Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
HILI LIPO KICHWANI MWAKO NA SI KWAOAMEWADHARAU HAWANA JIPYA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HILI LIPO KICHWANI MWAKO NA SI KWAOAMEWADHARAU HAWANA JIPYA
NDIYO WAKOME KUJIPENDEKEZABalozi wa US kawajibu kwa dharau sana,yaani unaandika barua ndeefu halafu jamaa ana tweet
TUKUMBUSHANE hivi lissu aliokoka kwa kukimbilia wapi vileee? pamoja na harakati za KAMANDA ZIRRO na vibaraka wake kutaka kumnyaka lakini mwishoe waliinua mikono. so usijisahaulishe dadanguSijui ni nani aliyewaaminisha Watanzania kuwa ukiwa na tatizo la Kisiasa na Kidemokrasia Basi Kimbilio huwa ni Ubalozi wa Marekani au nchini Marekani.
Mna uhakika wa 100% kuwa na Wao Wamarekani huko Kwao hakuna Ukiukwaji wa Kidemokrasia na Masuala ya Siasa? Mbona huwa hatukimbilii Balozi za Uingereza au Urusi au Ujerumani na hata China ikiwezekana?
Kwahiyo Kukimbilia Marekani ( katika Ubalozi wao ) ndiyo mnataka Kuwalazimisha waende Mahakamani wakawe Mawakili na Mahakimu ili Kiongozi wenu atoke ( atolewe ) upesi?
Hivi kwa jinsi ambavyo sasa hivi Tanzania chini ya Utawala huu wa Rais Samia Suluhu Hassan imerejesha vyema Uhusiano wake wa Kidiplomasia na zile nchi ambazo Kipindi cha Hayati Dkt. Magufuli ulitetereka mnadhani mtasikilizwa na kuonekana wa maana au mna Hoja au sana sana mtasanifiwa tu na Kupuuzwa?
CHADEMA ni Watani zangu Kisiasa GENTAMYCINE nikiwa ni mwana CCM 'tukuka' kabisa ila mara kwa mara tena hapa hapa JamiiForums nimekuwa nikiwaambieni kuwa msipobadilisha 'Political Strategies' zenu mnapotea Kisiasa na Kidemokrasia na msipoangalia mnapoelekea muda ni si mrefu mtakuwa 'labelled Political Terrorist Group' ndani ya Tanzania na Chama chenu Kufutwa kabisa.
Najua kwa post yangu hii Kwenu leo mtanichukia na Kunitukana mno tu hapa, ila nawashauri CHADEMA rudini katika Misingi yenu, Jitafakarini na ikiwezekana Mjisahihishe kwa Ustawi wa baadae wa Chama chenu.
Ubalozi wa Marekani wala Balozi wa Marekani hakuna mwenye Mamlaka ya 'Kuishurutisha' Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Amiri Jeshi Mkuu na Rais Samia Suluhu Hassan ifanye wanavyotaka Wao na niwaambie hili halitotokea hata Siku moja.
Mnaharibu wenyewe mnataka Msaada.
WAKUELEWA WAMEELEWA HAO CHADEMA VICHWA VIGUMU KWANZA LEO TUKO BUSY TUNAENDA KUPOKEA NDEGE MPYASijui ni nani aliyewaaminisha Watanzania kuwa ukiwa na tatizo la Kisiasa na Kidemokrasia Basi Kimbilio huwa ni Ubalozi wa Marekani au nchini Marekani.
Mna uhakika wa 100% kuwa na Wao Wamarekani huko Kwao hakuna Ukiukwaji wa Kidemokrasia na Masuala ya Siasa? Mbona huwa hatukimbilii Balozi za Uingereza au Urusi au Ujerumani na hata China ikiwezekana?
Kwahiyo Kukimbilia Marekani ( katika Ubalozi wao ) ndiyo mnataka Kuwalazimisha waende Mahakamani wakawe Mawakili na Mahakimu ili Kiongozi wenu atoke ( atolewe ) upesi?
Hivi kwa jinsi ambavyo sasa hivi Tanzania chini ya Utawala huu wa Rais Samia Suluhu Hassan imerejesha vyema Uhusiano wake wa Kidiplomasia na zile nchi ambazo Kipindi cha Hayati Dkt. Magufuli ulitetereka mnadhani mtasikilizwa na kuonekana wa maana au mna Hoja au sana sana mtasanifiwa tu na Kupuuzwa?
