Majibu ya John Mnyika kwa Rais Samia, Mwendelezo wa IQ ndogo ndani ya CHADEMA

Majibu ya John Mnyika kwa Rais Samia, Mwendelezo wa IQ ndogo ndani ya CHADEMA

MAJIBU YA MNYIKA KWA RAIS, MWENDELEZO WA LOW IQ NDANI YA CHADEMA

Siku zote nimekuwa nikisema Chadema ni genge la wahuni na basi kama kuna wakati hilo limethibitika basi ni majibu ya Chadema leo kwa mahojiano ambayo Mhe Rais Samia Suluhu Hassan ameyafanya na BBC akiwa mtulivu na akijenga hoja bila mbwembwe. Lakini loooh! linaibuka jitu hata mswaki sidhani kama limewahi kupiga leo na eti kujibu hoja za Rais. Hapa nachambua low IQ 10 za Chadema ktk hili:

1. RAIS HAKUZUNGUMZA NA CHADEMA BALI DUNIA

Kwanza Ni maajabu kuona Chadema wanaibuka kumjibu Rais katika masuala mbalimbali ambayo kwanza ametoa maoni yake kikatiba lakini ni masuala mtambuka na yanayogusa makundi mengi. Je, kila mtu aibuke kumjibu Rais?! Pumbavu kabisa!

Hapa ndipo unajiuliza hii style ya Chadema ya kukurupuka hata bila kuacha mambo yaende na wayatafakari ni kiashiria cha nini? Hakuna utulivu ndani ya Chama hicho? Hakuna uongozi ndani ya Chama? Kila mtu awe Katibu, Makamu Mwenyekiti wanachama, wote hawana ajenda ni mwendo wa kuropoka tu!!

Ni madhara haya katika point namba moja ndio hasa pia msingi wa udhaifu mwingine mwingi wa Chadema hapa chini!

2. KWAMBA RAIS KAINGILIA UHURU WA MAHAKAMA

Ni dai lenye akili ndogo na la mtu aliyekosa utulivu wakati wa kusikiliza mahojiano ya Rais. Rais alikuwa anajibu hoja ambayo hata Chadema wamekuwa wakiimba kuwa Mbowe wao kafunguliwa mashtaka ya kisiasa. Je wao nao kusema hivyo waliingilia uhuru wa Mahakama?

Rais kajibu umbea huo kwa kutoa investigative facts (na sio evidence) kwamba mbona tangu mwaka jana Mbowe alikuwa anajua anachunguzwa kwa makosa hayo??

Mwisho Rais baada ya kutoa historia hiyo ya kesi akasema sasa kama ni siasa au makosa ya jinai kamili aliyoyatenda Mbowe tuiachie Mahakama itaamua. Hapa Rais, kwa kauli low ya Mnyika, kakosea nini? Mmehoji mmejibiwa.

Katika historia, mawanda na filosofia ya dhana ya uhuru wa Mahakama haijawahi kuwa ni kuingilia Uhuru wa Mahakama mtu kuitaja kesi husika na kuijadili inavyokwenda au kujadili historia yake, mambo ambayo Mnyika pia leo katika press yake ameyafanya.

Kinachozuiwa ni kuingilia mwenendo wa kesi, kutoa ushahidi wa kesi na/au kumshikiza Jaji/Hakimu (haya yote Rais hakuyafanya isipokuwa ni Chadema wanayoyafanya kila siku kushinikiza Mbowe aachiwe wakati Mahakama itasikiliza na kuamua na leo pia katika press yake Mnyika amekosea tena kwa kuishinikiza Mahakama mara kadhaa).

Kwa hiyo hata pale Mnyika aliposema eti Chama chake kimewaagiza mawakili wao wakaangalie hatua za kuchukua labda waanze kumchukulia hatua yeye kwanza na Chadema wengine wanaoshinikiza Mahakama kila siku wakidai mashtaka ni ya kisiasa wanawasiwasi gani si wasubiri hukumu!

3. KWAMBA CHADEMA WANASUBIRI KUONANA NA RAIS

Low IQ, Rais kashasema ataita vyama vyote subirini muitwe na wenzenu pamoja ubinafsi wa nini? Halafu yule Makamu wenu zwazwa aliye nje ya nchi si alipigiwa simu na Rais akasema yuko busy! Mnatafutwa mnaleta dharau mnajuaje kama ndio alikuwa anawaita? Low IQ sana nyie, endeleeni kusibiri!

4. KUHUSU VURUGU ZA KISIASA

Kamnyika kanadai kauli ya Rais kukataa demokrasia ya vurugu haina maana kwamba si kweli wao hawaletagi vurugu. Haka kajamaa IQ nadhani imehama licha ya kuwa ndogo.

Chadema leo ni wa kujifanya hawajui chama chao kilivyosababisha mauaji Morogoro, Arusha na maeneo mengine? Wamesahau walivyosababisha vituo vya polisi, mali kama magari, maduka na miili ya watu ilivyoharibiwa vibaya kwa kuchomwa au kujeruhiwa kwa sababu ya maandamano kichaa kichaa ya Chadema na siku zote viongozi wao wakuu wakiwa wameyaanzisha na kuyakimbia na wanaoumia ni watu wa chini!

