Majibu ya CCM Mdahalo wa Odemba: Tunasikitishwa na jinsi alivyoupotosha umma, tumeshangazwa na machozi yake!

Taasisi hazifanyia mdahalo, watu ndio hufanya midahalo.
 
Karibu mkuu wa nini?

Tunamtaka Mwenyekiti wenu taifa Bi Samia Suluhu Hassan aache kujificha na badala yeye ndiye aje kwenye midahalo...

CCM mlivyo dhaifu na waoga kwa sababu ya tabia na mienendo yenu mibaya, haitashangaza akakataa na kukiambia kuzungumza na wananchi kwa dhana ileile ya "ana majukumu mengi...."

Lakini ukweli ni kuwa CCM kwenye midahalo huru na ya wazi hawawezi kujitokeza na sababu ni ukweli kuwa maswali magumu ya kujibu mengi na hawana majibu sahihi ya kuwapa wananchi...!!
 
Juzi Faustin Ndugulile kashinda na kuwa Mkurugenzi wa WHO Afrika. Huenda wewe unatatizo kichwani mwako.
Vile vile Tulia ni Rais wa Mabunge yote duniani. Ina maana wabunge wote duniani wanazidiwa akili na bwana The Palm Beach 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Hakika...

Hata mimi ningeshangaa kama CCM wangehudhuria.

By the way:
Mimi nitakuwa wa mwisho kuamini kuwa Odemba na StarTV kwa ujumla ni unprofessional, wajinga na wapumbavu kiasi hicho warushe hewani kupitia vyombo vya habari mbalimbali tangazo ambalo linaitaja CCM au mtu fulani kuwa atashiriki kwenye tukio fulani bila wao kuruhusu na kuthibitisha ushiriki wao...!
!

Huu ni uongo na ulaghai uleule wa siku zote wa CCM ambao tunaujua.....

CCM mambo ya wazi na ya haki hawayawezi. CCM imezoea maisha ya uongo, wizi, udanganyifu, utekaji, kutesa na kumwaga damu za watu wasio na hatia iwe ni serikalini ama ndani ya chama chao wenyewe...!

Kuwaamini CCM kwa chochote wasemalo, lazima uwe na akili nusu kisoda...!
 
Chama cha hila, chama chenye dharau, chama kisicho na aibu kimesha tiona wote ni wajinga. Wame amua kucheza na lugha.
Asubuhi walisema Katibu wao mkuu hawezi kuongea na watu wasio na PhD. Sasa new story. Its fine, kuna siku Mungu wa mbinguni ata weka kila kitu wazi..
 
msacky ana mikono michafu anakuwaje msaidizi wa katibu mkuu??? au ndege wafananao huruka pamoja??
Je, unaweza kuthibitisha hilo? Au ni hisia zako chafu?
 
Hao waliosema hivyo asubuhi ni akina nani?
 
Hakijaharibika kitu, ngoma ipangwe upya tena mapema iwezekanavyo kabla haijapoa.
Schedule ya SG iko very tight hadi Novemba, 2025 baada ya uzinduzi wa Bunge jipya. Waandaji wawasiliane na Idara ya Itikadi, Habari, na Uenezi kuangalia uwezekano wa SG kushiriki mdahalo baada ya kipindi hiko.
 
Makonda angeenda!!

Hivi ccm chama changu hao wanachama tunaowalipa mapesa ya mshahara kama hawana uwezo wa kukitetea chama kwenye midahalo tunawalipa wa nini!!?

Hadi hasira aiseh!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…