Majibu ya Ubalozi wa Marekani kwa BAWACHA baada ya kushinikiza Freeman Mbowe kuachiwa huru

Chadema hawawezi kufanikiwa kwa siasa zao za kuitoa serikali kwa kutumia nguvu za umma.....HAWAWEZI KUFANIKIWA HAYO.....

Ukiona chama kinatumia mbinu hizo KIPINDI HIKI....mbinu za kuzitumia njia zilizotumiwa kudai UHURU WA BAADHI YA NCHI....basi ujue hao ni malaghai wa siasa wanaotaka KUBUBUJISHA DAMU ZA WASIO NA HATIA ili tu wapate madaraka....

#NchiKwanza
#SerikaliMbiliMilele
#KaziIendelee
 
ila Mbowe alifikia pabaya sana!! Ugaidi!!
yaani ugaidi ni level nyigine kabisa.
Jina lake tayari limeingia kwenye Database ya Dunia.
Tena ni mfadhili na mla njama..aiseee, wamuhifadhi hukohuko
 
The right to have ABSOLUTE AND UNLIMITED POWER.....

Tanzania is a sovereign NATION💪

#KaziIendelee
#SerikaliMbiliMilele
 
"Bita ni bita tu Mura". Hii ni mojawapo ya silaha.
 
nimemjibu GENTAMYCINE kwamba kwanini bawacha walikimbilia ubalozini... nimemtaja LISSU kama mfano nae alikimbilia UBALOZINI hukohuko akafanikiwa kuokoka leo hii kama si kukimbilia huko tungekuwa hatunae.
 
nimemjibu GENTAMYCINE kwamba kwanini bawacha walikimbilia ubalozini... nimemtaja LISSU kama mfano nae alikimbilia UBALOZINI hukohuko akafanikiwa kuokoka leo hii kama si kukimbilia huko tungekuwa hatunae.
Kumbe BAWACHA walikimbilia ubalozini kuomba HIFADHI kama Lissu...hayaa!

#SerikaliMbiliMilele
 
Wamarekani wanajua Sana athari za ugaidi,hivyo Kamwe hawawezi kumtetea gaidi Mbowe.

Aibu nimeipata Mimi badala ya wafuasi wa chadema kwa majibu haya ya balozi
 
haipo tena maana mwamba yupo nyuma ya nondo yaani ananyea debe kwa ujinga wake kuijaribu nchi na hakuna tena mwenyekiti wa kuweza kuongoza chama bila mbowe hakuna chadema
Ni kweli Chadema haipo kama ambavyo aliyefanya ife anahangaikia roho yake kulee kwa LUSFA jehenamu.
 
Ni kweli Chadema haipo kama ambavyo aliyefanya ife anahangaikia roho yake kulee kwa LUSFA jehenamu.
yoooote mtayasema lakini mbowe mlimfanya kama malaika wenu ambaye hakosei sasa mtashangaa ushaidi utakaotolewa mahakamani we hushangai kwa nini wale watu walikuwa ndani tangu mwaka jana hajawahi kuwasemea hata siku moja na ni wasaidizi wake sasa wameamua kumwaga mboga
 
Sawa msomi
 
Kumbe BAWACHA walikimbilia ubalozini kuomba HIFADHI kama Lissu...hayaa!

#SerikaliMbiliMilele
kila mkimbilia ubalozi huenda kwa malengo yake. we jiendekeze tu kukumbatia dushe la lumumba utatotoa muda si mrefu
 
kila mkimbilia ubalozi huenda kwa malengo yake. we jiendekeze tu kukumbatia dushe la lumumba utatotoa muda si mrefu
🤣🤣
Lumumba kuzuri kaka ...

Karibu hapa MANDI tujadili uzalendo kuntu wa nchi.....

#SerikaliMbiliMilele
 
weDADA usijitoe ufaham kama umebugia 4 finger
🤣🤣Mimi ni Kaka mkuu...

Unakuja na "argumentum ad hominem" eee?!!!

Jiandae na press ya MNYIKA hiyo kesho.....

ENDELEA KUUFUKUZA UPEPO

#SiempreCCM
 
Alichosema Balozi sio jibu kwa BAWACHA, Ni wito ametoa kwa Serikali dhalimu ya CCM kwamba ifuate sheria na misingi yake,Due process.
Hukusoma literature wewe
Due process according to the law
Sheria ya ugaidi haina dhamana,mana yake Mbowe yupo kwenye mchakato sahihi,transparency,maana yake amefikishwa kwenye mahaka ya wazi
Tutulie tu,wamarekani wameshawachoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…