Majibu ya Ubalozi wa Marekani kwa BAWACHA baada ya kushinikiza Freeman Mbowe kuachiwa huru

Majibu ya Ubalozi wa Marekani kwa BAWACHA baada ya kushinikiza Freeman Mbowe kuachiwa huru

Sijui ni nani aliyewaaminisha Watanzania kuwa ukiwa na tatizo la Kisiasa na Kidemokrasia Basi Kimbilio huwa ni Ubalozi wa Marekani au nchini Marekani.

Mna uhakika wa 100% kuwa na Wao Wamarekani huko Kwao hakuna Ukiukwaji wa Kidemokrasia na Masuala ya Siasa? Mbona huwa hatukimbilii Balozi za Uingereza au Urusi au Ujerumani na hata China ikiwezekana?

Kwahiyo Kukimbilia Marekani ( katika Ubalozi wao ) ndiyo mnataka Kuwalazimisha waende Mahakamani wakawe Mawakili na Mahakimu ili Kiongozi wenu atoke ( atolewe ) upesi?

Hivi kwa jinsi ambavyo sasa hivi Tanzania chini ya Utawala huu wa Rais Samia Suluhu Hassan imerejesha vyema Uhusiano wake wa Kidiplomasia na zile nchi ambazo Kipindi cha Hayati Dkt. Magufuli ulitetereka mnadhani mtasikilizwa na kuonekana wa maana au mna Hoja au sana sana mtasanifiwa tu na Kupuuzwa?

CHADEMA ni Watani zangu Kisiasa GENTAMYCINE nikiwa ni mwana CCM 'tukuka' kabisa ila mara kwa mara tena hapa hapa JamiiForums nimekuwa nikiwaambieni kuwa msipobadilisha 'Political Strategies' zenu mnapotea Kisiasa na Kidemokrasia na msipoangalia mnapoelekea muda ni si mrefu mtakuwa 'labelled Political Terrorist Group' ndani ya Tanzania na Chama chenu Kufutwa kabisa.

Najua kwa post yangu hii Kwenu leo mtanichukia na Kunitukana mno tu hapa, ila nawashauri CHADEMA rudini katika Misingi yenu, Jitafakarini na ikiwezekana Mjisahihishe kwa Ustawi wa baadae wa Chama chenu.

Ubalozi wa Marekani wala Balozi wa Marekani hakuna mwenye Mamlaka ya 'Kuishurutisha' Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Amiri Jeshi Mkuu na Rais Samia Suluhu Hassan ifanye wanavyotaka Wao na niwaambie hili halitotokea hata Siku moja.

Mnaharibu wenyewe mnataka Msaada.
Hakina wa kikichukia ila hata huku Ccm hatutaki mnagiki wa hivi lowasa mkubwa we
 
Sijui ni nani aliyewaaminisha Watanzania kuwa ukiwa na tatizo la Kisiasa na Kidemokrasia Basi Kimbilio huwa ni Ubalozi wa Marekani au nchini Marekani.

Mna uhakika wa 100% kuwa na Wao Wamarekani huko Kwao hakuna Ukiukwaji wa Kidemokrasia na Masuala ya Siasa? Mbona huwa hatukimbilii Balozi za Uingereza au Urusi au Ujerumani na hata China ikiwezekana?

Kwahiyo Kukimbilia Marekani ( katika Ubalozi wao ) ndiyo mnataka Kuwalazimisha waende Mahakamani wakawe Mawakili na Mahakimu ili Kiongozi wenu atoke ( atolewe ) upesi?

Hivi kwa jinsi ambavyo sasa hivi Tanzania chini ya Utawala huu wa Rais Samia Suluhu Hassan imerejesha vyema Uhusiano wake wa Kidiplomasia na zile nchi ambazo Kipindi cha Hayati Dkt. Magufuli ulitetereka mnadhani mtasikilizwa na kuonekana wa maana au mna Hoja au sana sana mtasanifiwa tu na Kupuuzwa?

