Majiji 5 kwa Uzuri Tanzania

Majiji 5 kwa Uzuri Tanzania

Yani wingi wa maghorofa ndio kigezo Cha mji kuwa mzuri[emoji3][emoji3][emoji3] wanyakyusa mbona ushamba.

Lete facts za city plan.

Sewage stystem
Water service
Fire service
Road network mitaani
Security system mitaani

Sehemu za kuishi yamejaa maduka, machinga kila sehemu, Majumba yamejengwa hovyo full uswazi. Nyumba hazijaungwa na sewage system. Halafu unakuja na sababu ya wingi wa maghorofa. That's pointless to profit your argument.


Miji mingi TANZANIA ni garbage. Narudia Tena tembeeni walau Maputo Mozambique
Anakuambia sasa kuna magorfa yanajengwa kwenye highway kutoka uyole hadi mwanjelwa, Tan-Zam, highway, eti magorofa yanayojengwa kwenye high way, ambayo ndiyo barabara ya pekee mbeya, eti ndiyo yanafanya mbeyza kuwa jiji zuri. Honestlly watu wa Mbeya ni aibu. Yote haya ni ushamba, na ubaguzi, majungu naukabila ambapo hawataki kabisa kupata mawazo ya watu wasio wa kwao. Viongozi waliokwenda kuongoza Mbeya ni mashahidi. Hupigwa majungu yasiyo ya dunia hii. Mbeya kwa chuki wivu namajungu wanaongoza. Hata mawazo yenye manufaa kwao, yasipptoka kwa mtu wa kwao, wanayakataa haijalishi ni mazuri kiasi gani. Eti wasimpe sifa mjanga!.

Hii ni zaidi ya giza hallo. Unamwona anavyo urgue hapa, hata hataki kukubaliana na facts ili waanze mikakati ya kuboresha. That is how they are.
1623643693049.png



1623644306859.png





1623643911580.png


Kama uanvyoona hii ndiyo skyscrapper inayomeremetesha mji wa mbeya kama ilivyoandikwa hapo. Juu. (Kikwangua anga).
 
Sasa tanga Ina uzuri gani, Jiji Lina Nyumba za nyasi na tope katikati ya Jiji
Tanga ni Port City,usilinganishe na kwingine,na hakuna nyumba za nyasi,nani kakudanganya?Tembelea Port City,uone utofauti.Wakati wengine wanazinduwa lift ya kwanza,huko Tanga,lift ziko toka 1950.
 
MBEYA BOY HPA NAANDIKA NIKIWA MKOANI TANGA, JIJI LA WASWAHILI
.....Kiufup huwez kufananisha mbeya na Tanga, hizo ni dharau kubwa sana kwa wana mbeya, huy mtu anaeizarau mbeya itakuwa hajatembea, bal alipita pita na bus mpka stend ,ama alkuwa ndan ya daradara kuzunguka zunguka, akajiona bas ameimaliza mbeya, simple, mbeya ina sehem kuu 2, uswazi na non uswaz napoongelea uswaz namaanisha ni yale maeneo ambay weng wagen wanayaona na kuzan wameimaliza mbeya ama yale maeneo ya mjini tuu,, , jiongeze siku panda boda njoo maeneo yanaitwa iwambi mpya, hakika utapagawa, kuna mitaa ambayo kwa tanga kuja kuipata labda wabomoe magofi yao, huku mitaa imepengwa, kuna nyumba zakisasa ambazo tanga nzima sjawahi zion, kuna stail za majumba ambazo wanaoibeza mbeya wakiyaona watashangaa, oke kuna sehem nyngne inaitwa, mayombo nako uku ni part ya iwamb mpya, ni mitaa iliyotulia, lakn ina majengo makari ya gharama na barabara nzur ambazo zikitiwa rami aseee awo wakina dodoma na mwanza watasubir saaana, kiufup mbeya inawashind hao watanga kwa mambo meng kama
....idadi ya watu
.....mzunguko wa pesa
...upatikanaj wa usafr, yaan huku usafr ni mzur ukikosa daladala bas una bajaj ama boda na wote wako vzr Kwanzia kujar muda uku akunaga tartbu zakipuuzi kama za mikoa ya ddom na tanga et yakupangisha folen daladala wakat watu wana haraka na ni wengi huku ni wew tu na ujanja wako, ukifika stend simama then pakia abiria sepaa, hakuna wakukulaum, tofaut na fanga daladala ikipakia abilia kama sio zam yako watakumeza madereva wenzako
...mbeya mji umechangamka mpka vijijin si siku za sikukuu ama kawaida kila siku ni nzur, kiufup ukija mbeya hesabu kuwa umekuja ktk nchi ya watu wa jamuhur ya wabishi ama wafuasi wa rais X- sugu japo si tena mbunge
....mbeya kwa barabara na mataa ya usiku, iko vbaya chanzo kikubwa ni siasa, lait serkal ingelifanyia kaz ili jambo awo wakina mwanza wangesubr saaan
....mbeya biashara imechanganya huku usje fananisha na tanga kwa wavivu huku maduka yachelewa kufungukuwa na yanawai kufungwa, pia baaz ya bidhaa uku tanga hupatiii na ukipata ni bei kubwaa, kwa upande wa mavazi uku tanga hesabu kama UMEPIGWAA" maana huky uswahili mwing watu wa huku weng sio wa fashion na kuvaa sana hivy kwa biashara ya nguo uku ni mambo ya hovyo,,
...maduka pia ni machache hata yaliyopo vtu vng hakuna na kama vipo ni vile local local,
...kwa uswahili wa tanga wametuzid bnaa japo mbeya upo ila si kama wa uku tanga aseee uku hatar yaan
....kwa wanawake warembo uku Tanga ndio kwenyew, mbeya baado saana maana mbeya ni sura za kazii tuu hakuna warembo mbeya, kama wapo wachachee sana watu wa mbeya wanajari saana kuvaa, yaan mmama wa kinyakyusa ama kisafwa mnyime chakula ila sio kitenge doti mpya na kile chakujifunga kichwan,bila kusahau mtandio,....INSHORT MBEYA IMESTAHARABIKA USIFANANISHE NA UPUMBAVU WA KISIWANI
Port City(Tanga).Usifananishe na mji wowote usiokuwa na bahari.Kuwa na Bandari ya Bahari,peke yake ni kuipiku mji yote isiyokuwa na Bahari na Bandari(Port City).
 
