Majibu ya John Mnyika kwa Rais Samia, Mwendelezo wa IQ ndogo ndani ya CHADEMA

Chadema usipotumia ubabe huwezi kukaa nao vizuri, nakumbuka walimuyumbisha kikwete na slogan ya kikuda et "nchi haitatawalika"
Mi naona huyu mama aliwalegezea sana.
KATIBA mpya kwanza
 
Poa mkuu, mama amejitahidi sana tena kwa weledi wa hali ya juu katika kujibu maswali ya Kikeke. Ujue ni Kikeke machachari. Tumeshapata jibu kuhusu Mbowe, naomba serikali iendelee na kazi yake.
Sitegemei majibu au mtazamo wa Mama kuhusu hiyo kesi ya akina Mbowe uwe tofauti na maelezo ya Polisi, kwani wao ndio wanampa taarifa hizo. Lakini kama nakumbuka vizuri, huko nyuma kuna Kijana mmoja alikuwa anakabiliwa na kesi moja na baadaye alikuja kusema kuwa Polisi walikuwa wanamshinikiza ataje baadhi ya Viongozi wa vyama vya siasa kuwa ndio wako nyuma yake. Kwa tabia kama hizo wanaweza kuwashinikiza hao vijana wanaoshitakiwa na Mbowe kufanya vivyo hivyo.
 
Kama kweli taarifa alizonazo Rais ni taarifa makini basi hakuna sababu Mbowe kufikishwa mahakamani tukijua Polisi na Majaji wote ni wateule wa Rais, mahakama itoe hukumu tu.
 
Sijasoma hadi mwisho ila nahisi una mtindio wa ubongo.
 
Huna akilI,Mnyika ni kakaake Mbowe au.
Mnyika ni katibu mkuu wa CDM na anayemtetea ni mwenyekiti wake. Asichague upande kivipi?
Watamzania wengi specifically wanaCCM ni wapumbavu sana.
 
Taarifa makini alizonazo Raisi, Kwamfano Kwahiyo hizitozo wewe na familia yako mnafurahia kulinda na Raisi alivyosema wananchi wanaifurahia tozo? Kama sivyo huoni kama Raisi anaingizwa chaka bila mwenyewe kujua?
 
Ongeza sauti tafadhali ndugu,yangu tafakari yako, hujaeleweka wala kusikika.
 
We mpumbavu,tueleze kwenye hiyo mizunguko ya kamapeni ya JPM na Samia,ni wapi ambapo wananchi tulisema tunataka tozo kwenye miamala?Mbona Mama anadanganya kuwa wananchi tumekubali tozo kwenye miamala?Aliwauliza wananchi gani?
Shwain!
 
Wewe utakuwa unapigwa miti..sio bure
 
nadhani hata kwa wakati huu mali za Mbowe zote zinapaswa zizuiliwe pomja na acount zake.
lazima sheria ya Ugaidi ifuatwe kikamilifu.

Nilishangaa sana alipo fikishwa nakaona Mbowe anaruhusiwa kukumbatiana na jamaa zake!!
mahakamani lazima gaidi alindwe, nilishangaa pale kisutu inakuwaje Gaidi anapewa nafasi ya kukubatiana na watu mahakamani?!! hili halipaswi kujitokeza. ni muhimu vyombo vyetu vyote vikajifunza kutoka mataifa mengine namna ya kudili na watuhumiwa wa Ugaidi.
kamwe vyombo vyetu vya ulinzi na usalama visikubali kuhadaiwa au kupakwa mafuta kwa mgongo wa chupa na mawakili au viongozi wa chadema, lazima sheria ifuatwe kikamilifu kama ilivyo kuwa inafuatwa kwa washitakiwa wengine.
nilishangaa kuwaona watuhumiwa wenzake wa Ugaidi wamefungwa pingu huku Mbowe akiwa hajafungwa pingu, sijafahamu kwa nn,!! kama hakuna ulazima basi wote wasifungwe pingu, sio baadhi wanafungwa wengine hawafungwi!!!
 
CHADEMA na Wanaharakati wao wanakutana kujadili mahojiano ya Rais.
(SPACE) leo🤣😃
 
Akili matope hizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…