Anasema eti Trump anafanya mikutano Marekani, sasa kwani Rais Samia kakataa hilo lakini ushamuona Trump anafanya mkutano wafuasi wake wakavamia biashara za watu na kuiba mishkaki, wanavamia maembe ya watu, karanga na kujeruhi watu na kuua watu? Rais Samia alikuwa wazi hapa tutofautishe demokrasia makini na demokrasia ya fujo, hii ya pili hata Marekani hawaruhusu!Period.

5. KWAMBA KATIBA IMETOA HAKI YA KUANDAMANA

Madhara ya kukurupuka na low IQ. Hakuna haki ya kuandamana ndani ya Katiba bali haki ya kukusanyika na kukusanyika kwa pragmatikia ya ibara ya 18 ya Katiba sio lazima iwe kuandamana.

Lakini hata ingekuwa hivyo bado Mnyika asaidiwe asisome Katiba kama gazeti. Ibara ya 30 ya Katiba inaweka masharti na mipaka, ambayo hata kama ingekuwa kweli maandamano ni haki bado kuna mambo ya kuzingatia kama kutoathiri usalama wa wananchi na kutovunja haki zao nyingine. Sasa huyu Mnyika wa wapi huyu eti anaona maandamano ni jambo la holela tu!!!Haki hiyo haipo si Tanzania tu bali hadi UK na US.

Ndio maana hata maandamano yasiyo ya kisiasa kule Marekani aliyoyataja kama “Black Lives Matter” wapo waandanaji waliokamatwa na kushtakiwa kwa kukiuka haki za wengine!

6. MUWE NA HESHIMA KWA MEDIA

Kuonesha maChadema ni makwapuaji ya haki huku wakidai haki leo Mnyika amesikika akiwalazimisha wanahabari eti waache kuchukua story kutoka maswali ya nyongeza badala yake wachukue story kutoka maelezo yake makuu.

Chama hiki ndio cha demokrasia? Demokrasia ndio hii ya kubinya uhuru wa habari kwa kuwapangia na kuwalazimisha cha kuandika?


7. CHADEMA AJENDA ZENU NI ZIPI SASA?

Wakati nafanya uchambuzi huu nikapause kwanza kujiuliza hivi tunadeal na watu wenye ajenda gani by the way!!

Zi wapi zama zile za kusimamia hoja kama ufisadi, mikataba ya gesi na madini na masuala kama barabara na maji?

Yani leo Chadema hoja hizo zikija haziwahusu ila ibua la Katiba wataaamka na low IQ zao na kukubamia asubuhi hata chai hawajanywa. Lost Boys!’

8.*MUWE NA STAHA KWA RAIS WETU

Kuibuka kwenu mara kwa mara na midomo yenu michafu na bila hoja kumtusi Rais wa nchi kwa lugha chafu kama kumuita muongo hatutaendelea kukubaliana na hayo.

Rais apewe heshima yake stahiki na kama hamko tayari kumheshimu, sisi tunamheshimu, na kama heshima ni ngumu kwenu basi kaeni kimya.

Rais huyu ni wetu sisi zaidi ya nyie mlioamua mwaka 2020 kuunga mkono ushoga, ugaidi na kila aina ya uchafu aliouleta Lissu. Mtuheshimu wengi tulioziona sera bora za JPM na Mama Samia walipopita mitaani kwetu. Mtu heshimu au mnyamaze.

9. KWAMBA WANANCHI WANATAKA KATIBA!

Chadema haki ya Mungu ni janga la nchi hii na kwa kweli tuishi nalo tu ipo siku. Mama Samia amepita kufanya kampeni yeye na marehemu JPM na mikutano ilikuwa live wote tulisikia na kuona wananchi wanataka nini.

Chadema pia wamepita mikoani kupitia Tundu Lissu na Mgombea mwenza wake. Ni asilimia ngapi ya wananchi walibeba mabango au kuuliza suala la Katiba mpya??

Upuuzi mtupu maana hata Lissu mahali pengi tu hakutaja kabisa Katiba mpya alijua watu wanataka maji, elimu, shule nk.

By the way nyie Chadema si ndio mlijitoa kuunga mkono Katiba pendekezwa ambayo ilishakuwa na mambo very progressive kama mgombea binafsi, kuhoji matokeo ya arais etc, kama mlikimbia Bunge la Katina na kulizuis kumalizia kazi yake wakati ule leo mna moral authority gani ya kudai katiba mpya? Low IQ!

10. CHADEMA WAACHE PAPARA

Kwa ujumla ni maoni yangu kuwa Chadema wafanye siasa na sio uanaharakati wa kila siku kusubiri viongozi wa Serikali waseme wao wajibu.

Chadema ni chama chenye mikakati ambayo mingi inabaki kwenye makaratasi. Leo chama hakina programu yoyote ya kukiimarisha chama chini ofisi zipo hoi nk lakini viongozi wa kitaifa ni wao na wanahabari ni wao na instagram. Siasa za kiki! Mnazidi kuchosha na kuchuja.

View attachment 1887233
Mnyika Ana IQ ndogo basi Tanganyika hakuna mwenye IQ kubwa😂😂😂😂
 
Hivi toka vyama pinzani vianze kina lipumba ,mbowe na lisu wamepalakwa mahakamani mara ngapi mpaka sasa, na selikali imeshinda kesi ngapi ktk hizo?

