Majibu ya Ubalozi wa Marekani kwa BAWACHA baada ya kushinikiza Freeman Mbowe kuachiwa huru

Majibu ya Ubalozi wa Marekani kwa BAWACHA baada ya kushinikiza Freeman Mbowe kuachiwa huru

h

hawakuwa na ujanja huo na wala wasingeweza... si walijaribu kumvizia wakamdaka nnje ya ubalozi je kilichotokea walifanyaje hao VIBARAKA WA MEKO kina ZIRRO na tim yake? jibu mwenyewe wala sikusaidii NDEZI wewe.
na kama hujui kitu bora upige kimya ukae chumbani unyonyeshe kinda lako afu mumeo akirudi nae akunyonyeshe yake mulale itakusadia kuliko kuwa zwazwa la lumumba
Mkuu unapiga kwenye mshono
 
BALOZI KAWAAMBIA HIVI WATU WOTE NI SAWA HUYO MBOWE SIO SPECIAL WA KUTOKA BILA MAHAKAMA KUMSHUGHULIKIA KAMA WENGINE TU.
Msijidai hamjaelewa
 
View attachment 1873688
View attachment 1873689
Wanaukumbi.

Baada ya Bawacha kufanya maandamano kwenye Ubalozi wa Marekani wakishinikiza Mbowe, aachiwe na kutuma Tamko lao Ubalozini, majibu ya Balozi wa Marekani haya hapo chini.

View attachment 1873667
Amejibu vizuri kwamba mahakama itaamua madam kafikishwa kizimbani..Niliwahi kuwaambia chadema kwamba ili wazungu wakusapoti lazima serikali iliyoko madarakani wawe wanatofautiana interest kinyume chake mtahangaika bure
 
Amejibu vizuri kwamba mahakama itaamua madam kafikishwa kizimbani..Niliwahi kuwaambia chadema kwamba ili wazungu wakusapoti lazima serikali iliyoko madarakani wawe wanatofautiana interest kinyume chake mtahangaika bure
watafute nchi nyingine sasa waende ubalozi wao, marekani washawapiga chini.
 
Wewe ni mpuuzi na mjinga.
Ni mara ngapi watu wamekimbilia ubalozi wa marekani?

Unashoboka na liujinga kama mwendazake
Hey!!! mbona hasira?

Vipi, mlisikilizwa na baba yenu Us pale ubalozini?

zungumia hili kwanza we binti
 
Amejibu vizuri kwamba mahakama itaamua madam kafikishwa kizimbani..Niliwahi kuwaambia chadema kwamba ili wazungu wakusapoti lazima serikali iliyoko madarakani wawe wanatofautiana interest kinyume chake mtahangaika bure
CDM ni sikio la kufa wanaharibu kusudi wakitegemea mabeberu wawatetee,most of time hutumia kugombana na serikali na jela na kusahau kujenga chama hadi uchaguzi ukifika wanalia Lia kuchezewa.
 
Sijui ni nani aliyewaaminisha Watanzania kuwa ukiwa na tatizo la Kisiasa na Kidemokrasia Basi Kimbilio huwa ni Ubalozi wa Marekani au nchini Marekani.

Mna uhakika wa 100% kuwa na Wao Wamarekani huko Kwao hakuna Ukiukwaji wa Kidemokrasia na Masuala ya Siasa? Mbona huwa hatukimbilii Balozi za Uingereza au Urusi au Ujerumani na hata China ikiwezekana?

Kwahiyo Kukimbilia Marekani ( katika Ubalozi wao ) ndiyo mnataka Kuwalazimisha waende Mahakamani wakawe Mawakili na Mahakimu ili Kiongozi wenu atoke ( atolewe ) upesi?

Hivi kwa jinsi ambavyo sasa hivi Tanzania chini ya Utawala huu wa Rais Samia Suluhu Hassan imerejesha vyema Uhusiano wake wa Kidiplomasia na zile nchi ambazo Kipindi cha Hayati Dkt. Magufuli ulitetereka mnadhani mtasikilizwa na kuonekana wa maana au mna Hoja au sana sana mtasanifiwa tu na Kupuuzwa?

CHADEMA ni Watani zangu Kisiasa GENTAMYCINE nikiwa ni mwana CCM 'tukuka' kabisa ila mara kwa mara tena hapa hapa JamiiForums nimekuwa nikiwaambieni kuwa msipobadilisha 'Political Strategies' zenu mnapotea Kisiasa na Kidemokrasia na msipoangalia mnapoelekea muda ni si mrefu mtakuwa 'labelled Political Terrorist Group' ndani ya Tanzania na Chama chenu Kufutwa kabisa.

