkubwa wa maji. Cha msingi nikuyadiscontaminate na kuwa salama kwa matumizi. Zipo water treatment machines, water chemical treatment ambazo unaweka kwenye maji na kuua vijidudu na kuondoa sumu na kuyatunza yasiharibike. Chemical hizi zinapatikana hata katika maduka ya kawaida Ila ni vyema kwenda Well Organised Pharmacies kwa ushauri juu ya dawa gani unapaswa kutumia.
Nadhani nimesaidia kitu kidogo hapo mkuu😊
 
Kwa tabora sawa, hata mm nilishashuhudia. Matumbaku yenu hayo

Mkuu anga ni moja, kinachofanyika Mtwara kinaathiri hata maeneo mengine. Hivyo kinachoonekana Tabora kinaweza kisiwe kimesababishwa na shughuli za kiuchumi Tabora.
 
Back
Top Bottom