Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekuelewa, shukraniHakuna uhusiano kati ya yeye kuwa busy na mambo yake na wewe kukubaliwa ama kukataliwa,ni vile itategemea na userious ulionao kwake na namna ya kumuonesha vile unamuhitaji....
Mie huwa naamini hakunaga mkate mgumu mbele ya chai,kama unamuhitaji pambana umpate
Kila la heri
😅😅😅 acceptedHajajua jinsia yangu nimemsamehe tu.
Msamehe na wewe.
Kwa hiyo si kwamba hawahitaji wanaume..Ushawafata wangapi ukathibitishaa usemi wako?! Wale wanakuaga na granpa zao mzee pesa iongezeke pesa chunguza
Mwanaume mashineOky basi na shida zako rohoni mwako
Jf ina mambo mengi mkuuKumbe huyu Karucee ni mwanaume!! Kha..
MkuuHajajua jinsia yangu nimemsamehe tu.
Msamehe na wewe.
Onyesha kumjali na itoke moyoni ..kujaliwa Sana Ni moja ya udhaifu wetu haswa mwanaume akiwa kwenye mawindo ya mtongozo.Level ya pesa tunaweza lingana, na tunafanana professional, labda kwao inaweza ikawa kisanga kidogo.
Shida ni namteka kwa lipi, kabla ya Muonekano wangu?
Unaoa au unaolewa?nin mbaya??
Mi napolea kua mzinzi,
Yesu nilienae humjui wew..
Mi nimependa kweli, akinikubali namwambia na baba soon mwanae naowa.
Umeanza [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unaoa au unaolewa?
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Umeanza [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Shikamoo kaka Buyenze.[emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]
Marahabaa.....Shikamoo kaka Buyenze.