Kama usoma huwezi tazama picha.
 
..polisi na mahakama sio mahali salama kwa wasio wana-ccm.

..bado sijaona tofauti ya ukamataji wa polisi wa wakati wa jpm na ssh.
Hii ni kauli ya wapinzani siku zote, wakishinda huko Mahakamani basi mahakama ni nzuri sana, wakishindwa basi mahakama haifai!!! Ni mara ngapi na kesi ngapi mmeshinda huko mahakamani na mkaja hapa kusifia na kushangilia sana? Mifano ni mingi, michache ya hivi karibuni ni Mdude, kurudishiwa hela za faini, kuachiwa wanachama wenu kadhaa waliokuwa na kesi za uchaguzi!! Simkumbuki mwanachama prominent yeyote huko kwenu kafungwa na na bado yupo jela mpaka sasa kwa kipindi cha miaka 5 iliyopita. TUIACHIE MAHAKAMA IAMUE MZEE, MBONA JAMBO LIPO WAZI SANA? NA KESI ITAENDESHWA MAHAKAMA YA WAZI, SIONI KAMA KUNA TATIZO HAPO, LABDA MUHESHIMIWA MBOWE KUNA KITU HATAKI KIJULIKANE MAHAKAMANI!!
Kuhusu mapolisi wa TZ ni kwamba siyo kwamba hawapo fair kwa wapinzani tu, kundi kubwa linaloonewa na polisi TZ ni raia maskini, hao wanateseka mno mahabusu na magereza na hamna wakuwatetea. Mfano kuna siku kutokana na maujinga yangu niliyofanya niliingizwa mahabusu, sasa pale kituoni maaskari wengi wananifahamu (Viofa vya hapa na pale na mizinga), waliponiona walinihamisha fasta wakanipeleka mahabusu ya watoto ambapo mazingira siyo mabaya sana (wakasema Mkuu huwezi kukaa kule), ni maskini wangapi wanapata treatment kama hiyo? Hata huyo Mbowe treatment anayopata huko mahabusu siyo sawa na makapuku!
 
Umeweka na namba kabisa kwenye uzi wako utafikiri umeandika vitu vya maana kama mnyika hapigi mswaki kwanini usiende kuwa mke wake ili ukiwa kama mke wake wa pili uwe unamsisitiza awe anapiga mswaki
 
Hii ni kauli ya wapinzani siku zote, wakishinda huko Mahakamani basi mahakama ni nzuri sana, wakishindwa basi mahakama haifai!!! Ni mara ngapi na kesi ngapi mmeshinda huko mahakamani na mkaja hapa kusifia na kushangilia sana? Mifano ni mingi, michache ya hivi karibuni ni Mdude, kurudishiwa hela za faini, kuachiwa wanachama wenu kadhaa waliokuwa na kesi za uchaguzi!! Simkumbuki mwanachama prominent yeyote huko kwenu kafungwa na na bado yupo jela mpaka sasa kwa kipindi cha miaka 5 iliyopita. TUIACHIE MAHAKAMA IAMUE MZEE, MBONA JAMBO LIPO WAZI SANA? NA KESI ITAENDESHWA MAHAKAMA YA WAZI, SIONI KAMA KUNA TATIZO HAPO, LABDA MUHESHIMIWA MBOWE KUNA KITU HATAKI KIJULIKANE MAHAKAMANI!!
Kuhusu mapolisi wa TZ ni kwamba siyo kwamba hawapo fair kwa wapinzani tu, kundi kubwa linaloonewa na polisi TZ ni raia maskini, hao wanateseka mno mahabusu na magereza na hamna wakuwatetea. Mfano kuna siku kutokana na maujinga yangu niliyofanya niliingizwa mahabusu, sasa pale kituoni maaskari wengi wananifahamu (Viofa vya hapa na pale na mizinga), waliponiona walinihamisha fasta wakanipeleka mahabusu ya watoto ambapo mazingira siyo mabaya sana (wakasema Mkuu huwezi kukaa kule), ni maskini wangapi wanapata treatment kama hiyo? Hata huyo Mbowe treatment anayopata huko mahabusu siyo sawa na makapuku!

..ukiwalinganisha wapinzani na ccm mbele ya polisi na mahakama zetu, ccm ni raia daraja la kwanza, na wapinzani ni sawa na raia wa daraja la nne.

..kule Mwanza jeshi la polisi lilipeleka MBWA kukabiliana na wanachadema ktk kongamano la katiba. Je, ni lini uliona polisi wamepeleka mbwa kuwatawanya wanaccm?
 
Eti kijana kama huyu mleta mada ndio taifa la leo, kesho na keshokutwa 😭😭😭

Katiba anayopigania Mbowe ni ya Watanzania wote sio ya chadema.

Mimi naona bora wapinzani wanyamaze kimya ili watanzania wajue umuhimu wao
Yeah!

Wakinyamaza kimya na kufunga mibakuli two watawasaidia sana Watanzania
 
Lumumba fc siku hizi mnakula posho za bule shaka hajawashitukia endereeni kula mema ya nchi
 
..ukiwalinganisha wapinzani na ccm mbele ya polisi na mahakama zetu, ccm ni raia daraja la kwanza, na wapinzani ni sawa na raia wa daraja la nne.