CHADEMA ni Watani zangu Kisiasa GENTAMYCINE nikiwa ni mwana CCM 'tukuka' kabisa ila mara kwa mara tena hapa hapa JamiiForums nimekuwa nikiwaambieni kuwa msipobadilisha 'Political Strategies' zenu mnapotea Kisiasa na Kidemokrasia na msipoangalia mnapoelekea muda ni si mrefu mtakuwa 'labelled Political Terrorist Group' ndani ya Tanzania na Chama chenu Kufutwa kabisa.

Najua kwa post yangu hii Kwenu leo mtanichukia na Kunitukana mno tu hapa, ila nawashauri CHADEMA rudini katika Misingi yenu, Jitafakarini na ikiwezekana Mjisahihishe kwa Ustawi wa baadae wa Chama chenu.

Ubalozi wa Marekani wala Balozi wa Marekani hakuna mwenye Mamlaka ya 'Kuishurutisha' Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Amiri Jeshi Mkuu na Rais Samia Suluhu Hassan ifanye wanavyotaka Wao na niwaambie hili halitotokea hata Siku moja.

Mnaharibu wenyewe mnataka Msaada.
CHADEMA wanatutia aibu sana duniani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakushangaa unamshangaa anaedai haki yake ila humshangai anaepora haki.

Unawashangaa Bawacha kwenda ubalozi wa Marekani lakini humshangai yule polisi aliemwambia Mbowe safari hii tunakupa kesi ya ugaidi.

Samia kurudisha mahusiano ya kimataifa hakuna maana kama nae ataendelea kukandamiza haki za raia na uhuru wa kidemokrasia, kwa kufanya hivyo ni sawa na anajaza maji kwenye gunia lililotoboka, muda sio mrefu watamgeuka hao jamaa.

Zaidi, mmeenda kushtakiwa kwa hao "marafiki" zenu mnaopenda kuwalilia njaa ili nao waambie muache kuwatesa wapinzani mnaowawapa kesi za uongo, mkishindwa kufanya hivyo bakuli lenu la ombaomba litaachwa tupu.

Tanzania kuwa nchi huru hakuna maana watawala wawaonee wapinzani halafu mkiambiwa mseme hamtakiwi kuingiliwa, huu ni ushamba, mtaingiliwa tu mpaka pale mtakapojifunza kuheshimu haki za wengine na sheria za nchi.
Ulikuwa unataka Rais afanyaje wewe Mbowe aliposema hatupo tayari kumpa muda rais kuhusu katiba maana yake ni kuwa watapambana nae.

Haya subiri Marekani watamtoa Mbowe.

Yeye alitangaza mapambano na Amir Jeshi , je alitegemea rais wa nchi atapambana naye kwa maneni au atapambana na vyombo vilivyo chini yake?
 
View attachment 1873688
View attachment 1873689
Wanaukumbi.

Baada ya Bawacha kufanya maandamano kwenye Ubalozi wa Marekani wakishinikiza Mbowe, aachiwe na kutuma Tamko lao Ubalozini, majibu ya Balozi wa Marekani haya hapo chini.

View attachment 1873667
Wapumbavu tu. Wangewauliza kwanza hao marekani kama wamewahi kuandika upya katiba yao. Mavi kunuka vibaraka hawa. Sasa wanashitaki kwa ubalozi kwani serikali yetu inaweza amrishwa na ubalozi wowote uliyopo hapa nchini? Au ndio wanawaambia watanzania kwamba wakishika dola watakua wanajibu matakwa ya wamarekani kama vile nchi hii ni koloni la marekani.
Halafu wengine wakidai magufuli kauliwa wanaambiwa walete ushahidi. Hivi chadema nani kawaambia kufa magufuli ndio wao wawe wanaamini wamefanikiwa kubadili sera au itikadi ya ccm hadi sasa wanahamaki. Kwani hawajui ni ileile ccm ndio iko madarakani kwa ushindi mkubwa wa magufuli? Samia hana ubavu kuleta sera au kuingiza itikadi tofauti na ile ya ccm., Itikadi inayojali maslahi ya umma.
 
