Majibu ya hoja za uzi kwanini ardhi ya Mbagala haina thamani nitajibu humu

Majibu ya hoja za uzi kwanini ardhi ya Mbagala haina thamani nitajibu humu

Inaonekana kuna wakaazi wa mbagala wengi humu. Ila mbagala kuna watu jamani, mbagala sikai hata kwa kulipwa.
Naa akulipe nani iliupate kiwanja mbagala,mchukue mtu wa mbagala hood yeyote mpeleke kokote tanzania anatoboa
 
Ushaur wangu kwa vijana.
Ni bora ununue kiwanja bei ghali sana ujenge nyumba ya hela chache kuliko kununua kiwanja bei ndogo ukajenga li ghorofa. Utakuja kunishukuru.
 
Wengi wao ni wale waliotoka mikoani na magari ya ng'ombe wametembea sehemu mbili tatu au usikute hajawahi kufika Mbagala kabisa wanakuja kuleta ujuaji wa kijinga.

Wengine walikuwa wanalala pamoja na mifugo sasa sijui wanatoa wapi guts za kuisema vibaya Mbagala.
Mbagala ya miaka 90 sio hii ya sasa.
hao ndiyo wamekuwa wastaarabu na wajuaji kuliko wazawa wa hapa hapa
 
Haohao waliotoka kulala na ng'ombe walisafiri na Ng'ombe mpaka Dsm kisha wakaja kununua maeneo yenu na kuwekeza kisha wakawaajiri ninyi waswahili
wameajiri waswahili kuwafugia ng'ombe kwenye majumba yao ya ghorofa
 
Ushaur wangu kwa vijana.
Ni bora ununue kiwanja bei ghali sana ujenge nyumba ya hela chache kuliko kununua kiwanja bei ndogo ukajenga li ghorofa. Utakuja kunishukuru.
Akili yako inafanya kazi vizuri, kuna jamaa yangu kuuza nyumba Tabata kwenda Kujenga Chanika, inashangaza sana, hata kama kufanya hivyo kuna pesa unabaki nayo Mimi sifanyi biashara hiyo.

Mimi naishi kilometres 12 tu kutoka city center, huwezi kunipeleka sehemu kuishi masaa mawili upo barabarani ni kutotumia akili vizuri na kufuata viwanja vya bei rahisi.

Maeneo yetu nyumba za million 40 bado zipo ni bora mtu ununuwe uvunje ujenge unachotaka kuliko kuishi sehemu kama unasafiri mikoani.
 
Back
Top Bottom