Majiji 5 kwa Uzuri Tanzania

We jamaa unafurahisha sana 😀😀
 
Hahaaa
Huo wastani umeupimaje aiseee
Utahama mikoa sana kuiponda mwanza ila mwsho wa siku utajikuna mwenywe
 
Misimamo ndio utambulisho wa binadamu endelea kuabudu uwezeshwaji mbeya depends on itself.Wageni wapo kibao na ni viongozi au suala la kujimudu kwenye kilimo linakukera?!
 
Sio wasafwa tena?dah kumbe bifu lenu ni wanyakyusa!awamu iliyopita imetengeneza tanzania yenye watu wenye roho za ajabu sana.
 
Misimamo ndio utambulisho wa binadamu endelea kuabudu uwezeshwaji mbeya depends on itself.Wageni wapo kibao na ni viongozi au suala la kujimudu kwenye kilimo linakukera?!
Agenda hapa ni uzuri wa mji. Wawekezaji ni akina nani? Mbeya ni nchi? Hili ndilo unathibitisha ubaguzi,ukabila na uozo wenu. Nenda kwenye hoja. Uziri wa mji!
 
Tatizo huko Dar kuna sehemu unapita kunanuka mizoga. Unajiuliza karne hii tunashindwa kusimamia hilo?
Kuna wakati wakati wa utawala wa Rais Mwinyi Michael Jackson(+) aliziba pua sikumbuki vizuri ilikua Kariakoo au wapi.

Watu wakasema dharau! Hata sasa mi wa mikoani nkija Dar kuna sehemu nyingi naziba pua.

Kuna viongozi na watendaji kuanzia mtaa hadi mkuu wa mkoa lakini sijui nao wanaziba pua?
 
Majiji yetu usafi ni kisanga sana
 
😄😄 Wadau wanasema mbeya itolewe kwenye orodha.
Anti Mwanza, anti kanda ya ziwa umetia timu🤣🤣🤣
Kila eneo lina watu walio omba litolewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…