Majiji 5 kwa Uzuri Tanzania

Majiji 5 kwa Uzuri Tanzania

Acha porojo wewe za kipuuzi wewe Mbeya inazidi kuendelea bila sapoti ya kijinga kutoka kwa mtu yeyote.

Kwa Mwanza kuna nini cha maana au spesho ambacho hakipo Mbeya?
Povu la niini? Weka kitu unachosema kinafanya mbeya liwe jiji, licha ya uzuri. Majungu, fitina, wivu na ubaguzi ndiyo rangi yenu halisi!. Usitumie nguvu leta hoja.

Mbeya jiji

1623612869424.png



Magorofa ya Mbeya
1623613049601.png



Jiji la Mbeya Wasomaji -

1623613644601.png









1623613860197.png


Jengo la Tazara, Hapa chini ndipo pa kupigia picha za Harusi


1623614069258.png



1623614237227.png


Angalia International Airport ya Mbeya. Iko kama nyumba ya mmalafyale mmoja - Hii yote ni kutokana ubishi kujifanya wanajua na hawataki maarifa ya mtu asiye wa kwao. Ikumbukwe hii ni airport mpya kabisa na kwa mantiki hiyo hii ni ya kisasa saaana kwa mjibu wa watu wa Mbeya.


1623615079675.png
1623615382402.png
1623615495214.png
1623615629537.png


1623615671860.png


1623614954483.png
 
Hii hapa ni orodha ya Miji mizuri Tanzania.
1-Dar es Salaam (Mzizima)
Eneo la mkoa ni jiji la Dar es Salaam ambalo ndilo kitovu cha shughuli za biashara (na za utawala, kwa kiasi fulani) nchini Tanzania, na ni kati ya majiji yanayokua haraka zaidi duniani.

Ni km² 1,800 pamoja na visiwa vidogo 8 na eneo la bahari kati ya pwani na visiwa hivi. Eneo la nchi kavu pekee ni km² 1,393.

Kuna wilaya tano: Kinondoni (wakazi 1,775,049), Ilala (wakazi 1,220,611) na Temeke (wakazi 1,368,881) ambazo zimeongezewa Kigamboni na Ubungo. Kila moja inaangaliwa kama mji. Takwimu hizi ni za mwaka 2012, kwa ujumla idadi ya wakazi ilikuwa 4,364,541.

Wakazi asili wa eneo la mkoa walikuwa Wazaramo pamoja na makabila madogo kama vile Wandengereko na Wakwere. Kutokana na kukua na kupanuka kwa jiji kuna makabila yote ya Tanzania.

2-Mwanza (Rocky city)
Jiji la Mwanza ni mji nchini Tanzania ambao ni makao makuu ya Mkoa wa Mwanza. Mji upo kando la ziwa Viktoria Nyanza Kulingana na sensa ya mwaka 2002 idadi ya wakazi wake ilihesabiwa kuwa 378,327 (ukijumlisha wakazi wa Wilaya ya Nyamagana na sehemu za Wilaya ya Ilemela).

3-Arusha (A city)
Arusha ni jiji la kaskazini mwa Tanzania na makao makuu ya Mkoa wa Arusha. Kiutawala eneo la jiji la Arusha ni sawa na eneo la Wilaya ya Arusha Mjini. Katika sensa ya mwaka 2012, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 416,442

4-Dodoma (Idodomya)
Ilitangazwa kuwa mji mkuu wa Tanzania mwaka 1973, lakini mnamo tarehe 26 Aprili 2018 katika maadhimisho ya miaka 54 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar, rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa awamu ya tano John Magufuli aliupandisha hadhi na kutangaza rasmi kuwa Dodoma ni Jiji. Serikali ya awamu ya tano ilihamia rasmi jijini Dodoma mwaka 2016.

Jiji hili pia ni makao makuu ya Mkoa wa Dodoma na eneo lake linahesabiwa kama Wilaya ya Dodoma .

Eneo la mji liko mita 1135 juu ya usawa wa bahari UB. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, mji wa Dodoma ulikuwa na wakazi wapatao 410,956 waishio humo.