Najua kwa post yangu hii Kwenu leo mtanichukia na Kunitukana mno tu hapa, ila nawashauri CHADEMA rudini katika Misingi yenu, Jitafakarini na ikiwezekana Mjisahihishe kwa Ustawi wa baadae wa Chama chenu.

Ubalozi wa Marekani wala Balozi wa Marekani hakuna mwenye Mamlaka ya 'Kuishurutisha' Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Amiri Jeshi Mkuu na Rais Samia Suluhu Hassan ifanye wanavyotaka Wao na niwaambie hili halitotokea hata Siku moja.

Mnaharibu wenyewe mnataka Msaada.

Utukanwe kwa lipi, labda kama unajustukia ulichosema. Hapa tutakupa ukweli wako. Ni kawaida unapofanyiwa uonevu kutafuta namna ya kuondoa huo uonevu, na kwenda kwenye ubalozi ni sehemu tu ya kujiondoa kwenye uonevu. Na inabidi cdm watumie mbinu za aina hiyo mara kwa mara.

ACT wameingizwa mkenge na ccm mambo ya serikali ya umoja wa kitaifa, kuwa waachane na zile mbinu za Maalim Seif kwenda ulaya kushitaki. Mbona bado wanaporwa uchaguzi na ccm, na hata juzi wamejitoa kwenye uchaguzi? Unataka cdm waende mahakamani kujitetea, unakwenda kujitetea kwenye mahakama kuhusu kesi ya kubambikiwa, wakati rais ana maamuzi kwa mahakama, na anaweza kuagiza hukumu iweje!

Nukueleze kitu mkuu, ccm imeshapoteza ushawishi kwa umma, Maguvu pekee yake ndio silaha yao. Ni vyema ungewashauri ccm yako kwamba wakati ni ukuta, hawawezi kupendwa kwa kushurutisha tena. Na hivyo vyombo vya ulinzi, ni vyema mngetoa hao wazee wenye mbinu za karne iliyopita ya kina Mahita ya kubambikizia kesi maana hazilipi bali mnajichoresha tu.
 
CCM hata kizu hakipandi,hicho kizungu alichoandika Catherine Ruge hamuwezi kukielewa, angekuwepo Mkapa angewasaidia.

Alichosema Balozi sio jibu kwa BAWACHA, Ni wito ametoa kwa Serikali dhalimu ya CCM kwamba ifuate sheria na misingi yake,Due process.

A man is innocent until proven guilty.
Ujumbe umefika vizuri
 
MWALA unaonyesha ni kiasi gani ulivyo bwabwa yaani siku zote hizo anazunguka washindwe kumkamata kweli? kuwa serious basi hata kidogo hata kama unapakuliwa huko nyuma usipoteze akili mbwa wewe
nilijua tu mtakuja vindezi vya LUMUMBA na vibwakobwako vyenu SHWAINNN NYIE 🐖🐖🐖🐖 mlimfatilia lakini mlichemsha mpaka mkalazimishwa mumsindikize na apande ndege asafiri bila kuguswa na vikenge ndezi nyie vya lumumba..
1627626940364.png
1627627104469.png

1627627147209.png


we lofa wa lumumba SIKILIZA WANAUME WANAONGEA HAPA
 
BALOZI KAWAAMBIA HIVI WATU WOTE NI SAWA HUYO MBOWE SIO SPECIAL WA KUTOKA BILA MAHAKAMA KUMSHUGHULIKIA KAMA WENGINE TU.
Msijidai hamjaelewa
bora umewaambia hawajaelewa hawo
 
Ujumbe umefika vizuri
Hapo walikuwa wanapitisha tu.Ujumbe upo mbali sana,watu tusijitoe ufahamu.USA embassy wapo nyuma ya Bawacha ili hamtawaona kwa mfumo wetu na mipaka ya Diplomat.
 
Wito kautoa baada ya barua ya Bawacha? Kama anaandika kingereza kizuri ndiyo itasaidia ubalozi wa Marekani kumtoa Mbowe? Akili za Pro-Chadema bana.
Sasa ulitaka aandike kizaramo?
Wito kama huu hutolewa wanapoona Kuna matukio ya uvunjifu wa haki za amani,sasa atatoa wito wakati hakuna ishu?ishu imetokea,watu wamepaza sauti,polisi ya Dunia ikatoa wito,haki na sheria za nchi zifuatwe,
This has nothing to do with being "a pro Chadema"we are just calling a spade a spade,not a big spoon,
Wakitaka atoke atatoka tu,Kama Lisu alisindikizwa mpaka airport na Balozi hata wasiojurikana wa JPM hawakuweza kufanya kitu.
Hiyo meseji ya ubalozi sio jibu kwa barua ya Bawacha,ni wito kwa serikali.
Eti Katiba sio kipaumbele,tujenge uchumi kwanza!what a rubbish!!tangu 60s mmeshindwa kujenga nchi,nini jipya mtafanya mjenge sasa hv.
 