Jiji lolote lenye Bandari ya Bahari(Port City)huwezi kulinganisha na mji wowote usiokuwa na Bandari ya Bahari(Port City).Jiji kuwa na Bandari ya Bahari,ni kiunganishi cha majiji yote Duniani.Kama Dar na Tanga,huwezi kulinganisha na kwingineko.Kwasababu hata hayo majiji mengine yasio na bahari,na Bandari,maendeleo yake yanategemea Jiji lenye Bandari ya Bahari(Port City).Kwa kupata mafuta ya magari na mitambo, vifaa vya ujenzi kutoka nje na Bidhaa nyingine kupitia hizo Port City(Tanga na Dar).
 
Tanga ni Port City,usilinganishe na kwingine,na hakuna nyumba za nyasi,nani kakudanganya?Tembelea Port City,uone utofauti.Wakati wengine wanazinduwa lift ya kwanza,huko Tanga,lift ziko toka 1950.
Mwaka 2021 bado unajivunia lift ?

Nimetoka tanga mwaka jana November nimeona Nyumba za nyasi na tope tanga mjini Tena jijini.

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Jiji lolote lenye Bandari ya Bahari(Port City)huwezi kulinganisha na mji wowote usiokuwa na Bandari ya Bahari(Port City).Jiji kuwa na Bandari ya Bahari,ni kiunganishi cha majiji yote Duniani.Kama Dar na Tanga,huwezi kulinganisha na kwingineko.Kwasababu hata hayo majiji mengine yasio na bahari,na Bandari,maendeleo yake yanategemea Jiji lenye Bandari ya Bahari(Port City).Kwa kupata mafuta ya magari na mitambo, vifaa vya ujenzi kutoka nje na Bidhaa nyingine kupitia hizo Port City(Tanga na Dar).
Point yako ni Nini Sasa mbona uko kinyume na mada

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Anakuambia sasa kuna magorfa yanajengwa kwenye highway kutoka uyole hadi mwanjelwa, Tan-Zam, highway, eti magorofa yanayojengwa kwenye high way, ambayo ndiyo barabara ya pekee mbeya, eti ndiyo yanafanya mbeyza kuwa jiji zuri. Honestlly watu wa Mbeya ni aibu. Yote haya ni ushamba, na ubaguzi, majungu naukabila ambapo hawataki kabisa kupata mawazo ya watu wasio wa kwao. Viongozi waliokwenda kuongoza Mbeya ni mashahidi. Hupigwa majungu yasiyo ya dunia hii. Mbeya kwa chuki wivu namajungu wanaongoza. Hata mawazo yenye manufaa kwao, yasipptoka kwa mtu wa kwao, wanayakataa haijalishi ni mazuri kiasi gani. Eti wasimpe sifa mjanga!.

Hii ni zaidi ya giza hallo. Unamwona anavyo urgue hapa, hata hataki kukubaliana na facts ili waanze mikakati ya kuboresha. That is how they are.
View attachment 1818067


View attachment 1818076




View attachment 1818071

Kama uanvyoona hii ndiyo skyscrapper inayomeremetesha mji wa mbeya kama ilivyoandikwa hapo. Juu. (Kikwangua anga).
Hahahaha aibu nimeona Mimi.

