Pre GE2025 Majimbo yatakayochukuliwa na CHADEMA 2025 haya hapa!!

Pre GE2025 Majimbo yatakayochukuliwa na CHADEMA 2025 haya hapa!!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mpaka wazalendo waukweli, kutoka vyama vyote, watu wasio na vyama, makabila,dini, kanda zote, hata wale walio ndani ya CCM lakini hawakubaliani na mwelekeo wa sasa watakapounganisha nguvu kuipinga CCM.

Hapo ndio itakuwa mwisho wa CCM. Otherwise ni kujidanganya na kujifariji tu.
 
Nimepitia siasa za nchi hii, nimeona majimbo yafuatayo yatacjukuliwa na chadema kwenye uchaguzi mkuu 2025.
1. Kisesa
2. Mbeya Mjini
3. Arusha mjini
4. Kongwa
5. Iringa mjini
6. Hai
7. Arusha mjini
8. Ikungi
9. Babati mjini
10. Arumeru
11. Dar yote
12. Moshi mjini
13. Mikumi
14. Simanjiro
15. Chunya na Lupa
16. Kigoma yote
17. Chato
18. Hanang
19. Bukoba mjini
Hapo kwenye dar yote mkuu umetudangaya bhana
 
Umelisahau Jimbo la Mbozi anakotokea kijana Lucas Mwashambwa!

Kamanda Mdude_Nyagali anaenda kulichukua hilo Jimbo saa 2 tu asubuhi iwapo tu chama chake cha CHADEMA kitampa nafasi ya kugombea. Na ikitokea akagombea, basi hilo eneo lote la Mbozi atalitetemesha na kukata kabisa kiu ya Wanambozi wote.


Naamini pia huyo kijana Lucas, atabubujikwa sana na machozi ya furaha mara tu baada ya matokeo kutangazwa.

Kweli ccm haijawahi kufanya la maana pale mbozi wanyiha na ccm qumamaqe sijui iliwapa nini.

Tunduma chadema nazani watakuwa na mgombea mwengine tofauti na mwakajoka huyu wakimludisha hapiti alipata ndondokela Ila amna kitu umu.
 
Ongezea na Rorya, Ukerewe, Serengeti, kilombero, mlimba.............................................
 
Inashangaza sana
rais ambaye ni mwenyekiti wa ccm kuteua makada wenzake wawe wakurugenzi wa halimashauri za wilaya au majiji na haohao kuwa wasimamizi wa uchaguzi, pia kumtea mkurugenzi wa tume ambaye ndio mtangazaji wa matokeo

alafu wanasiasa wa upinzani wapo kmya kama vile na wao wamekubali iwe hvyo
 
Mpaka wazalendo waukweli, kutoka vyama vyote, watu wasio na vyama, makabila,dini, kanda zote, hata wale walio ndani ya CCM lakini hawakubaliani na mwelekeo wa sasa watakapounganisha nguvu kuipinga CCM.

Hapo ndio itakuwa mwisho wa CCM. Otherwise ni kujidanganya na kujifariji tu.

TZ Hakuna wapinzani wa kisiasa, hawa waliopo ni mamluki na wasanii wa kisiasa, wao na ccm ni wamoja
 
Ccm ni ya kuondoka mazima au hili Taifa lianguke moja kwa moja kiuchumi...
Jambo ni moja..

CCM ingeshakufa muda mrefu na kusahaulika

ipo madarakani kwa kutumia vyombo vya dola, tume ya uchaguzi na udhaifu wa raia ktk ufahamu na njaa kali
 
Back
Top Bottom