Sijui ni nani aliyewaaminisha Watanzania kuwa ukiwa na tatizo la Kisiasa na Kidemokrasia Basi Kimbilio huwa ni Ubalozi wa Marekani au nchini Marekani.

Mna uhakika wa 100% kuwa na Wao Wamarekani huko Kwao hakuna Ukiukwaji wa Kidemokrasia na Masuala ya Siasa? Mbona huwa hatukimbilii Balozi za Uingereza au Urusi au Ujerumani na hata China ikiwezekana?

Kwahiyo Kukimbilia Marekani ( katika Ubalozi wao ) ndiyo mnataka Kuwalazimisha waende Mahakamani wakawe Mawakili na Mahakimu ili Kiongozi wenu atoke ( atolewe ) upesi?

Hivi kwa jinsi ambavyo sasa hivi Tanzania chini ya Utawala huu wa Rais Samia Suluhu Hassan imerejesha vyema Uhusiano wake wa Kidiplomasia na zile nchi ambazo Kipindi cha Hayati Dkt. Magufuli ulitetereka mnadhani mtasikilizwa na kuonekana wa maana au mna Hoja au sana sana mtasanifiwa tu na Kupuuzwa?

CHADEMA ni Watani zangu Kisiasa GENTAMYCINE nikiwa ni mwana CCM 'tukuka' kabisa ila mara kwa mara tena hapa hapa JamiiForums nimekuwa nikiwaambieni kuwa msipobadilisha 'Political Strategies' zenu mnapotea Kisiasa na Kidemokrasia na msipoangalia mnapoelekea muda ni si mrefu mtakuwa 'labelled Political Terrorist Group' ndani ya Tanzania na Chama chenu Kufutwa kabisa.

Najua kwa post yangu hii Kwenu leo mtanichukia na Kunitukana mno tu hapa, ila nawashauri CHADEMA rudini katika Misingi yenu, Jitafakarini na ikiwezekana Mjisahihishe kwa Ustawi wa baadae wa Chama chenu.

Ubalozi wa Marekani wala Balozi wa Marekani hakuna mwenye Mamlaka ya 'Kuishurutisha' Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Amiri Jeshi Mkuu na Rais Samia Suluhu Hassan ifanye wanavyotaka Wao na niwaambie hili halitotokea hata Siku moja.

Mnaharibu wenyewe mnataka Msaada.
CHADEMA wamekosa muelekeo hili nililisema jana lakini wafuasi wao wanakaza vichwa tu, niliwaambia kama wakati wanabatizwa kwa moto na JPM hakuna kilichofanywa na USA,EU na wengineo wasahau kabisa awamu hii..."mama" anajali diplomasia na image...JPM alikuwa hana muda anakupiga na anasema nimekupiga utafanya nini, mama yeye anakuonya kabla ya kukupiga, anakupiga kimya kimya na anakupa pole....wanasema don't mistake kindness for weakness🤣
 
Eti Katiba sio kipaumbele,tujenge uchumi kwanza!what a rubbish!!tangu 60s mmeshindwa kujenga nchi,nini jipya mtafanya mjenge sasa hv.
hivi nchi tangu uhuru ilikuwa hivi? baba yako na mama yako siwalikuwa kijijini wanakula na kunya na ng'ombe sehemu mojaangalia sasahivi nchi ilipo inapendeza mnataka mtuletee ujinga wa chadema waturudishe tena nyuma hakuna wa kuwasikiliza hata ha wamarekani wamewaona wajingabarua ndeeeeeeeeefuuuuuuuuu jibu la dharaaaaaaaaaaaauuuuuuuuuu
 
CCM hata kizungu hakipandi,hicho kizungu alichoandika Catherine Ruge hamuwezi kukielewa, angekuwepo Mkapa angewasaidia.

Alichosema Balozi sio jibu kwa BAWACHA, Ni wito ametoa kwa Serikali dhalimu ya CCM kwamba ifuate sheria na misingi yake,Due process.

A man is innocent until proven guilty.
bawacha naona mmekimbilia kwa mabwana zenu..sleeping with the enemy mkimaliza mnawatuma watu twitter wapost the mzungu wenu anakuja ongea mashudu humu...... hivi yule bwana wenu amsterdam kaishia wapi
 
Back
Top Bottom