Majibu ya Ubalozi wa Marekani kwa BAWACHA baada ya kushinikiza Freeman Mbowe kuachiwa huru

Majibu ya Ubalozi wa Marekani kwa BAWACHA baada ya kushinikiza Freeman Mbowe kuachiwa huru

Sijui ni nani aliyewaaminisha Watanzania kuwa ukiwa na tatizo la Kisiasa na Kidemokrasia Basi Kimbilio huwa ni Ubalozi wa Marekani au nchini Marekani.

Mna uhakika wa 100% kuwa na Wao Wamarekani huko Kwao hakuna Ukiukwaji wa Kidemokrasia na Masuala ya Siasa? Mbona huwa hatukimbilii Balozi za Uingereza au Urusi au Ujerumani na hata China ikiwezekana?

Kwahiyo Kukimbilia Marekani ( katika Ubalozi wao ) ndiyo mnataka Kuwalazimisha waende Mahakamani wakawe Mawakili na Mahakimu ili Kiongozi wenu atoke ( atolewe ) upesi?

Hivi kwa jinsi ambavyo sasa hivi Tanzania chini ya Utawala huu wa Rais Samia Suluhu Hassan imerejesha vyema Uhusiano wake wa Kidiplomasia na zile nchi ambazo Kipindi cha Hayati Dkt. Magufuli ulitetereka mnadhani mtasikilizwa na kuonekana wa maana au mna Hoja au sana sana mtasanifiwa tu na Kupuuzwa?

CHADEMA ni Watani zangu Kisiasa GENTAMYCINE nikiwa ni mwana CCM 'tukuka' kabisa ila mara kwa mara tena hapa hapa JamiiForums nimekuwa nikiwaambieni kuwa msipobadilisha 'Political Strategies' zenu mnapotea Kisiasa na Kidemokrasia na msipoangalia mnapoelekea muda ni si mrefu mtakuwa 'labelled Political Terrorist Group' ndani ya Tanzania na Chama chenu Kufutwa kabisa.

Najua kwa post yangu hii Kwenu leo mtanichukia na Kunitukana mno tu hapa, ila nawashauri CHADEMA rudini katika Misingi yenu, Jitafakarini na ikiwezekana Mjisahihishe kwa Ustawi wa baadae wa Chama chenu.

Ubalozi wa Marekani wala Balozi wa Marekani hakuna mwenye Mamlaka ya 'Kuishurutisha' Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Amiri Jeshi Mkuu na Rais Samia Suluhu Hassan ifanye wanavyotaka Wao na niwaambie hili halitotokea hata Siku moja.

Mnaharibu wenyewe mnataka Msaada.
TUKUMBUSHANE hivi lissu aliokoka kwa kukimbilia wapi vileee? pamoja na harakati za KAMANDA ZIRRO na vibaraka wake kutaka kumnyaka lakini mwishoe waliinua mikono. so usijisahaulishe dadangu
 
KW
Sijui ni nani aliyewaaminisha Watanzania kuwa ukiwa na tatizo la Kisiasa na Kidemokrasia Basi Kimbilio huwa ni Ubalozi wa Marekani au nchini Marekani.

Mna uhakika wa 100% kuwa na Wao Wamarekani huko Kwao hakuna Ukiukwaji wa Kidemokrasia na Masuala ya Siasa? Mbona huwa hatukimbilii Balozi za Uingereza au Urusi au Ujerumani na hata China ikiwezekana?

Kwahiyo Kukimbilia Marekani ( katika Ubalozi wao ) ndiyo mnataka Kuwalazimisha waende Mahakamani wakawe Mawakili na Mahakimu ili Kiongozi wenu atoke ( atolewe ) upesi?

Hivi kwa jinsi ambavyo sasa hivi Tanzania chini ya Utawala huu wa Rais Samia Suluhu Hassan imerejesha vyema Uhusiano wake wa Kidiplomasia na zile nchi ambazo Kipindi cha Hayati Dkt. Magufuli ulitetereka mnadhani mtasikilizwa na kuonekana wa maana au mna Hoja au sana sana mtasanifiwa tu na Kupuuzwa?

