Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikusaidie kuteseka zaidi, make unatesekaga sana maendeleo ya Rocky city.Toa sasa unaniambia mimi nikusaidie nini sasa?
Jamaa huwa anapata muhaho sana akiliona jj la Mwanza linakua kila kukichaNikusaidie kuteseka zaidi, make unatesekaga sana maendeleo ya Rocky city.
Hilo hapo sio daraja lenyewe, bali ni daraja kusaidia kujengwa daraja refu zaidi Afrika mashariki na kati.View attachment 1820188
Asante sana mkuu kwa kutoa ujumbe huoNikusaidie kuteseka zaidi, make unatesekaga sana maendeleo ya Rocky city.
Hilo hapo sio daraja lenyewe, bali ni daraja kusaidia kujengwa daraja refu zaidi Afrika mashariki na kati.View attachment 1820188
Kuna mbabe kamshikisha ukutaBwana Kasubi,rafiki yako Sabaya anaendeleaje pale Kisongo??
Kila kizuri kina kizuri na kila kibaya kina kibaya.Ukitoka nje ya Tanzania ndio utajua Tanzania hakuna jiji!!! Eti Tanga ni jiji!??? Shame!!! Eti Dodoma ni jiji !?? Pathetic!? Vichekeshioooo
Mbeya hapana. Weka Tabora!Hii hapa ni orodha ya Miji mizuri Tanzania.
1-Dar es Salaam (Mzizima)
Eneo la mkoa ni jiji la Dar es Salaam ambalo ndilo kitovu cha shughuli za biashara (na za utawala, kwa kiasi fulani) nchini Tanzania, na ni kati ya majiji yanayokua haraka zaidi duniani.
Ni km² 1,
Bado ujenzi unaendelea mkuu?Nikusaidie kuteseka zaidi, make unatesekaga sana maendeleo ya Rocky city.
Hilo hapo sio daraja lenyewe, bali ni daraja kusaidia kujengwa daraja refu zaidi Afrika mashariki na kati.View attachment 1820188
Mkandarasi yuko site.Bado ujenzi unaendelea mkuu?
Safi sana inapendeza!
Ni pigo kubwa sana kwa Opportunity CostSafi sana inapendeza!
zanzibar kama sehemu ya jamhuri ya muungano wa Tanzania lipo nafasi ya ngapi?Hii haina uhalisia hapo ungeweka Mimi mizuri kwa asili na sio hizo man made materials kuna miji kiasili inavutia kama mwanza,arusha,Kilimanjaro....
Hayo majiji sijafika hebu jaribu kunijuza yalivyo.Ukitoka nje ya Tanzania ndio utajua Tanzania hakuna jiji!!! Eti Tanga ni jiji!??? Shame!!! Eti Dodoma ni jiji !?? Pathetic!? Vichekeshioooo