Majiji yote Tanzania ni trash and Garbage kwasababu City plan ni almost zero

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Mbeya ni nzuri kuliko hivyo Vimiji vyenu uchwara,ukipewa picha ya ziwa ngozi au mlima loleza au miteremko ya barabara ya mlima kawetele unaweza Shani uko uswisi au Himalaya nk

Shida yenu hata hamjawahi tembea Tzn hii.

Kwanza Mwanza na Dom kuna uzuri gani hapo
Mkuu Mwanza ni heavy weight City Mbeya ni pazuri ila Lock City ni Noma pia mzunguko wa hela katika ya Mbeya na Mwanza ni tofauti Mwanza lile ziwa linatema sangara si mchezo na kuuzwa viwandani, pia mikoa inayozunguka ina madhahabu ya kutosha na matajiri wote wanaenda kuwekeza Mwanza yaani Geita,Shinyanga, Mara, Simiyu, kiujumla uchumi wa Mbeya ni kilimo cha mpunga, mahindi na viazi mviringo tukisema madini ule mgodi wa Chunya ni wa kawaida tu.
 
Weka basi kapicha ka huo uzuri . 2014 bado mlikuwa mnadanganywa!!. Du!. Halafu leo jiji zuri, lakini halina barabara, kwa kuwa n abarabara moja. Bado unatetea ni mji mzuri, unamaendeleo. Siku zote watu wa Mbeya ni conservative. hamtaki kuona kwingine namnaamini mnachojua ninyi ndicho ruler, lakini mko nyuma sana. Kisa ni ubaguzi, ukabila, majungu na fitina kwa wageni.

Majungu si mtaji. Afadhali umesema mwenyewe hadi 2014 mlikuwa mnadanganywa kwa sababu ya kukosa kujifunza kwa wengine. Mbeya, kijiji cha ajabu!. Uyole hadi mafiat. Barabara moja kama viazi vya uporoto.
Buhongwa hadi mjini Kati kuna barabara ngapi?

Kwangu mimi barabara kama haijawa separated katikati huwezi ita ni dual carriage ni utopolo tuu as usual na huwa hazipendezi.

Ndio maana hata Arusha ina barabara kali kuliko kijiji kikubwa cha Mwanza..Mbeya na Mwanza kuna tofauti gani hasa?

By the way barabara zitajengwa kabla ya 2025
 
Povu la niini? Weka kitu unachosema kinafanya mbeya liwe jiji, licha ya uzuri. Majungu, fitina, wivu na ubaguzi ndiyo rangi yenu halisi!. Usitumie nguvu leta hoja.

Mbeya jiji

View attachment 1817853


Magorofa ya Mbeya
View attachment 1817859


Jiji la Mbeya Wasomaji -

View attachment 1817866








View attachment 1817872

Jengo la Tazara, Hapa chini ndipo pa kupigia picha za Harusi


View attachment 1817876


View attachment 1817880

Angalia International Airport ya Mbeya. Iko kama nyumba ya mmalafyale mmoja - Hii yote ni kutokana ubishi kujifanya wanajua na hawataki maarifa ya mtu asiye wa kwao. Ikumbukwe hii ni airport mpya kabisa na kwa mantiki hiyo hii ni ya kisasa saaana kwa mjibu wa watu wa Mbeya.


View attachment 1817891View attachment 1817898View attachment 1817903View attachment 1817905

View attachment 1817906

View attachment 1817889
Weka picha za current achana na hizo za kitambo za ku google.

Kwani huo uwanja umekamilika? Si bado unaendelea kujengwa? Watu wa Mbeya kamwe hawawezi kulamba matako ya mtu maana kwa Viwango vya maisha tuko juu ya huko kwenu
 
Yani wingi wa maghorofa ndio kigezo Cha mji kuwa mzuri[emoji3][emoji3][emoji3] wanyakyusa mbona ushamba.

Lete facts za city plan.

Sewage stystem
Water service
Fire service
Road network mitaani
Security system mitaani

Sehemu za kuishi yamejaa maduka, machinga kila sehemu, Majumba yamejengwa hovyo full uswazi. Nyumba hazijaungwa na sewage system. Halafu unakuja na sababu ya wingi wa maghorofa. That's pointless to profit your argument.


Miji mingi TANZANIA ni garbage. Narudia Tena tembeeni walau Maputo Mozambique
Kama hauko Dom,Dar na Arusha huna cha kuizingua Mbeya.

Mbeya kuna vyuo vikuu na koleji/kampani takribani 10 ,huwezi kuta kwenye kijiji cha Mwanza
 
Weka picha za current achana na hizo za kitambo za ku google.

Kwani huo uwanja umekamilika? Si bado unaendelea kujengwa? Watu wa Mbeya kamwe hawawezi kulamba matako ya mtu maana kwa Viwango vya maisha tuko juu ya huko kwenu
Matusi ya nini? BAsi subiri utakapokamilika ndipo useme Mbeya nzuri kama huo uwanja ndio utafanya uzuri wa jiji la wambeya, wa ongo, wabaguzi na wajunguaji!
 
Back
Top Bottom