CHADEMA ni Watani zangu Kisiasa GENTAMYCINE nikiwa ni mwana CCM 'tukuka' kabisa ila mara kwa mara tena hapa hapa JamiiForums nimekuwa nikiwaambieni kuwa msipobadilisha 'Political Strategies' zenu mnapotea Kisiasa na Kidemokrasia na msipoangalia mnapoelekea muda ni si mrefu mtakuwa 'labelled Political Terrorist Group' ndani ya Tanzania na Chama chenu Kufutwa kabisa.

Najua kwa post yangu hii Kwenu leo mtanichukia na Kunitukana mno tu hapa, ila nawashauri CHADEMA rudini katika Misingi yenu, Jitafakarini na ikiwezekana Mjisahihishe kwa Ustawi wa baadae wa Chama chenu.

Ubalozi wa Marekani wala Balozi wa Marekani hakuna mwenye Mamlaka ya 'Kuishurutisha' Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Amiri Jeshi Mkuu na Rais Samia Suluhu Hassan ifanye wanavyotaka Wao na niwaambie hili halitotokea hata Siku moja.

Mnaharibu wenyewe mnataka Msaada.
WAKUELEWA WAMEELEWA HAO CHADEMA VICHWA VIGUMU KWANZA LEO TUKO BUSY TUNAENDA KUPOKEA NDEGE MPYA
 
TUKUMBUSHANE hivi lissu aliokoka kwa kukimbilia wapi vileee? pamoja na harakati za KAMANDA ZIRRO na vibaraka wake kutaka kumnyaka lakini mwishoe waliinua mikono. so usijisahaulishe dadangu
hivi wangetaka kumdaka wangemsubiri mpaka amalize kampeni ? mbona wangeshamkamata muda mrefu sana jamaa anaogopa hadi kivuli chake hana lolote hakuna hata mtu alitaka kumkamata
 
Sijui ni nani aliyewaaminisha Watanzania kuwa ukiwa na tatizo la Kisiasa na Kidemokrasia Basi Kimbilio huwa ni Ubalozi wa Marekani au nchini Marekani.

Mna uhakika wa 100% kuwa na Wao Wamarekani huko Kwao hakuna Ukiukwaji wa Kidemokrasia na Masuala ya Siasa? Mbona huwa hatukimbilii Balozi za Uingereza au Urusi au Ujerumani na hata China ikiwezekana?

Kwahiyo Kukimbilia Marekani ( katika Ubalozi wao ) ndiyo mnataka Kuwalazimisha waende Mahakamani wakawe Mawakili na Mahakimu ili Kiongozi wenu atoke ( atolewe ) upesi?

Hivi kwa jinsi ambavyo sasa hivi Tanzania chini ya Utawala huu wa Rais Samia Suluhu Hassan imerejesha vyema Uhusiano wake wa Kidiplomasia na zile nchi ambazo Kipindi cha Hayati Dkt. Magufuli ulitetereka mnadhani mtasikilizwa na kuonekana wa maana au mna Hoja au sana sana mtasanifiwa tu na Kupuuzwa?

CHADEMA ni Watani zangu Kisiasa GENTAMYCINE nikiwa ni mwana CCM 'tukuka' kabisa ila mara kwa mara tena hapa hapa JamiiForums nimekuwa nikiwaambieni kuwa msipobadilisha 'Political Strategies' zenu mnapotea Kisiasa na Kidemokrasia na msipoangalia mnapoelekea muda ni si mrefu mtakuwa 'labelled Political Terrorist Group' ndani ya Tanzania na Chama chenu Kufutwa kabisa.

Najua kwa post yangu hii Kwenu leo mtanichukia na Kunitukana mno tu hapa, ila nawashauri CHADEMA rudini katika Misingi yenu, Jitafakarini na ikiwezekana Mjisahihishe kwa Ustawi wa baadae wa Chama chenu.

Ubalozi wa Marekani wala Balozi wa Marekani hakuna mwenye Mamlaka ya 'Kuishurutisha' Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Amiri Jeshi Mkuu na Rais Samia Suluhu Hassan ifanye wanavyotaka Wao na niwaambie hili halitotokea hata Siku moja.

Mnaharibu wenyewe mnataka Msaada.
Kwani Chadema bado ipo?
 
Kama mtu hajui maana ya kujipendekeza na kulamba makalio basi hiyo barua ya bawacha ndio text book example..Wamejinyenyekeza kwa beberu hadi huruma.
 