5-Mbeya (Green city)
Mbeya ni mji wa nne kwa ukubwa nchini Tanzania. Idadi ya wakazi imehesabiwa kuwa 385,279 katika sensa ya mwaka 2012. Wengine 300,000 hivi wanaishi katika mazingira karibu na Mbeya mjini.

Kiasili Mbeya ilikuwa eneo la Wasafwa. Siku hizi sehemu kubwa ya wakazi wanaweza kuwa mchanganyiko wa Wasafwa pamoja na makabila ya Wanyakyusa kutoka wilaya za Rungwe na Kyela, Wanyiha kutoka Mbozi, Wandali kutoka Ileje na Wakinga kutoka Makete.

Tazama zaidi video ya mandhari ya majiji hayo.



Mkuu,
1 Dar
2 Mwanza
3 Mbeya
4 Arusha
5 Dodoma
6 Tang

Baada ya miaka kadhaa huko mbele dom itapanda nafasi ya 4 kwa jinsi inavokua kwa kasi, na Ka arusha katashuka hadi nafasi ya 5.
 
Wajinga hao wamezaliwa na kukulia Dar hakuna wakijuacho.

Wengine Wana picha za 2014 na kipindi kile wanadanganywa eti ooh Mbeya hakuruhusiwi majengo marefu sijui tetemeko sijui maji na blaa blaa kibao

Kwa taarifa yao Mbeya ya sasa imeendelea na ni Jiji kubwa kuna kila kitu kinachopatikana kwenye majiji mengine.

Tuna changamoto ya barabara tuu ambayo nayo inamalizwa kabla ya 2025
Mbeya nilikuwa mwezi wa 4 mwaka huu.

Kama ndio mbeya unayozungumzia Basi sishangai kwanini Viongozi wetu wana akili za hovyo
 
Saiz kuanzia Mafiat kwenda meta m ni maghorofa tupu,bado Eneo kuanzia Uyole hadi mwanjelwa along Tanzam highway ni hot kwenye ujenzi
Bado CBD kule kote ni [emoji91][emoji91]

Pia waambie Mbeya ina university/Collage/Campus karibu 10 hata Mwanza haina vyuo vingi kiasi hicho

Saizi Mbeya haijadili maghorofa bali tunajadili barabara dual carriage
Yani wingi wa maghorofa ndio kigezo Cha mji kuwa mzuri[emoji3][emoji3][emoji3] wanyakyusa mbona ushamba.

Lete facts za city plan.

Sewage stystem
Water service
Fire service
Road network mitaani
Security system mitaani

Sehemu za kuishi yamejaa maduka, machinga kila sehemu, Majumba yamejengwa hovyo full uswazi. Nyumba hazijaungwa na sewage system. Halafu unakuja na sababu ya wingi wa maghorofa. That's pointless to profit your argument.


Miji mingi TANZANIA ni garbage. Narudia Tena tembeeni walau Maputo Mozambique
 
Wajinga hao wamezaliwa na kukulia Dar hakuna wakijuacho.

Wengine Wana picha za 2014 na kipindi kile wanadanganywa eti ooh Mbeya hakuruhusiwi majengo marefu sijui tetemeko sijui maji na blaa blaa kibao

Kwa taarifa yao Mbeya ya sasa imeendelea na ni Jiji kubwa kuna kila kitu kinachopatikana kwenye majiji mengine.

Tuna changamoto ya barabara tuu ambayo nayo inamalizwa kabla ya 2025
Kweli kabisa wao wanasemea Mbeya ya 2014
Saiz kuanzia Mafiat kwenda meta m ni maghorofa tupu,bado Eneo kuanzia Uyole hadi mwanjelwa along Tanzam highway ni hot kwenye ujenzi
Bado CBD kule kote ni [emoji91][emoji91]

Pia waambie Mbeya ina university/Collage/Campus karibu 10 hata Mwanza haina vyuo vingi kiasi hicho