..kule Mwanza jeshi la polisi lilipeleka MBWA kukabiliana na wanachadema ktk kongamano la katiba. Je, ni lini uliona polisi wamepeleka mbwa kuwatawanya wanaccm?
Kwa mujibu wao ni kuwa CCM wanafuata utaratibu wote wa kisheria, CDM hawafuati, sijawahi kusikia CDM wakikanusha hilo kwa kuonesha/kusema ni utaratibu gani inabidi zifuatwe na kuonesha vidhibiti vyote waliufuata na bado wakapigwa, zaidi wanachofanya mara nyingi ni kuitisha press na kuwakejeli na kuwazushia uzushi, hata ningekuwa mimi polisi ningekuwa na kinyongo nao. Suala la Mwanza RC previous day alisitisha mikusanyiko isiyo ya lazima ili kulikabibili janga la covid, akasema wanaotaka kufanya mikusanyiko wakaombe vibali, CDM walienda kuomba kibali au waliamua kuwatunishia msuli polisi? Wangeomba kibali wangenyimwa si ingekuwa njia nzuri zaidi ya kupaza sauti tunanyimwa vibali vya kukutana? Mwisho wa siku Mbowe akamuita DC wa Nyamagana/Ilemela (not sure) kuwa ni mjinga kwenye press
 
Low IQ unaweza tumia Polisi badala yakupita tu?
Low IQ ungekuwa unazuia hoja zisijadiliwe kwa hoja?
Low IQ mbona wanaeleza mistari 5 wewe unaandika maelezo marefu kuwachambulia Low IQ ambao hawaeleweki kwako Bali kwa wengine wanaeleweka.
Mkuu huyo jamaa siyo low IQ ni zero (
0.00IQ)
 
MAJIBU YA MNYIKA KWA RAIS, MWENDELEZO WA LOW IQ NDANI YA CHADEMA

Siku zote nimekuwa nikisema Chadema ni genge la wahuni na basi kama kuna wakati hilo limethibitika basi ni majibu ya Chadema leo kwa mahojiano ambayo Mhe Rais Samia Suluhu Hassan ameyafanya na BBC akiwa mtulivu na akijenga hoja bila mbwembwe. Lakini loooh! linaibuka jitu hata mswaki sidhani kama limewahi kupiga leo na eti kujibu hoja za Rais. Hapa nachambua low IQ 10 za Chadema ktk hili:

1. RAIS HAKUZUNGUMZA NA CHADEMA BALI DUNIA

Kwanza Ni maajabu kuona Chadema wanaibuka kumjibu Rais katika masuala mbalimbali ambayo kwanza ametoa maoni yake kikatiba lakini ni masuala mtambuka na yanayogusa makundi mengi. Je, kila mtu aibuke kumjibu Rais?! Pumbavu kabisa!

Hapa ndipo unajiuliza hii style ya Chadema ya kukurupuka hata bila kuacha mambo yaende na wayatafakari ni kiashiria cha nini? Hakuna utulivu ndani ya Chama hicho? Hakuna uongozi ndani ya Chama? Kila mtu awe Katibu, Makamu Mwenyekiti wanachama, wote hawana ajenda ni mwendo wa kuropoka tu!!

Ni madhara haya katika point namba moja ndio hasa pia msingi wa udhaifu mwingine mwingi wa Chadema hapa chini!

2. KWAMBA RAIS KAINGILIA UHURU WA MAHAKAMA

Ni dai lenye akili ndogo na la mtu aliyekosa utulivu wakati wa kusikiliza mahojiano ya Rais. Rais alikuwa anajibu hoja ambayo hata Chadema wamekuwa wakiimba kuwa Mbowe wao kafunguliwa mashtaka ya kisiasa. Je wao nao kusema hivyo waliingilia uhuru wa Mahakama?

Rais kajibu umbea huo kwa kutoa investigative facts (na sio evidence) kwamba mbona tangu mwaka jana Mbowe alikuwa anajua anachunguzwa kwa makosa hayo??

Mwisho Rais baada ya kutoa historia hiyo ya kesi akasema sasa kama ni siasa au makosa ya jinai kamili aliyoyatenda Mbowe tuiachie Mahakama itaamua. Hapa Rais, kwa kauli low ya Mnyika, kakosea nini? Mmehoji mmejibiwa.

Katika historia, mawanda na filosofia ya dhana ya uhuru wa Mahakama haijawahi kuwa ni kuingilia Uhuru wa Mahakama mtu kuitaja kesi husika na kuijadili inavyokwenda au kujadili historia yake, mambo ambayo Mnyika pia leo katika press yake ameyafanya.

Kinachozuiwa ni kuingilia mwenendo wa kesi, kutoa ushahidi wa kesi na/au kumshikiza Jaji/Hakimu (haya yote Rais hakuyafanya isipokuwa ni Chadema wanayoyafanya kila siku kushinikiza Mbowe aachiwe wakati Mahakama itasikiliza na kuamua na leo pia katika press yake Mnyika amekosea tena kwa kuishinikiza Mahakama mara kadhaa).