CHADEMA ni Watani zangu Kisiasa GENTAMYCINE nikiwa ni mwana CCM 'tukuka' kabisa ila mara kwa mara tena hapa hapa JamiiForums nimekuwa nikiwaambieni kuwa msipobadilisha 'Political Strategies' zenu mnapotea Kisiasa na Kidemokrasia na msipoangalia mnapoelekea muda ni si mrefu mtakuwa 'labelled Political Terrorist Group' ndani ya Tanzania na Chama chenu Kufutwa kabisa.
Najua kwa post yangu hii Kwenu leo mtanichukia na Kunitukana mno tu hapa, ila nawashauri CHADEMA rudini katika Misingi yenu, Jitafakarini na ikiwezekana Mjisahihishe kwa Ustawi wa baadae wa Chama chenu.
Ubalozi wa Marekani wala Balozi wa Marekani hakuna mwenye Mamlaka ya 'Kuishurutisha' Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Amiri Jeshi Mkuu na Rais Samia Suluhu Hassan ifanye wanavyotaka Wao na niwaambie hili halitotokea hata Siku moja.
Mnaharibu wenyewe mnataka Msaada.
hivi wangetaka kumdaka wangemsubiri mpaka amalize kampeni ? mbona wangeshamkamata muda mrefu sana jamaa anaogopa hadi kivuli chake hana lolote hakuna hata mtu alitaka kumkamataTUKUMBUSHANE hivi lissu aliokoka kwa kukimbilia wapi vileee? pamoja na harakati za KAMANDA ZIRRO na vibaraka wake kutaka kumnyaka lakini mwishoe waliinua mikono. so usijisahaulishe dadangu
Kwani Chadema bado ipo?Sijui ni nani aliyewaaminisha Watanzania kuwa ukiwa na tatizo la Kisiasa na Kidemokrasia Basi Kimbilio huwa ni Ubalozi wa Marekani au nchini Marekani.
Mna uhakika wa 100% kuwa na Wao Wamarekani huko Kwao hakuna Ukiukwaji wa Kidemokrasia na Masuala ya Siasa? Mbona huwa hatukimbilii Balozi za Uingereza au Urusi au Ujerumani na hata China ikiwezekana?
Kwahiyo Kukimbilia Marekani ( katika Ubalozi wao ) ndiyo mnataka Kuwalazimisha waende Mahakamani wakawe Mawakili na Mahakimu ili Kiongozi wenu atoke ( atolewe ) upesi?
Hivi kwa jinsi ambavyo sasa hivi Tanzania chini ya Utawala huu wa Rais Samia Suluhu Hassan imerejesha vyema Uhusiano wake wa Kidiplomasia na zile nchi ambazo Kipindi cha Hayati Dkt. Magufuli ulitetereka mnadhani mtasikilizwa na kuonekana wa maana au mna Hoja au sana sana mtasanifiwa tu na Kupuuzwa?
CHADEMA ni Watani zangu Kisiasa GENTAMYCINE nikiwa ni mwana CCM 'tukuka' kabisa ila mara kwa mara tena hapa hapa JamiiForums nimekuwa nikiwaambieni kuwa msipobadilisha 'Political Strategies' zenu mnapotea Kisiasa na Kidemokrasia na msipoangalia mnapoelekea muda ni si mrefu mtakuwa 'labelled Political Terrorist Group' ndani ya Tanzania na Chama chenu Kufutwa kabisa.
Najua kwa post yangu hii Kwenu leo mtanichukia na Kunitukana mno tu hapa, ila nawashauri CHADEMA rudini katika Misingi yenu, Jitafakarini na ikiwezekana Mjisahihishe kwa Ustawi wa baadae wa Chama chenu.
Ubalozi wa Marekani wala Balozi wa Marekani hakuna mwenye Mamlaka ya 'Kuishurutisha' Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Amiri Jeshi Mkuu na Rais Samia Suluhu Hassan ifanye wanavyotaka Wao na niwaambie hili halitotokea hata Siku moja.
Mnaharibu wenyewe mnataka Msaada.
Ww kimbilia kwa wamarekani hovyo hovyo mwishowe watakuvua kaptura waku.....reWewe ni mpuuzi na mjinga.
Ni mara ngapi watu wamekimbilia ubalozi wa marekani?