Saizi Mbeya haijadili maghorofa bali tunajadili barabara dual carriage
Kwa sasa mbeya si kama ya zamani
 
MBEYA BOY HPA NAANDIKA NIKIWA MKOANI TANGA, JIJI LA WASWAHILI
.....Kiufup huwez kufananisha mbeya na Tanga, hizo ni dharau kubwa sana kwa wana mbeya, huy mtu anaeizarau mbeya itakuwa hajatembea, bal alipita pita na bus mpka stend ,ama alkuwa ndan ya daradara kuzunguka zunguka, akajiona bas ameimaliza mbeya, simple, mbeya ina sehem kuu 2, uswazi na non uswaz napoongelea uswaz namaanisha ni yale maeneo ambay weng wagen wanayaona na kuzan wameimaliza mbeya ama yale maeneo ya mjini tuu,, , jiongeze siku panda boda njoo maeneo yanaitwa iwambi mpya, hakika utapagawa, kuna mitaa ambayo kwa tanga kuja kuipata labda wabomoe magofi yao, huku mitaa imepengwa, kuna nyumba zakisasa ambazo tanga nzima sjawahi zion, kuna stail za majumba ambazo wanaoibeza mbeya wakiyaona watashangaa, oke kuna sehem nyngne inaitwa, mayombo nako uku ni part ya iwamb mpya, ni mitaa iliyotulia, lakn ina majengo makari ya gharama na barabara nzur ambazo zikitiwa rami aseee awo wakina dodoma na mwanza watasubir saaana, kiufup mbeya inawashind hao watanga kwa mambo meng kama
....idadi ya watu
.....mzunguko wa pesa
...upatikanaj wa usafr, yaan huku usafr ni mzur ukikosa daladala bas una bajaj ama boda na wote wako vzr Kwanzia kujar muda uku akunaga tartbu zakipuuzi kama za mikoa ya ddom na tanga et yakupangisha folen daladala wakat watu wana haraka na ni wengi huku ni wew tu na ujanja wako, ukifika stend simama then pakia abiria sepaa, hakuna wakukulaum, tofaut na fanga daladala ikipakia abilia kama sio zam yako watakumeza madereva wenzako
...mbeya mji umechangamka mpka vijijin si siku za sikukuu ama kawaida kila siku ni nzur, kiufup ukija mbeya hesabu kuwa umekuja ktk nchi ya watu wa jamuhur ya wabishi ama wafuasi wa rais X- sugu japo si tena mbunge
....mbeya kwa barabara na mataa ya usiku, iko vbaya chanzo kikubwa ni siasa, lait serkal ingelifanyia kaz ili jambo awo wakina mwanza wangesubr saaan
....mbeya biashara imechanganya huku usje fananisha na tanga kwa wavivu huku maduka yachelewa kufungukuwa na yanawai kufungwa, pia baaz ya bidhaa uku tanga hupatiii na ukipata ni bei kubwaa, kwa upande wa mavazi uku tanga hesabu kama UMEPIGWAA" maana huky uswahili mwing watu wa huku weng sio wa fashion na kuvaa sana hivy kwa biashara ya nguo uku ni mambo ya hovyo,,
...maduka pia ni machache hata yaliyopo vtu vng hakuna na kama vipo ni vile local local,
...kwa uswahili wa tanga wametuzid bnaa japo mbeya upo ila si kama wa uku tanga aseee uku hatar yaan
....kwa wanawake warembo uku Tanga ndio kwenyew, mbeya baado saana maana mbeya ni sura za kazii tuu hakuna warembo mbeya, kama wapo wachachee sana watu wa mbeya wanajari saana kuvaa, yaan mmama wa kinyakyusa ama kisafwa mnyime chakula ila sio kitenge doti mpya na kile chakujifunga kichwan,bila kusahau mtandio,....INSHORT MBEYA IMESTAHARABIKA USIFANANISHE NA UPUMBAVU WA KISIWANI
 