Kama mtu hajui maana ya kujipendekeza na kulamba makalio basi hiyo barua ya bawacha ndio text book example..Wamejinyenyekeza kwa beberu hadi huruma.
halafu beberu kawajibu shortly yaani wamejinyea huko waliko
 
haipo tena maana mwamba yupo nyuma ya nondo yaani ananyea debe kwa ujinga wake kuijaribu nchi na hakuna tena mwenyekiti wa kuweza kuongoza chama bila mbowe hakuna chadema
Sasa mnapambana na nani?
 
Mengine nikujito ufaham tu ,kwani upatapo matatizo nyumbani kwako ,na kuomba msaada wa jirani zako je ni kweli wao hawana matatizo ?

Matatizo Wanayo ila uzito wake ndo unatofautina simple,

Hivyo KWA yanayoendelea tz lazima shirikisha majirani, na mataifa yote yanayotusaidia , sion sababu za kuendelea pokea misaada tz inayotumiwa na watawala kukandamiza haki za watu , tuwekewe vikwazo Kama mbwai mbwai ,
Chadema someni hapa kwa kuelewa
 
h
hivi wangetaka kumdaka wangemsubiri mpaka amalize kampeni ? mbona wangeshamkamata muda mrefu sana jamaa anaogopa hadi kivuli chake hana lolote hakuna hata mtu alitaka kumkamata
hawakuwa na ujanja huo na wala wasingeweza... si walijaribu kumvizia wakamdaka nnje ya ubalozi je kilichotokea walifanyaje hao VIBARAKA WA MEKO kina ZIRRO na tim yake? jibu mwenyewe wala sikusaidii NDEZI wewe.
na kama hujui kitu bora upige kimya ukae chumbani unyonyeshe kinda lako afu mumeo akirudi nae akunyonyeshe yake mulale itakusadia kuliko kuwa zwazwa la lumumba
 
Mengine nikujito ufaham tu ,kwani upatapo matatizo nyumbani kwako ,na kuomba msaada wa jirani zako je ni kweli wao hawana matatizo ?

Matatizo Wanayo ila uzito wake ndo unatofautina simple,

Hivyo KWA yanayoendelea tz lazima shirikisha majirani, na mataifa yote yanayotusaidia , sion sababu za kuendelea pokea misaada tz inayotumiwa na watawala kukandamiza haki za watu , tuwekewe vikwazo Kama mbwai mbwai ,
mkuu hawa kina mama D akili zao ni kama za MEKO bado ubongo umewaganda . meko alitaka nchi isiwe na rafiki jirani kabisaa hata ndg yake KAGAME walishindwana akamtema sababu kagame alisha msoma MEKO kuwa hayuko sawa (BRAIN). sasa hivi viNDEZI vyake vilivobaki na mawazo mgando bado vinakomaa tu wakizani MEKO YUPO kumbe yupo MAMA anabadilisha kila kitu alishoharibu MEKO sasahivi chanjo alizokataa MEKO hizoooo zimeingia sasa mama D ajifanye hajui kumbe hajui
 
h

hawakuwa na ujanja huo na wala wasingeweza... si walijaribu kumvizia wakamdaka nnje ya ubalozi je kilichotokea walifanyaje hao VIBARAKA WA MEKO kina ZIRRO na tim yake? jibu mwenyewe wala sikusaidii NDEZI wewe.
na kama hujui kitu bora upige kimya ukae chumbani unyonyeshe kinda lako afu mumeo akirudi nae akunyonyeshe yake mulale itakusadia kuliko kuwa zwazwa la lumumba
MWALA unaonyesha ni kiasi gani ulivyo bwabwa yaani siku zote hizo anazunguka washindwe kumkamata kweli? kuwa serious basi hata kidogo hata kama unapakuliwa huko nyuma usipoteze akili mbwa wewe
 
NDIYO WAKOME KUJIPENDEKEZA
Balozi awapo hapa Nchini hana mamlaka yakuingilia siasa za nchini,yeye anapokea na kupeleka kwa aliyemtuma hapa nchini.

Balozi aweza kuondolewa na Rais any time akikiuka sheria za nchini
 
Back
Top Bottom