Majibu ya CCM Mdahalo wa Odemba: Tunasikitishwa na jinsi alivyoupotosha umma, tumeshangazwa na machozi yake!

CCM na nyie mgomee mbeleko ya polisi kwenye uchaguzi msimame nyie kama nyie tuwaone uwezo wenu.
 
Ccm ni wapumbavu ndio maana mnaikimbia midahalo by the way ccm hata mkigomea vipindi vya odemba hakuna atakayeshtuka maana ccm ni empty brains.
Jana tu CCM walipokosekana mbona alitoa machozi, na hata makatibu wakuu wengine wakalala mbele
 
Ushauri wa Kishamba kabisa huo. Kwa ukubwa wa C.C.M, ndani na nje ya nchi, hatupaswi kukwepa midaharo, sisi ndio tuombe radhi. Chama kina magwiji, tungempeleka hata Wasira tu angetosha kuwasilisha chama
 
Mbona sentensi zako zinatanguliwa na neno KUAMINI? Taarifa ya CCM iko wazi na imeeleza hali ilivyokuwa wewe unaleta mambo ya imani..
Nakuuliza tena; unadhani kwa tabia ya uongo, wizi, ulaghai na utapeli wa CCM Kuna mtu mwenye akili timamu ataamini lolote toka CCM kwamba katibu wetu hakukimbia mdahalo?

Najua wewe ni mtu mwema tu. Acha kufuata akili za mkumbo wa wendawazimu wa CCM Lumumba...!

Waambie wenzio huko waache ujanja na kufanya watu wazima hawana akili na ufahamu kujua uongo na utapeli wa CCM...

Kuweni wastaarabu na waungwana tu kwa, kuiomba radhi management ya StarTV, Sahara Media na hususani kijana Odemba muaandaaji wa kipindi hicho...

Acheni kufikiri watu wote ni wajinga na wapumbavu kama mlivyo nyie...!!
 
Dogo usimchongee. Kama kakosea aombe msamaha. Akikosa hicho kibarua akikikosa wewe huwezi kumsaidia kuendesha maisha.
Hajaajiriwa na ccm, simchongei. Mbona anafanya mahojiano na watu wengi? Kwann ccm tu ndio huwa wanahojiwa?
 
Ulishaona mtangazaji mwenye weledi akilia hadharani kisa mmojawapo wa wageni waalikwa hajafika? Nakazia hii kauli yako;
Kwa namna ulivyo tu, bila shaka wewe ungelia mara mia zaidi ya Odemba...

Hakuna kitu hapo. CCM wanaopaswa kuwa waungwana na wastaarabu ingalau kwa kiasi fulani hivi lakini wanafanya mambo ya aibu na ujinga kila uchao...

Unajua hasara aliyoingia kwa uhuni wenu? Yaani CCM inaongoza nchi, Ina serikali na kila nyenzo lakini inaogopa midahalo huru na ya wazi kama huu. Ooh, ni ajabu kweli...!!

Viongozi wako wanataka wajiandalie midahalo yao ya kipropaganda huko TBC, waulizwe maswali watakayo na waliyopewa siku nyingi kabla na kutoa majibu ya kukaririshwa...

Ombeni radhi. Huo ndio ustaarabu na uungwana...
"Management yote ya StarTv na waandaaji wa kipindi hicho ni very unprofessional, wajinga na wapumbavu"
Ni very professional, weredi na wanajua nini wafanyalo. Si wajinga kama nyie huko CCM...!
 
Ccm acheni kujitetea, yani nyie si ndo mko madarakani?, nyie si mnasema SSH anaupiga mwingi? sasa mlolongo wote kisa tu mdahalo wa nini kama sio kutafuta kichaka cha kuficha aibu ya mwaka ,ya Dr nchimbi kukimbia mdahalo.
Odemba piga mdahalo wa wazee mashuhuri kutoka kila chama , utakua bomba , achana na nchimbi, anajua akija akateleza tokana na maswali yako kesho hana kibarua
 
Mbona sentensi zako zinatanguliwa na neno KUAMINI? Taarifa ya CCM iko wazi na imeeleza hali ilivyokuwa wewe unaleta mambo ya imani..
Taarifa ya ccm, kwani ccm wana ukweli gani hadi usema taarifa yao iko wazi? Hilo tangazo lina ziadi ya wiki 2 na limekuwa likirudiwa mara kwa mara, mbona hiyo taasisi yenu haikuhoji kulikoni?
 
Taarifa ya ccm, kwani ccm wana ukweli gani hadi usema taarifa yao iko wazi? Hilo tangazo lina ziadi ya wiki 2 na limekuwa likirudiwa mara kwa mara, mbona hiyo taasisi yenu haikuhoji kulikoni?
CHADEMA unawaamini?
 
Taarifa ya ccm, kwani ccm wana ukweli gani hadi usema taarifa yao iko wazi? Hilo tangazo lina ziadi ya wiki 2 na limekuwa likirudiwa mara kwa mara, mbona hiyo taasisi yenu haikuhoji kulikoni?
CCM ikiwachukulia hatua za kisheria Star TV na huyo mtangazaji wao hamtalia lia na kusema wanaonewa?
 
Ninaamini ukweli
Kile ambacho kinaonekana kuwa ukweli kinaweza kutegemea mitazamo, hisia, au uzoefu wa mtu binafsi.

Na hatukulazimishi uamini tunachokiamini sisi CCM
 
Weredi ❌
Weledi ✅
Nimeamua nikupuuze kwasababu utaniambukiza ujinga.
 
Not in this life or the next kwamba CCM inaweza kuwaomba radhi Star TV na mtangazaji wao kwa upuuzi walioufanya wenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…