msela safi
Member
- Dec 23, 2022
- 11
- 7
Wewe hupajui mtoni kijichii ushuaniii weweee,umechelewa mjini hapa kaa kwa kutuliaa huko ndipo zilipo hadi kota za azamMtoni Kijichi bado. Inaonekana wewe Mbezi Beach huijui
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe hupajui mtoni kijichii ushuaniii weweee,umechelewa mjini hapa kaa kwa kutuliaa huko ndipo zilipo hadi kota za azamMtoni Kijichi bado. Inaonekana wewe Mbezi Beach huijui
Naa akulipe nani iliupate kiwanja mbagala,mchukue mtu wa mbagala hood yeyote mpeleke kokote tanzania anatoboaInaonekana kuna wakaazi wa mbagala wengi humu. Ila mbagala kuna watu jamani, mbagala sikai hata kwa kulipwa.
Hakuna maajabu hukoWewe hupajui mtoni kijichii ushuaniii weweee,umechelewa mjini hapa kaa kwa kutuliaa huko ndipo zilipo hadi kota za azam
hao ndiyo wamekuwa wastaarabu na wajuaji kuliko wazawa wa hapa hapaWengi wao ni wale waliotoka mikoani na magari ya ng'ombe wametembea sehemu mbili tatu au usikute hajawahi kufika Mbagala kabisa wanakuja kuleta ujuaji wa kijinga.
Wengine walikuwa wanalala pamoja na mifugo sasa sijui wanatoa wapi guts za kuisema vibaya Mbagala.
Mbagala ya miaka 90 sio hii ya sasa.
wameajiri waswahili kuwafugia ng'ombe kwenye majumba yao ya ghorofaHaohao waliotoka kulala na ng'ombe walisafiri na Ng'ombe mpaka Dsm kisha wakaja kununua maeneo yenu na kuwekeza kisha wakawaajiri ninyi waswahili
Nasemaje labda kwa mtutu wa bunduki.Naa akulipe nani iliupate kiwanja mbagala,mchukue mtu wa mbagala hood yeyote mpeleke kokote tanzania anatoboa
Akili yako inafanya kazi vizuri, kuna jamaa yangu kuuza nyumba Tabata kwenda Kujenga Chanika, inashangaza sana, hata kama kufanya hivyo kuna pesa unabaki nayo Mimi sifanyi biashara hiyo.Ushaur wangu kwa vijana.
Ni bora ununue kiwanja bei ghali sana ujenge nyumba ya hela chache kuliko kununua kiwanja bei ndogo ukajenga li ghorofa. Utakuja kunishukuru.