Kwa hiyo hata pale Mnyika aliposema eti Chama chake kimewaagiza mawakili wao wakaangalie hatua za kuchukua labda waanze kumchukulia hatua yeye kwanza na Chadema wengine wanaoshinikiza Mahakama kila siku wakidai mashtaka ni ya kisiasa wanawasiwasi gani si wasubiri hukumu!

3. KWAMBA CHADEMA WANASUBIRI KUONANA NA RAIS

Low IQ, Rais kashasema ataita vyama vyote subirini muitwe na wenzenu pamoja ubinafsi wa nini? Halafu yule Makamu wenu zwazwa aliye nje ya nchi si alipigiwa simu na Rais akasema yuko busy! Mnatafutwa mnaleta dharau mnajuaje kama ndio alikuwa anawaita? Low IQ sana nyie, endeleeni kusibiri!

4. KUHUSU VURUGU ZA KISIASA

Kamnyika kanadai kauli ya Rais kukataa demokrasia ya vurugu haina maana kwamba si kweli wao hawaletagi vurugu. Haka kajamaa IQ nadhani imehama licha ya kuwa ndogo.

Chadema leo ni wa kujifanya hawajui chama chao kilivyosababisha mauaji Morogoro, Arusha na maeneo mengine? Wamesahau walivyosababisha vituo vya polisi, mali kama magari, maduka na miili ya watu ilivyoharibiwa vibaya kwa kuchomwa au kujeruhiwa kwa sababu ya maandamano kichaa kichaa ya Chadema na siku zote viongozi wao wakuu wakiwa wameyaanzisha na kuyakimbia na wanaoumia ni watu wa chini!

Anasema eti Trump anafanya mikutano Marekani, sasa kwani Rais Samia kakataa hilo lakini ushamuona Trump anafanya mkutano wafuasi wake wakavamia biashara za watu na kuiba mishkaki, wanavamia maembe ya watu, karanga na kujeruhi watu na kuua watu? Rais Samia alikuwa wazi hapa tutofautishe demokrasia makini na demokrasia ya fujo, hii ya pili hata Marekani hawaruhusu!Period.

5. KWAMBA KATIBA IMETOA HAKI YA KUANDAMANA

Madhara ya kukurupuka na low IQ. Hakuna haki ya kuandamana ndani ya Katiba bali haki ya kukusanyika na kukusanyika kwa pragmatikia ya ibara ya 18 ya Katiba sio lazima iwe kuandamana.

Lakini hata ingekuwa hivyo bado Mnyika asaidiwe asisome Katiba kama gazeti. Ibara ya 30 ya Katiba inaweka masharti na mipaka, ambayo hata kama ingekuwa kweli maandamano ni haki bado kuna mambo ya kuzingatia kama kutoathiri usalama wa wananchi na kutovunja haki zao nyingine. Sasa huyu Mnyika wa wapi huyu eti anaona maandamano ni jambo la holela tu!!!Haki hiyo haipo si Tanzania tu bali hadi UK na US.

Ndio maana hata maandamano yasiyo ya kisiasa kule Marekani aliyoyataja kama “Black Lives Matter” wapo waandanaji waliokamatwa na kushtakiwa kwa kukiuka haki za wengine!

6. MUWE NA HESHIMA KWA MEDIA

Kuonesha maChadema ni makwapuaji ya haki huku wakidai haki leo Mnyika amesikika akiwalazimisha wanahabari eti waache kuchukua story kutoka maswali ya nyongeza badala yake wachukue story kutoka maelezo yake makuu.

Chama hiki ndio cha demokrasia? Demokrasia ndio hii ya kubinya uhuru wa habari kwa kuwapangia na kuwalazimisha cha kuandika?


7. CHADEMA AJENDA ZENU NI ZIPI SASA?

Wakati nafanya uchambuzi huu nikapause kwanza kujiuliza hivi tunadeal na watu wenye ajenda gani by the way!!

Zi wapi zama zile za kusimamia hoja kama ufisadi, mikataba ya gesi na madini na masuala kama barabara na maji?

Yani leo Chadema hoja hizo zikija haziwahusu ila ibua la Katiba wataaamka na low IQ zao na kukubamia asubuhi hata chai hawajanywa. Lost Boys!’

8.*MUWE NA STAHA KWA RAIS WETU

Kuibuka kwenu mara kwa mara na midomo yenu michafu na bila hoja kumtusi Rais wa nchi kwa lugha chafu kama kumuita muongo hatutaendelea kukubaliana na hayo.

Rais apewe heshima yake stahiki na kama hamko tayari kumheshimu, sisi tunamheshimu, na kama heshima ni ngumu kwenu basi kaeni kimya.

Rais huyu ni wetu sisi zaidi ya nyie mlioamua mwaka 2020 kuunga mkono ushoga, ugaidi na kila aina ya uchafu aliouleta Lissu. Mtuheshimu wengi tulioziona sera bora za JPM na Mama Samia walipopita mitaani kwetu. Mtu heshimu au mnyamaze.

9. KWAMBA WANANCHI WANATAKA KATIBA!

Chadema haki ya Mungu ni janga la nchi hii na kwa kweli tuishi nalo tu ipo siku. Mama Samia amepita kufanya kampeni yeye na marehemu JPM na mikutano ilikuwa live wote tulisikia na kuona wananchi wanataka nini.

