Naomba kuulizia hivi hili kanisa ndiyo lile linaopokea takribani 600B kwa mwaka toka serikalini na bado shule na hospital zao gharama zipo juu hawaoni Kama IGA yao ndiyo mbaya zaidi kuliko hata ya Dp World? Na Kama nia yao ni Njema kweli kwa Taifa kwanini kwanza wasikatae hii dhulma Kubwa kwa Nchi yetu?
Lengo hapa siyo kubishana Ila kuwekana sawa tu