Maombi yako asiyapokee BWANA...
Ayapokee haya yangu hapa chini ,na atayapokea aaaamin aaaamin;
Eee BWANA WA MAJESHI endelea kumpa ulinzi mkuu Rais wetu Samia Suluhu Hassan na wasaidizi wake wote ,aaaamin aaaamin.
Eee BWANA WA MAJESHI nchi haisimami bila ya uwepo wa Rais ,basi kwalo ninakuomba uendelee kumsimamisha kwa kumpa siha njema ,umri mrefu ,nguvu na busara zaidi rais wetu Samia Suluhu Hassan aaamin aaaamin aaaamin[emoji7]
#Nchi Kwanza [emoji7]
Sent from my TECNO F1 using
JamiiForums mobile app