Chadema pia wamepita mikoani kupitia Tundu Lissu na Mgombea mwenza wake. Ni asilimia ngapi ya wananchi walibeba mabango au kuuliza suala la Katiba mpya??

Upuuzi mtupu maana hata Lissu mahali pengi tu hakutaja kabisa Katiba mpya alijua watu wanataka maji, elimu, shule nk.

By the way nyie Chadema si ndio mlijitoa kuunga mkono Katiba pendekezwa ambayo ilishakuwa na mambo very progressive kama mgombea binafsi, kuhoji matokeo ya arais etc, kama mlikimbia Bunge la Katina na kulizuis kumalizia kazi yake wakati ule leo mna moral authority gani ya kudai katiba mpya? Low IQ!

10. CHADEMA WAACHE PAPARA

Kwa ujumla ni maoni yangu kuwa Chadema wafanye siasa na sio uanaharakati wa kila siku kusubiri viongozi wa Serikali waseme wao wajibu.

Chadema ni chama chenye mikakati ambayo mingi inabaki kwenye makaratasi. Leo chama hakina programu yoyote ya kukiimarisha chama chini ofisi zipo hoi nk lakini viongozi wa kitaifa ni wao na wanahabari ni wao na instagram. Siasa za kiki! Mnazidi kuchosha na kuchuja.

View attachment 1887233
Kwa nini upayuke hivi dhidi ya watu wenye IQ "ndogo"? Nawe IQ yako ni fupi kuliko ya wao.
 
Ukiwa mwerevu kabisa kabisa hadi muda huu utajua kati ya Salim Kikeke, Samia na Mnyika mwenye IQ ndogo ni yupi.
 
Wa
MAJIBU YA MNYIKA KWA RAIS, MWENDELEZO WA LOW IQ NDANI YA CHADEMA

Siku zote nimekuwa nikisema Chadema ni genge la wahuni na basi kama kuna wakati hilo limethibitika basi ni majibu ya Chadema leo kwa mahojiano ambayo Mhe Rais Samia Suluhu Hassan ameyafanya na BBC akiwa mtulivu na akijenga hoja bila mbwembwe. Lakini loooh! linaibuka jitu hata mswaki sidhani kama limewahi kupiga leo na eti kujibu hoja za Rais. Hapa nachambua low IQ 10 za Chadema ktk hili:

1. RAIS HAKUZUNGUMZA NA CHADEMA BALI DUNIA

Kwanza Ni maajabu kuona Chadema wanaibuka kumjibu Rais katika masuala mbalimbali ambayo kwanza ametoa maoni yake kikatiba lakini ni masuala mtambuka na yanayogusa makundi mengi. Je, kila mtu aibuke kumjibu Rais?! Pumbavu kabisa!

Hapa ndipo unajiuliza hii style ya Chadema ya kukurupuka hata bila kuacha mambo yaende na wayatafakari ni kiashiria cha nini? Hakuna utulivu ndani ya Chama hicho? Hakuna uongozi ndani ya Chama? Kila mtu awe Katibu, Makamu Mwenyekiti wanachama, wote hawana ajenda ni mwendo wa kuropoka tu!!

Ni madhara haya katika point namba moja ndio hasa pia msingi wa udhaifu mwingine mwingi wa Chadema hapa chini!

2. KWAMBA RAIS KAINGILIA UHURU WA MAHAKAMA

Ni dai lenye akili ndogo na la mtu aliyekosa utulivu wakati wa kusikiliza mahojiano ya Rais. Rais alikuwa anajibu hoja ambayo hata Chadema wamekuwa wakiimba kuwa Mbowe wao kafunguliwa mashtaka ya kisiasa. Je wao nao kusema hivyo waliingilia uhuru wa Mahakama?

Rais kajibu umbea huo kwa kutoa investigative facts (na sio evidence) kwamba mbona tangu mwaka jana Mbowe alikuwa anajua anachunguzwa kwa makosa hayo??

Mwisho Rais baada ya kutoa historia hiyo ya kesi akasema sasa kama ni siasa au makosa ya jinai kamili aliyoyatenda Mbowe tuiachie Mahakama itaamua. Hapa Rais, kwa kauli low ya Mnyika, kakosea nini? Mmehoji mmejibiwa.

Katika historia, mawanda na filosofia ya dhana ya uhuru wa Mahakama haijawahi kuwa ni kuingilia Uhuru wa Mahakama mtu kuitaja kesi husika na kuijadili inavyokwenda au kujadili historia yake, mambo ambayo Mnyika pia leo katika press yake ameyafanya.

Kinachozuiwa ni kuingilia mwenendo wa kesi, kutoa ushahidi wa kesi na/au kumshikiza Jaji/Hakimu (haya yote Rais hakuyafanya isipokuwa ni Chadema wanayoyafanya kila siku kushinikiza Mbowe aachiwe wakati Mahakama itasikiliza na kuamua na leo pia katika press yake Mnyika amekosea tena kwa kuishinikiza Mahakama mara kadhaa).

Kwa hiyo hata pale Mnyika aliposema eti Chama chake kimewaagiza mawakili wao wakaangalie hatua za kuchukua labda waanze kumchukulia hatua yeye kwanza na Chadema wengine wanaoshinikiza Mahakama kila siku wakidai mashtaka ni ya kisiasa wanawasiwasi gani si wasubiri hukumu!