Sijui ni nani aliyewaaminisha Watanzania kuwa ukiwa na tatizo la Kisiasa na Kidemokrasia Basi Kimbilio huwa ni Ubalozi wa Marekani au nchini Marekani.

Mna uhakika wa 100% kuwa na Wao Wamarekani huko Kwao hakuna Ukiukwaji wa Kidemokrasia na Masuala ya Siasa? Mbona huwa hatukimbilii Balozi za Uingereza au Urusi au Ujerumani na hata China ikiwezekana?

Kwahiyo Kukimbilia Marekani ( katika Ubalozi wao ) ndiyo mnataka Kuwalazimisha waende Mahakamani wakawe Mawakili na Mahakimu ili Kiongozi wenu atoke ( atolewe ) upesi?

Hivi kwa jinsi ambavyo sasa hivi Tanzania chini ya Utawala huu wa Rais Samia Suluhu Hassan imerejesha vyema Uhusiano wake wa Kidiplomasia na zile nchi ambazo Kipindi cha Hayati Dkt. Magufuli ulitetereka mnadhani mtasikilizwa na kuonekana wa maana au mna Hoja au sana sana mtasanifiwa tu na Kupuuzwa?

CHADEMA ni Watani zangu Kisiasa GENTAMYCINE nikiwa ni mwana CCM 'tukuka' kabisa ila mara kwa mara tena hapa hapa JamiiForums nimekuwa nikiwaambieni kuwa msipobadilisha 'Political Strategies' zenu mnapotea Kisiasa na Kidemokrasia na msipoangalia mnapoelekea muda ni si mrefu mtakuwa 'labelled Political Terrorist Group' ndani ya Tanzania na Chama chenu Kufutwa kabisa.

Najua kwa post yangu hii Kwenu leo mtanichukia na Kunitukana mno tu hapa, ila nawashauri CHADEMA rudini katika Misingi yenu, Jitafakarini na ikiwezekana Mjisahihishe kwa Ustawi wa baadae wa Chama chenu.

Ubalozi wa Marekani wala Balozi wa Marekani hakuna mwenye Mamlaka ya 'Kuishurutisha' Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Amiri Jeshi Mkuu na Rais Samia Suluhu Hassan ifanye wanavyotaka Wao na niwaambie hili halitotokea hata Siku moja.

Mnaharibu wenyewe mnataka Msaada.
Kwamba hawawezi kusimamia haki zao wenyewe. Ya kwamba wanawaomba wamarekani wafwatilie haki zao.
Falsafa ya mtoto kupigwa na wenzake anakimbilia kusema kwa wengine. Huu ni utoto wa hali ya juu Chadema babies.
 
Sijui ni nani aliyewaaminisha Watanzania kuwa ukiwa na tatizo la Kisiasa na Kidemokrasia Basi Kimbilio huwa ni Ubalozi wa Marekani au nchini Marekani.

Mna uhakika wa 100% kuwa na Wao Wamarekani huko Kwao hakuna Ukiukwaji wa Kidemokrasia na Masuala ya Siasa? Mbona huwa hatukimbilii Balozi za Uingereza au Urusi au Ujerumani na hata China ikiwezekana?

Kwahiyo Kukimbilia Marekani ( katika Ubalozi wao ) ndiyo mnataka Kuwalazimisha waende Mahakamani wakawe Mawakili na Mahakimu ili Kiongozi wenu atoke ( atolewe ) upesi?

Hivi kwa jinsi ambavyo sasa hivi Tanzania chini ya Utawala huu wa Rais Samia Suluhu Hassan imerejesha vyema Uhusiano wake wa Kidiplomasia na zile nchi ambazo Kipindi cha Hayati Dkt. Magufuli ulitetereka mnadhani mtasikilizwa na kuonekana wa maana au mna Hoja au sana sana mtasanifiwa tu na Kupuuzwa?

