Maji yamenifika shingoni kwa huyu bidada

Maji yamenifika shingoni kwa huyu bidada

Itakuwa hela za huyo mwanamke ndo zinakubabaisha.

Unazilia timing Ila hujui umuingieje?

Mbona kwa mabinti huna mdomo Zege na mzigo unakula fresh hadi na bikra unatoa?

Shubaa-tree ( shubaamiti)
Khaaa, statement ya mwisho ndio imenihukumu hayo yote kumbe? Ngoja nifute.

But sijawahi kutoa bikra, unaweza kufunda na mwisho usiambulie kitu,anaenda kutoboa mwingine....
 
Mwanaume kutumia maneno... kama inshort na mengineyo kwenye mada ya kiswahili ni umama.. kwa hali hiyo huwezi kula hiyo mbunye.
 
Ladies nisaidie kitu kimoja, hivi nyie huwa inatokea mna act hivi kwa mwanaume na bado hata akikutongoza unakubali? Japo mwanzo hukuonesha kabisa kutaka kujuana nae zaidi?

............................

Hakuna uhusiano kati ya yeye kuwa busy na mambo yake na wewe kukubaliwa ama kukataliwa,ni vile itategemea na userious ulionao kwake na namna ya kumuonesha vile unamuhitaji....

Mie huwa naamini hakunaga mkate mgumu mbele ya chai,kama unamuhitaji pambana umpate

Kila la heri
 
Back
Top Bottom