Majibu ya Postmoterm yaonyesha kwamba Hayati Ali Kibao alipigwa sana na kumwagiwa Tindikali

Majibu ya Postmoterm yaonyesha kwamba Hayati Ali Kibao alipigwa sana na kumwagiwa Tindikali

Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe, amesema kwamba baada ya Uchunguzi wa Mwili wa Marehemu ulioshuhudiwa na Ndugu wa Marehemu pamoja na viongozi wa Chadema, Imebainika kwamba Ally Kibao ameuawa.

Zaidi ni kwamba amepigwa kupita kiasi na Pia alimwagiwa Tindikali ili aungue kabisa asitambulike.

Kwa maana hii sasa ni dhahiri kwamba kifo cha kinyama cha Mzee huyu SI KAZI YA MUNGU, Ni njama za watu waliotumwa.

Tunamuomba Mwenyezi Mungu aipokee Roho yake, Amina.
Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1.png
Six5b0TZWlBbGx71.jpg
 
Duuh.

Mimi najiuliza tu kwenye jambo lenye utata namna hii,

Nani anatakiwa kutuletea sisi wananchi matokeo ya huo uchunguzi.

Maana kila upande unatuhumu upande mwingine.

Kazi ipo.
Upande upi unaotuhumu mwingine? ripoti ni moja kila Mhusika kapewa nakala yake, Familia imepewa, Chadema wamepewa, Polisi wamepewa na nakala nyingine imebaki Hospitali.

Jambo hili si la kuleta Kejeli, hujui kesho yako itakuwaje
 
Samia, The Blood Countess.

She's in a killing spree, and she is so paranoid. Up until 2025 many Tanganyikans will fall victims to her diabolical carnage.

Atachinja watu wengi sana huyu maza.

But unfortunately, she will also be victims of similar misfortunes and machinations that succumbed her predecessor who deified himself as a god among men.

She has crossed all the red lines.

R.I.P Comrade Kibao.​
 
Siyo kila mwana CCM ni mbaya. Hata polisi pia, wako wengi wazuri na hawapendezwi kabisa na haya mauaji. Dawa ni wananchi kuamka na kuondoa hawa wauaji. Hakuna short-cut.
Nakuhakikishia asilimia +99% ya polisi wana support CCM.

Police ya Tanzania wako ideologically aligned na CCM na serikali.

Wanaona ni wajibu wao kulinda na kutetea interests za CCM na serikali.

Kule kambini wanapopata mafunzo, aina ya maisha yao wakipata kazi, vitu wanavyosisitizwa wakiwa kazini lengo ni moja kuharibu akili zao wafikirie upande wa serikali na chama tawala tu.

Chunguza.
 
Back
Top Bottom