MBEYA BOY HPA NAANDIKA NIKIWA MKOANI TANGA, JIJI LA WASWAHILI
.....Kiufup huwez kufananisha mbeya na Tanga, hizo ni dharau kubwa sana kwa wana mbeya, huy mtu anaeizarau mbeya itakuwa hajatembea, bal alipita pita na bus mpka stend ,ama alkuwa ndan ya daradara kuzunguka zunguka, akajiona bas ameimaliza mbeya, simple, mbeya ina sehem kuu 2, uswazi na non uswaz napoongelea uswaz namaanisha ni yale maeneo ambay weng wagen wanayaona na kuzan wameimaliza mbeya ama yale maeneo ya mjini tuu,, , jiongeze siku panda boda njoo maeneo yanaitwa iwambi mpya, hakika utapagawa, kuna mitaa ambayo kwa tanga kuja kuipata labda wabomoe magofi yao, huku mitaa imepengwa, kuna nyumba zakisasa ambazo tanga nzima sjawahi zion, kuna stail za majumba ambazo wanaoibeza mbeya wakiyaona watashangaa, oke kuna sehem nyngne inaitwa, mayombo nako uku ni part ya iwamb mpya, ni mitaa iliyotulia, lakn ina majengo makari ya gharama na barabara nzur ambazo zikitiwa rami aseee awo wakina dodoma na mwanza watasubir saaana, kiufup mbeya inawashind hao watanga kwa mambo meng kama
....idadi ya watu
.....mzunguko wa pesa
...upatikanaj wa usafr, yaan huku usafr ni mzur ukikosa daladala bas una bajaj ama boda na wote wako vzr Kwanzia kujar muda uku akunaga tartbu zakipuuzi kama za mikoa ya ddom na tanga et yakupangisha folen daladala wakat watu wana haraka na ni wengi huku ni wew tu na ujanja wako, ukifika stend simama then pakia abiria sepaa, hakuna wakukulaum, tofaut na fanga daladala ikipakia abilia kama sio zam yako watakumeza madereva wenzako
...mbeya mji umechangamka mpka vijijin si siku za sikukuu ama kawaida kila siku ni nzur, kiufup ukija mbeya hesabu kuwa umekuja ktk nchi ya watu wa jamuhur ya wabishi ama wafuasi wa rais X- sugu japo si tena mbunge
....mbeya kwa barabara na mataa ya usiku, iko vbaya chanzo kikubwa ni siasa, lait serkal ingelifanyia kaz ili jambo awo wakina mwanza wangesubr saaan
....mbeya biashara imechanganya huku usje fananisha na tanga kwa wavivu huku maduka yachelewa kufungukuwa na yanawai kufungwa, pia baaz ya bidhaa uku tanga hupatiii na ukipata ni bei kubwaa, kwa upande wa mavazi uku tanga hesabu kama UMEPIGWAA" maana huky uswahili mwing watu wa huku weng sio wa fashion na kuvaa sana hivy kwa biashara ya nguo uku ni mambo ya hovyo,,
...maduka pia ni machache hata yaliyopo vtu vng hakuna na kama vipo ni vile local local,
...kwa uswahili wa tanga wametuzid bnaa japo mbeya upo ila si kama wa uku tanga aseee uku hatar yaan
....kwa wanawake warembo uku Tanga ndio kwenyew, mbeya baado saana maana mbeya ni sura za kazii tuu hakuna warembo mbeya, kama wapo wachachee sana watu wa mbeya wanajari saana kuvaa, yaan mmama wa kinyakyusa ama kisafwa mnyime chakula ila sio kitenge doti mpya na kile chakujifunga kichwan,bila kusahau mtandio,....INSHORT MBEYA IMESTAHARABIKA USIFANANISHE NA UPUMBAVU WA KISIWANI
🙏🙏🙏 Watu wamepita isanga,ilolo,iganzo,kawetele ukiwa unaelekea chunya na maeneo mengine kama hayo wakajua Mbeya ndo ilivyo.
Huku wamesahau maeneo mengine tuassume hata Uhindini na mengine Dah!
All in all Shukurani mkuu kwa kutetea hilo karibu Desderia kwa Sugu Tufurahi
 
Back
Top Bottom