3. KWAMBA CHADEMA WANASUBIRI KUONANA NA RAIS

Low IQ, Rais kashasema ataita vyama vyote subirini muitwe na wenzenu pamoja ubinafsi wa nini? Halafu yule Makamu wenu zwazwa aliye nje ya nchi si alipigiwa simu na Rais akasema yuko busy! Mnatafutwa mnaleta dharau mnajuaje kama ndio alikuwa anawaita? Low IQ sana nyie, endeleeni kusibiri!

4. KUHUSU VURUGU ZA KISIASA

Kamnyika kanadai kauli ya Rais kukataa demokrasia ya vurugu haina maana kwamba si kweli wao hawaletagi vurugu. Haka kajamaa IQ nadhani imehama licha ya kuwa ndogo.

Chadema leo ni wa kujifanya hawajui chama chao kilivyosababisha mauaji Morogoro, Arusha na maeneo mengine? Wamesahau walivyosababisha vituo vya polisi, mali kama magari, maduka na miili ya watu ilivyoharibiwa vibaya kwa kuchomwa au kujeruhiwa kwa sababu ya maandamano kichaa kichaa ya Chadema na siku zote viongozi wao wakuu wakiwa wameyaanzisha na kuyakimbia na wanaoumia ni watu wa chini!

Anasema eti Trump anafanya mikutano Marekani, sasa kwani Rais Samia kakataa hilo lakini ushamuona Trump anafanya mkutano wafuasi wake wakavamia biashara za watu na kuiba mishkaki, wanavamia maembe ya watu, karanga na kujeruhi watu na kuua watu? Rais Samia alikuwa wazi hapa tutofautishe demokrasia makini na demokrasia ya fujo, hii ya pili hata Marekani hawaruhusu!Period.

5. KWAMBA KATIBA IMETOA HAKI YA KUANDAMANA

Madhara ya kukurupuka na low IQ. Hakuna haki ya kuandamana ndani ya Katiba bali haki ya kukusanyika na kukusanyika kwa pragmatikia ya ibara ya 18 ya Katiba sio lazima iwe kuandamana.

Lakini hata ingekuwa hivyo bado Mnyika asaidiwe asisome Katiba kama gazeti. Ibara ya 30 ya Katiba inaweka masharti na mipaka, ambayo hata kama ingekuwa kweli maandamano ni haki bado kuna mambo ya kuzingatia kama kutoathiri usalama wa wananchi na kutovunja haki zao nyingine. Sasa huyu Mnyika wa wapi huyu eti anaona maandamano ni jambo la holela tu!!!Haki hiyo haipo si Tanzania tu bali hadi UK na US.

Ndio maana hata maandamano yasiyo ya kisiasa kule Marekani aliyoyataja kama “Black Lives Matter” wapo waandanaji waliokamatwa na kushtakiwa kwa kukiuka haki za wengine!

6. MUWE NA HESHIMA KWA MEDIA

Kuonesha maChadema ni makwapuaji ya haki huku wakidai haki leo Mnyika amesikika akiwalazimisha wanahabari eti waache kuchukua story kutoka maswali ya nyongeza badala yake wachukue story kutoka maelezo yake makuu.

Chama hiki ndio cha demokrasia? Demokrasia ndio hii ya kubinya uhuru wa habari kwa kuwapangia na kuwalazimisha cha kuandika?


7. CHADEMA AJENDA ZENU NI ZIPI SASA?

Wakati nafanya uchambuzi huu nikapause kwanza kujiuliza hivi tunadeal na watu wenye ajenda gani by the way!!

Zi wapi zama zile za kusimamia hoja kama ufisadi, mikataba ya gesi na madini na masuala kama barabara na maji?

Yani leo Chadema hoja hizo zikija haziwahusu ila ibua la Katiba wataaamka na low IQ zao na kukubamia asubuhi hata chai hawajanywa. Lost Boys!’

8.*MUWE NA STAHA KWA RAIS WETU

Kuibuka kwenu mara kwa mara na midomo yenu michafu na bila hoja kumtusi Rais wa nchi kwa lugha chafu kama kumuita muongo hatutaendelea kukubaliana na hayo.

Rais apewe heshima yake stahiki na kama hamko tayari kumheshimu, sisi tunamheshimu, na kama heshima ni ngumu kwenu basi kaeni kimya.

Rais huyu ni wetu sisi zaidi ya nyie mlioamua mwaka 2020 kuunga mkono ushoga, ugaidi na kila aina ya uchafu aliouleta Lissu. Mtuheshimu wengi tulioziona sera bora za JPM na Mama Samia walipopita mitaani kwetu. Mtu heshimu au mnyamaze.

9. KWAMBA WANANCHI WANATAKA KATIBA!

Chadema haki ya Mungu ni janga la nchi hii na kwa kweli tuishi nalo tu ipo siku. Mama Samia amepita kufanya kampeni yeye na marehemu JPM na mikutano ilikuwa live wote tulisikia na kuona wananchi wanataka nini.

Chadema pia wamepita mikoani kupitia Tundu Lissu na Mgombea mwenza wake. Ni asilimia ngapi ya wananchi walibeba mabango au kuuliza suala la Katiba mpya??

