Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe, amesema kwamba baada ya Uchunguzi wa Mwili wa Marehemu ulioshuhudiwa na Ndugu wa Marehemu pamoja na viongozi wa Chadema, Imebainika kwamba Ally Kibao ameuawa.
Zaidi ni kwamba amepigwa kupita kiasi na Pia alimwagiwa Tindikali ili aungue kabisa asitambulike.
Kwa maana hii sasa ni dhahiri kwamba kifo cha kinyama cha Mzee huyu SI KAZI YA MUNGU, Ni njama za watu waliotumwa.
Tunamuomba Mwenyezi Mungu aipokee Roho yake, Amina.
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe, amesema kwamba baada ya Uchunguzi wa Mwili wa Marehemu ulioshuhudiwa na Ndugu wa Marehemu pamoja na viongozi wa Chadema, Imebainika kwamba Ally Kibao ameuawa.
Zaidi ni kwamba amepigwa kupita kiasi na Pia alimwagiwa Tindikali ili aungue kabisa asitambulike.
Kwa maana hii sasa ni dhahiri kwamba kifo cha kinyama cha Mzee huyu SI KAZI YA MUNGU, Ni njama za watu waliotumwa.
Tunamuomba Mwenyezi Mungu aipokee Roho yake, Amina.
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe, amesema kwamba baada ya Uchunguzi wa Mwili wa Marehemu ulioshuhudiwa na Ndugu wa Marehemu pamoja na viongozi wa Chadema, Imebainika kwamba Ally Kibao ameuawa.
Zaidi ni kwamba amepigwa kupita kiasi na Pia alimwagiwa Tindikali ili aungue kabisa asitambulike.
Kwa maana hii sasa ni dhahiri kwamba kifo cha kinyama cha Mzee huyu SI KAZI YA MUNGU, Ni njama za watu waliotumwa.
Tunamuomba Mwenyezi Mungu aipokee Roho yake, Amina.