kipenseli2021
JF-Expert Member
- Jul 17, 2021
- 1,390
- 1,431
Pole kwa Familia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
So sad😭😭Tena sahivi wanapongezwa itakuwa
Ova
Jeshi la Polisi,Sasa chadema wameleta majibu that is the contradictionDuuh.
Mimi najiuliza tu kwenye jambo lenye utata namna hii,
Nani anatakiwa kutuletea sisi wananchi matokeo ya huo uchunguzi.
Maana kila upande unatuhumu upande mwingine.
Kazi ipo.
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe, amesema kwamba baada ya Uchunguzi wa Mwili wa Marehemu ulioshuhudiwa na Ndugu wa Marehemu pamoja na viongozi wa Chadema, Imebainika kwamba Ally Kibao ameuawa.
Zaidi ni kwamba amepigwa kupita kiasi na Pia alimwagiwa Tindikali ili aungue kabisa asitambulike.
Kwa maana hii sasa ni dhahiri kwamba kifo cha kinyama cha Mzee huyu SI KAZI YA MUNGU, Ni njama za watu waliotumwa.
Tunamuomba Mwenyezi Mungu aipokee Roho yake, Amina.
Hata ikipita miaka mia, hao wauaji hawatajikamata. Waliotaka kumuua Lisu wako wapi? Hakuna matumaini hayoKwakuwa polisi wamekataa tuhuma walizotuhumiwa na Chadema kwamba wamehusika na hilo tukio basi matumaini yetu watawatia nguvuni wote waliohusika.
Wakae wakijua Mungu ni wetu sote.....kuna siku watalipa tu uhai wa mtu si wa kuuchezea kiasi hiki.Watoto wote wanasoma Ulaya, baada ya kazi mamilioni wanaenda kujiliwaza Dubai au South Africa wanakula bata la kufa mtu.
Mkuu Dunia hii ina starehe nyingi na kali mno.
Basi wale wachawi na Waganga wanaotudanganya wana uwezo na maajabu watusaidie kwenye hili.Hata ikipita miaka mia, hao wauaji hawatajikamata. Waliotaka kumuua Lisu wako wapi? Hakuna matumaini hayo
Siasa imefanya nini!? Mtasababisha wahalifu wajifiche kwenye kinvuli cha siasa,tusubiri taarifa za uchunguzi wa kina kutoka mamlaka husika!!KISA SIASA?
Upande upi unaotuhumu mwingine? ripoti ni moja kila Mhusika kapewa nakala yake, Familia imepewa, Chadema wamepewa, Polisi wamepewa na nakala nyingine imebaki Hospitali.Duuh.
Mimi najiuliza tu kwenye jambo lenye utata namna hii,
Nani anatakiwa kutuletea sisi wananchi matokeo ya huo uchunguzi.
Maana kila upande unatuhumu upande mwingine.
Kazi ipo.
Ukiwa congo unajua kabisa wakorofi ni M23.Anzeni kununua na kutembea na bunduki, serikali haina msaada na inavyonekana ndio watekaji na wauaji wenyewe, kwa sasa hata Congo kuna amani kuliko Tanzania
Sawa endelea na kejeli.....Mungu akusameheDuuh.
Mimi najiuliza tu kwenye jambo lenye utata namna hii,
Nani anatakiwa kutuletea sisi wananchi matokeo ya huo uchunguzi.
Maana kila upande unatuhumu upande mwingine.
Kazi ipo.
Utulivu mpka lini?Hapana huo ni uchochezi na kuhamasisha ghasia , kwa sababu si wana ccm wote wanahusika ,hivi vitu vinahitaji utulivu sio mihemuko
🤣🤣.kumbe wewe bado ni mtoto.Siasa imefanya nini!? Mtasababisha wahalifu wajifiche kwenye kinvuli cha siasa,tusubiri taarifa za uchunguzi wa kina kutoka mamlaka husika!!
Bwana aibariki na kuilinda roho yake mahala pema peponi ; Bwana aiangazie nuru ya uso wake na kuifadhili roho yake;Bwana aigeuzie uso wake na kuipa amani roho yake.Tunamuomba Mwenyezi Mungu aipokee Roho yake, Amina.
Yaani mjichunguze wenyewe halafu mtuletee taarifa sahihi ya uchunguzi.Siasa imefanya nini!? Mtasababisha wahalifu wajifiche kwenye kinvuli cha siasa,tusubiri taarifa za uchunguzi wa kina kutoka mamlaka husika!!
Aliwakosea Nini watesi wake huyu baba
Nakuhakikishia asilimia +99% ya polisi wana support CCM.Siyo kila mwana CCM ni mbaya. Hata polisi pia, wako wengi wazuri na hawapendezwi kabisa na haya mauaji. Dawa ni wananchi kuamka na kuondoa hawa wauaji. Hakuna short-cut.