Majibu ya Postmoterm yaonyesha kwamba Hayati Ali Kibao alipigwa sana na kumwagiwa Tindikali

Majibu ya Postmoterm yaonyesha kwamba Hayati Ali Kibao alipigwa sana na kumwagiwa Tindikali

Swali ambalo linahitaji kujibiwa ni:
Ni sababu zipi hasa zilizo wakasirisha hao watu kiasi cha kuwa na unyama kama ule kwake. Alitukana viongozi? Alikuwa ni tishio kubwa sana kwa CCM?

Kwa nini akawa yeye?

Mbona alikuwa hafahamiki kwa watu wengi, hadi CHADEMA wenyewe walipo towa habari za yeye kutekwa!

Kulikuwepo na sababu nyinginezo mbali ya siasa?
Hata mimi nimejiuliza sana kwa hili bila kupata majibu! Au ni kwa sababu ya uanajeshi wake 🤔
 
Mungu tenda miujiza yako uwape pigo TAKATIFU kwa chama cha siasa, na viongozi kama wanahusika na utekaji, utesaji, mauwaji kwa wanchama wa vyana vya upinzani, wanaoikosoa Serikali na wahusika wengine ambao hawapo kwenye Serikali.

GOD BLESS TANGANYIKA
 
Mungu tenda miujiza yako uwape pigo TAKATIFU kwa chama cha siasa, na viongozi kama wanahusika na utekaji, utesaji, mauwaji kwa wanchama wa vyana vya upinzani, wanaoikosoa Serikali na wahusika wengine ambao hawapo kwenye Serikali.

GOD BLESS TANGANYIKA
Amen
 
Halafu kuna mtu anajifanya ni swala 5 kumbe Shetwaini mkubwa.

Hapo kashamwaga damu ya Muislamu mwenzake. Na leo kwenye mazishi Waislamu wameikabidhi kesi hii kwa Allah mwenye kutenda haki, halafu na yeye anaenda kuswali kumwomba Allah amzidishie neema kubwa kubwa na ndogo ndogo. Endeleeni kumfanyia dhihaka Allah ila majibu mtakuja kuyapata.
 
Halafu kuna mtu anajifanya ni swala 5 kumbe Shetwaini mkubwa.

Hapo kashamwaga damu ya Muislamu mwenzake. Na leo kwenye mazishi Waislamu wameikabidhi kesi hii kwa Allah mwenye kutenda haki, halafu na yeye anaenda kuswali kumwomba Allah amzidishie neema kubwa kubwa na ndogo ndogo. Endeleeni kumfanyia dhihaka Allah ila majibu mtakuja kuyapata.
Hata Mungu anafanywa kuwa sehemu ya sanaa; 'drama'! Ili mradi tu malengo ya kibinaadam yatimie.
 
Swali ambalo linahitaji kujibiwa ni:
Ni sababu zipi hasa zilizo wakasirisha hao watu kiasi cha kuwa na unyama kama ule kwake. Alitukana viongozi? Alikuwa ni tishio kubwa sana kwa CCM?

Kwa nini akawa yeye?

Mbona alikuwa hafahamiki kwa watu wengi, hadi CHADEMA wenyewe walipo towa habari za yeye kutekwa!

Kulikuwepo na sababu nyinginezo mbali ya siasa?
Majibu anayo Samia aliyeagiza Auawe
 
Majibu anayo Samia aliyeagiza Auawe
Hakika anayo sababu.
Haiwezekani na wala haiingii akilini mtu kama huyu mzee ambaye wengi habari zake hazijulikane awe tishio kubwa kiasi cha kumwondoa uhai mara moja, na wala siyo kumhifadhi tu mahala ili apoe kidogo (jela).

Wengi wetu sababu iliyo rahisi ni "kuwatia woga" waTanzania; waone mfano wa yanayoweza kuwatokea. Jambo ambalo nadhani kinyume chake ndiyo sahihi zaidi.

"Usalama wa Taifa"? Ndio huuana kinyama namna hii. Unamkumbuka yule mwingine aliye tumbukizwa kisimani baada ya kuuwawa huko Kijito miaka michache/kadhaa iliyo pita?

Lakini sasa, hayo magari ya polisi yalikuwa yakifanya nini hapo wakati wa kumchukuwa huyu mzee!
 
Hivi huwa wahusika wanafikiria kwa kina hii mipango? Mbona inaishia kuongeza chuki mbaya sana kwa wananchi? Mtaongozaje wananchi wenye hasira namna hii kama ilivyotokea leo Tanga? Hivi mnajua Watanzania hawawezi kuwa walewale wasiojali mambo miaka yote? Kuna nguvu kubwa sana kwa wananchi, wao/ sisi si wajinga wala vilaza.

Hili la huyu Mzee na matukio yote ya hivi karibuni, kwa kweli mipaka imevukwa sana.
 
Back
Top Bottom