Unashoboka na liujinga kama mwendazake
Kwani chadema bado ipo?KW
WAKUELEWA WAMEELEWA HAO CHADEMA VICHWA VIGUMU KWANZA LEO TUKO BUSY TUNAENDA KUPOKEA NDEGE MPYA
haipo tena maana mwamba yupo nyuma ya nondo yaani ananyea debe kwa ujinga wake kuijaribu nchi na hakuna tena mwenyekiti wa kuweza kuongoza chama bila mbowe hakuna chademaKwani chadema bado ipo?
hao ndio wamarekani. bawacha mikia imefyata.View attachment 1873688
View attachment 1873689
Wanaukumbi.
Baada ya Bawacha kufanya maandamano kwenye Ubalozi wa Marekani wakishinikiza Mbowe, aachiwe na kutuma Tamko lao Ubalozini, majibu ya Balozi wa Marekani haya hapo chini.
View attachment 1873667
halafu beberu kawajibu shortly yaani wamejinyea huko walikoKama mtu hajui maana ya kujipendekeza na kulamba makalio basi hiyo barua ya bawacha ndio text book example..Wamejinyenyekeza kwa beberu hadi huruma.
kwisha habari yake.haipo tena maana mwamba yupo nyuma ya nondo yaani ananyea debe kwa ujinga wake kuijaribu nchi na hakuna tena mwenyekiti wa kuweza kuongoza chama bila mbowe hakuna chadema
Sasa mnapambana na nani?haipo tena maana mwamba yupo nyuma ya nondo yaani ananyea debe kwa ujinga wake kuijaribu nchi na hakuna tena mwenyekiti wa kuweza kuongoza chama bila mbowe hakuna chadema
Chadema someni hapa kwa kuelewa
hawakuwa na ujanja huo na wala wasingeweza... si walijaribu kumvizia wakamdaka nnje ya ubalozi je kilichotokea walifanyaje hao VIBARAKA WA MEKO kina ZIRRO na tim yake? jibu mwenyewe wala sikusaidii NDEZI wewe.hivi wangetaka kumdaka wangemsubiri mpaka amalize kampeni ? mbona wangeshamkamata muda mrefu sana jamaa anaogopa hadi kivuli chake hana lolote hakuna hata mtu alitaka kumkamata
Mimi nashangaa. CHADEMA ilishajifia tangu siku ile mwenyekiti wao alipobadilisha gia angani.Kwani Chadema bado ipo?
mkuu hawa kina mama D akili zao ni kama za MEKO bado ubongo umewaganda . meko alitaka nchi isiwe na rafiki jirani kabisaa hata ndg yake KAGAME walishindwana akamtema sababu kagame alisha msoma MEKO kuwa hayuko sawa (BRAIN). sasa hivi viNDEZI vyake vilivobaki na mawazo mgando bado vinakomaa tu wakizani MEKO YUPO kumbe yupo MAMA anabadilisha kila kitu alishoharibu MEKO sasahivi chanjo alizokataa MEKO hizoooo zimeingia sasa mama D ajifanye hajui kumbe hajuiMengine nikujito ufaham tu ,kwani upatapo matatizo nyumbani kwako ,na kuomba msaada wa jirani zako je ni kweli wao hawana matatizo ?
Matatizo Wanayo ila uzito wake ndo unatofautina simple,
Hivyo KWA yanayoendelea tz lazima shirikisha majirani, na mataifa yote yanayotusaidia , sion sababu za kuendelea pokea misaada tz inayotumiwa na watawala kukandamiza haki za watu , tuwekewe vikwazo Kama mbwai mbwai ,
MWALA unaonyesha ni kiasi gani ulivyo bwabwa yaani siku zote hizo anazunguka washindwe kumkamata kweli? kuwa serious basi hata kidogo hata kama unapakuliwa huko nyuma usipoteze akili mbwa weweh
hawakuwa na ujanja huo na wala wasingeweza... si walijaribu kumvizia wakamdaka nnje ya ubalozi je kilichotokea walifanyaje hao VIBARAKA WA MEKO kina ZIRRO na tim yake? jibu mwenyewe wala sikusaidii NDEZI wewe.
na kama hujui kitu bora upige kimya ukae chumbani unyonyeshe kinda lako afu mumeo akirudi nae akunyonyeshe yake mulale itakusadia kuliko kuwa zwazwa la lumumba
Balozi awapo hapa Nchini hana mamlaka yakuingilia siasa za nchini,yeye anapokea na kupeleka kwa aliyemtuma hapa nchini.NDIYO WAKOME KUJIPENDEKEZA