CHADEMA ni Watani zangu Kisiasa GENTAMYCINE nikiwa ni mwana CCM 'tukuka' kabisa ila mara kwa mara tena hapa hapa JamiiForums nimekuwa nikiwaambieni kuwa msipobadilisha 'Political Strategies' zenu mnapotea Kisiasa na Kidemokrasia na msipoangalia mnapoelekea muda ni si mrefu mtakuwa 'labelled Political Terrorist Group' ndani ya Tanzania na Chama chenu Kufutwa kabisa.

Najua kwa post yangu hii Kwenu leo mtanichukia na Kunitukana mno tu hapa, ila nawashauri CHADEMA rudini katika Misingi yenu, Jitafakarini na ikiwezekana Mjisahihishe kwa Ustawi wa baadae wa Chama chenu.

Ubalozi wa Marekani wala Balozi wa Marekani hakuna mwenye Mamlaka ya 'Kuishurutisha' Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Amiri Jeshi Mkuu na Rais Samia Suluhu Hassan ifanye wanavyotaka Wao na niwaambie hili halitotokea hata Siku moja.

Mnaharibu wenyewe mnataka Msaada.
Chambua Mpira !!


Siasa hazitaki kukurupuka...

Kwa Marekani ,utake usitake, UTAPIGA GOTI TU.

hawajataka tu ,kwakua wanafaidika na mfumo mzima unaoendesha Taifa hili.
 
Chadema kama mnataka hiyo demokrasia mnayoitaka bc badilisheni muundo na aina ya mapambano yenu kwenye kudai hiyo demokrasia, bila hivyo bado mtaendelea kujiaibisha wamama wenye akili timamu kwa kulala barabarani.
 
Kwa hiyo umeona kabisaa kwamba hayo ni majibu ya ubalozi wa USA nchini Tanzania kwa BAWACHA? Yaani waandikiwe barua halafu waijibu barua hiyo kwenye TWITA..!!???
Hilo ndiyo jibu, kama mna majibu zaidi ya hilo liwekeni hapa kama mlivyoweka wazi barua ya kwenda kwa balozi.
 
Mnapopeleka mabakuri kwa mabeberu mnafanyaje? Hamjipemdekezi na kulamba hayo uliyoyataja?
Siko serikalini. Muulize balozi Mulamula siko ktk nafasi ya kujibu hilo..najibu nachokiona kwa macho kilicho hadharani ambacho ni mnyenyekezo wa chini kabisa below the sea level waloonesha bawacha huku wakiwapamba wa-Biden kwa sifa kedekede za juu kuliko mt everest..tell me how low can one go to be dumb and stupid like that
 
CCM hata kizungu hakipandi,hicho kizungu alichoandika Catherine Ruge hamuwezi kukielewa, angekuwepo Mkapa angewasaidia.

Alichosema Balozi sio jibu kwa BAWACHA, Ni wito ametoa kwa Serikali dhalimu ya CCM kwamba ifuate sheria na misingi yake,Due process.

A man is innocent until proven guilty.
Ndo msubiri sasa mahakama itende haki. Kwanini wanashinikiza Marekani iingilie kati. Kwa hiyo wanataka waiingilie mahakama. Sasa demokrasia wanayoipigania iko wapi?
 
Siko serikalini. Muulize balozi Mulamula siko ktk nafasi ya kujibu hilo..najibu nachokiona kwa macho kilicho hadharani ambacho ni mnyenyekezo wa chini kabisa below the sea level waloonesha bawacha huku wakiwapamba wa-Biden kwa sifa kedekede za juu kuliko mt everest..tell me how low can one go to be dumb and stupid like that
Kama hujui basi funga domo lako, unaweza ukadhani unawadhalilisha bawacha kumbe unawadhalilisha wapeleka mabakuri kwa mabeberu
 
CCM hata kizungu hakipandi,hicho kizungu alichoandika Catherine Ruge hamuwezi kukielewa, angekuwepo Mkapa angewasaidia.

