Fund man
JF-Expert Member
- Feb 24, 2021
- 3,629
- 4,831
AminaMungu aliyejuu ya viumbe wote ataamua hii kesi ya mauaji na utekaji kwa Watanzania wanyonge. Ni suala la muda tu hakika huyo anayeua watu ili apate cheo Mungu atamuamulia kabla ya kupata cheo hicho.