Upuuzi mtupu maana hata Lissu mahali pengi tu hakutaja kabisa Katiba mpya alijua watu wanataka maji, elimu, shule nk.

By the way nyie Chadema si ndio mlijitoa kuunga mkono Katiba pendekezwa ambayo ilishakuwa na mambo very progressive kama mgombea binafsi, kuhoji matokeo ya arais etc, kama mlikimbia Bunge la Katina na kulizuis kumalizia kazi yake wakati ule leo mna moral authority gani ya kudai katiba mpya? Low IQ!

10. CHADEMA WAACHE PAPARA

Kwa ujumla ni maoni yangu kuwa Chadema wafanye siasa na sio uanaharakati wa kila siku kusubiri viongozi wa Serikali waseme wao wajibu.

Chadema ni chama chenye mikakati ambayo mingi inabaki kwenye makaratasi. Leo chama hakina programu yoyote ya kukiimarisha chama chini ofisi zipo hoi nk lakini viongozi wa kitaifa ni wao na wanahabari ni wao na instagram. Siasa za kiki! Mnazidi kuchosha na kuchuja.

View attachment 1887233
Wapumbavu kama wewe ni wengi!
 
Wa

Wapumbavu kama wewe ni wengi!
Ni kweli wako wengi...ni products za mikesha ya mwenge, hebu yaone hapa...
  1. JUMA JUMA
  2. Kamanda Asiyechoka
  3. Wakudadavuwa
  4. shamimuodd
  5. Redpanther
  6. GENTAMYCINE
  7. Jasusi Mbobezi
  8. Elitwege
  9. Idugunde
  10. Jumbe Brown
  11. johnthebaptist
  12. USSR
  13. Magonjwa Mtambuka
  14. Dr Akili
  15. Janjaweed
  16. mtanzania1989
  17. Phillipo Bukililo
  18. Mr Dudumizi
  19. digba sowey
  20. IDEGENDA
  21. Niza doyi
  22. Kivumishi Kielezi
  23. Gerald .M Magembe
  24. Jasusi Mbobezi
  25. Jay One
  26. Stuxnet
  27. Ezekiel Mbaga
  28. Latvia
  29. Iboya2021
  30. Ritz
  31. mama D
  32. Psalm 23
Kama jina lake halipo lakini unajua ana sifa zote za kuunganishwa katika orodha hii nitumie ujumbe, nitafanya hivyo chap chap!
 
Ni kweli wako wengi...ni products za mikesha ya mwenge, hebu yaone hapa...
  1. JUMA JUMA
  2. Kamanda Asiyechoka
  3. Wakudadavuwa
  4. shamimuodd
  5. Redpanther
  6. GENTAMYCINE
  7. Jasusi Mbobezi
  8. Elitwege
  9. Idugunde
  10. Jumbe Brown
  11. johnthebaptist
  12. USSR
  13. Magonjwa Mtambuka
  14. Dr Akili
  15. Janjaweed
  16. mtanzania1989
  17. Phillipo Bukililo
  18. Mr Dudumizi
  19. digba sowey
  20. IDEGENDA
  21. Niza doyi
  22. Kivumishi Kielezi
  23. Gerald .M Magembe
  24. Jasusi Mbobezi
  25. Jay One
  26. Stuxnet
  27. Ezekiel Mbaga
  28. Latvia
  29. Iboya2021
Kama jina lake halipo lakini unajua ana sifa zote za kuunganishwa katika orodha hii nitumie ujumbe, nitafanya hivyo chap chap!
😍 Muongeze Ritz
 
Ni kweli wako wengi...ni products za mikesha ya mwenge, hebu yaone hapa...
  1. JUMA JUMA
  2. Kamanda Asiyechoka
  3. Wakudadavuwa
  4. shamimuodd
  5. Redpanther
  6. GENTAMYCINE
  7. Jasusi Mbobezi
  8. Elitwege
  9. Idugunde
  10. Jumbe Brown
  11. johnthebaptist
  12. USSR
  13. Magonjwa Mtambuka
  14. Dr Akili
  15. Janjaweed
  16. mtanzania1989
  17. Phillipo Bukililo
  18. Mr Dudumizi
  19. digba sowey
  20. IDEGENDA
  21. Niza doyi
  22. Kivumishi Kielezi
  23. Gerald .M Magembe
  24. Jasusi Mbobezi
  25. Jay One
  26. Stuxnet
  27. Ezekiel Mbaga
  28. Latvia
  29. Iboya2021
  30. Ritz
Kama jina lake halipo lakini unajua ana sifa zote za kuunganishwa katika orodha hii nitumie ujumbe, nitafanya hivyo chap chap!
We fala Mag3 hujitambui.
 
Walimuita JPM dikteta uchwara, hawakumjua vizuri! Kilichofuatia leo kuna mtu ana miguu miwili haifani urefu, mguu mmoja kama wa Hashim Thabit and mwingine kama wa Steve Nyerere, kakimbia na nchi kabisa! Sasa wamegeuka watetezi wa mafisadi (Lowasa) na magaidi (Mbowe)

“Gaidi” Mbowe anatuhumiwa katika risasi za Lissu. Wewe hapa unasema ni JPM. Halafu unamuita fisadi Lowassa, kada mkongwe wa CCM aliyeheshimiwa na JPM. What a paradox!
 
Back
Top Bottom