Alichosema Balozi sio jibu kwa BAWACHA, Ni wito ametoa kwa Serikali dhalimu ya CCM kwamba ifuate sheria na misingi yake,Due process.

A man is innocent until proven guilty.
Majibu ya balozi ni kwamba serikali ya Tanzania imefanya jambo la maana la kumpeleka Mbowe mahakamani kusudi atendewe haki - kwa maneno mengine anaipongeza serikali kwa kufuata rule of law!
 
Sasa hawa Bavicha wanakimbilia ubalozi wa Marekani kushtaki kwani Tanzania ni koloni la Marekani? Au Tanzania sio nchi huru inaingiliwa mambo yake na Mabeberu
 
hivi wangetaka kumdaka wangemsubiri mpaka amalize kampeni ? mbona wangeshamkamata muda mrefu sana jamaa anaogopa hadi kivuli chake hana lolote hakuna hata mtu alitaka kumkamata
Lisu alukuwa ana tafuta tu sababu ya kurudi kwa bwana zake sasa na nyumbu nao wanashangilia eti
 
Askofu Mwamalanga amekosa heshima kwa vyombo vyetu vya sheria.
naamini anafahamu kabisa kuwa chombo chenye kutoa Haki ni Mahakama, sasa anapata wapi ujasiri wa kusema Mbowe kabambikiwa wakati bado kesi haijasikilizwa na kuamuliwa?!
Hivi huyu askofu mwamalanga nafahamu ju ya utawala wa sheria?
Hadi Mbowe kuunganishiwa na wenzake tufahamu kuwa kuna ushahidi dhidi yake. tusubiri tuache vyombo vyetu vifanye kazi zake kwa mujibu wa sheria.
 
Kama hujui basi funga domo lako, unaweza ukadhani unawadhalilisha bawacha kumbe unawadhalilisha wapeleka mabakuri kwa mabeberu
Kawaambie mwenyewe wizarani ..mi nadili na bawacha wenzako siku nyingine andikeni kwa kutumia akili kujidhalili namna hiyo kama ma clowns ni kichefuchefu..halafu wewe yawezekana ndo lile lidada bonge lilokuwa linajigaragaza kwenye lami na kilio cha yowe kuu ubalazoni kuomba mbowe aachiliwe
 
Wanakimbilia marekani coz wana demokrasia ya kweli ndio maana kila baada ya awamu mbili au moja chama tawala hubadilika!!Republican au Democratic wakati huku kwetu ccm ni MZIMU WA BABU LAZIMA ITAWALE MILELE IWE KWA JASHO NA DAMU HATA VIFO VYA RAIA LAZIMA ITAWALE!!!Hauoni tofauti hapo???!!!Hata kule kwenu RWANDA mambo ni haya haya kama ya ccm!!!
Kwa hiyo ndo maana halisi ya democrasia au akili yako imeishia hapo
 
CHADEMA watake wasitake wanapaswa waheshimu sheria za nchi, wajue kuwa hakuna aliye juu ya sheria.
kamwe wasitegemee Mataifa ya nje kuhalalisha uovu wa Mbowe na genge lake la kigaidi, badala yake wafuate taratibu za kisheria kupambana.
wakiendelea na mikakati yao eti ya kuichafua Serikali/nchi wataangukia pua, muda huo haupo chini ya awamu hii ya 6.
awamu hii inatumia akili nyingi zaidi kuliko nguvu.
 
Wamesema kesi itakuwa kwa video za simu, itahudhuliwa na watu wasiozidi 4 sababu ya Corona. CCM kwa hili nimewavulia kofia aisee, nyie ni wa-nouma.
 
Back
Top Bottom