adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 12,207
- 26,521
Habari za muda huu wana Jf, nimeona na kusoma comments zote za uzi wa Retired wenye kichwa cha habari " Kwanini ardhi ya Mbagala haina thamani?
Nilichogundua watu wamekosa umakini kwa kiwango kikubwa watu wengi wanajadili bila facts na porojo nyingi sasa nimejipanga kujibu baadhi ya hoja nilizoziona haziko sahihi na za upotoshaji wa kiwango kikubwa katika uzi ule humu maana imezidi mno kuna watu wamefikia kusema eti wali kwa mama Ntilie unapata kwa Tsh 500/= .
Mimi ni mkazi wa Dar kwa kuzaliwa na kusoma Dar kuanzia awali mpaka form Six, ndugu na marafiki zangu wengi wametapakaa sehemu mbalimbali za jiji la Dar hali hiyo imenifanya nitembelee na kuishi sehemu nyingi mbalimbali za jiji la Dar kuanzia wanapopoita ushuani mpaka uswahilini hivyo niko well informed na jiji la Dar kama mtani wangu GENTAMYCINE Temeke ,Yombo yote vituka kiwalani na Buza hapo ndio maskani kabisa bila kusahau Mbagala, Chamazi na mbande, Upanga, Tandale nk
Kwa vile naelekea msibani sasa maeneo ya Yombo nina ahidi mida ya usiku panopo majaaliwa nitaleta uchambuzi na kujipu hoja za upotoshaji katika uzi ule maana kuna watu wameletwa Dar na magari ya ng'ombe wametembea maeneo mawili lakini kwenye ID fake wao wajuaji wa kila kitu sasa naomba tukutane katika uzi huu baadae kwa hoja na ushahidi bila blah blah.
#UziUtaeendelea
Nilichogundua watu wamekosa umakini kwa kiwango kikubwa watu wengi wanajadili bila facts na porojo nyingi sasa nimejipanga kujibu baadhi ya hoja nilizoziona haziko sahihi na za upotoshaji wa kiwango kikubwa katika uzi ule humu maana imezidi mno kuna watu wamefikia kusema eti wali kwa mama Ntilie unapata kwa Tsh 500/= .
Mimi ni mkazi wa Dar kwa kuzaliwa na kusoma Dar kuanzia awali mpaka form Six, ndugu na marafiki zangu wengi wametapakaa sehemu mbalimbali za jiji la Dar hali hiyo imenifanya nitembelee na kuishi sehemu nyingi mbalimbali za jiji la Dar kuanzia wanapopoita ushuani mpaka uswahilini hivyo niko well informed na jiji la Dar kama mtani wangu GENTAMYCINE Temeke ,Yombo yote vituka kiwalani na Buza hapo ndio maskani kabisa bila kusahau Mbagala, Chamazi na mbande, Upanga, Tandale nk
Kwa vile naelekea msibani sasa maeneo ya Yombo nina ahidi mida ya usiku panopo majaaliwa nitaleta uchambuzi na kujipu hoja za upotoshaji katika uzi ule maana kuna watu wameletwa Dar na magari ya ng'ombe wametembea maeneo mawili lakini kwenye ID fake wao wajuaji wa kila kitu sasa naomba tukutane katika uzi huu baadae kwa hoja na ushahidi bila blah blah.
#UziUtaeendelea