Uchaguzi 2020 Majimbo zaidi ya 11 ya mikoa ya Lindi na Mtwara hatarini kupotea

Uchaguzi 2020 Majimbo zaidi ya 11 ya mikoa ya Lindi na Mtwara hatarini kupotea

Taarifa zilizo rasmi za kiutafiti katika mikoa ya LINDI na Mtwara yapo majimbo takriban 11 ambayo yapo hatarini kupotea. Majimbo hayo ni kama ifuatavyo,

1. Kilwa Kaskazini
2.Kilwa Kusini
3.Nachingwea
4.Lindi Mjini
5.Liawale

Kwa upande wa Mkoa wa Mtwara ni,
1.Mtwara Mjini
2. Tandahimba
3.Newala Mjini
4.Masasi Mjini
5.Newala Vijijini

Lakini mengine bado utafiti wake unaendelea ambayo yatatolewa report zake kamili ndani ya siku 3. Majimbo ambayo utafiti unaendelea ni Mtwara Vijijini, Nanyamba, Nanyumbu, Mchinga na Ndanda.

Chanzo kikuu cha mambo kwenda mrama ni kusimamisha wagombea wasiokubalika, waliochoka na wasio na mvuto. Chama cha Mapinduzi turufu iliyobakia ni kuja kwa Mukulu lakini baada ya kusema hatokuja mikoa ya Kusini Hali ndio imekuwa Ngumu na wapinzani wakishangilia.

Kwa mfano jimbo la Kilwa Kusini Mgombea aliyeongozwa alikatwa na kuteuliwa wa nne aliyepata kura 12 tu, Liwale pia hivyo hivyo, Kilwa Kaskazini nako ni hivyo hivyo. Mtwara Mjini nako mgombea aliyeshinda alikatwa, Tandahimba nako alikatwa, Newala Vijijini pia alikatwa.

Bwege wa Kilwa Kusini tayari mguu mmoja upo bungeni maana kazi kwake ni rahisi mnoo.

Naomba kuwasilisha.
Hata wangeleta majina yaliyopitishwa na wajumbe bado hali ingekuwa ile ile.wameumizwa sana wale watu na suala la gesi,Unakumbuka lile sakata la "Gesi haitoki".na jambo la pili ni mbaazi na Korosho.haya yaliwapa umasikini kabisa.sidhani kama wana hamu tena kufanya majaribio na maisha yao.Anayeendelewa kuaminika huko ni Nape tuuu.kwa sababu alipaza sauti bila unafiki kabisa
 
Hiyo mikoa inawatu wengi wajinga sn
Umejaribu kuonyesha kiwango chako kikubwa sanaa cha ujinga mkuu,

Kanda au mikoa, ambayo imeweza kutoa Raisi( Amri jeshi mkuu wa Nchi) na waziri mkuu- hao ni viongozi wakubwa sanaa Nchini, unawaona wajinga.....

Ahahahhaa, we umetokea wapi tuone ujanja wako ulipo??
 
Taarifa zilizo rasmi za kiutafiti katika mikoa ya LINDI na Mtwara yapo majimbo takriban 11 ambayo yapo hatarini kupotea. Majimbo hayo ni kama ifuatavyo,

1. Kilwa Kaskazini
2.Kilwa Kusini
3.Nachingwea
4.Lindi Mjini
5.Liawale

Kwa upande wa Mkoa wa Mtwara ni,
1.Mtwara Mjini
2. Tandahimba
3.Newala Mjini
4.Masasi Mjini
5.Newala Vijijini

Lakini mengine bado utafiti wake unaendelea ambayo yatatolewa report zake kamili ndani ya siku 3. Majimbo ambayo utafiti unaendelea ni Mtwara Vijijini, Nanyamba, Nanyumbu, Mchinga na Ndanda.

Chanzo kikuu cha mambo kwenda mrama ni kusimamisha wagombea wasiokubalika, waliochoka na wasio na mvuto. Chama cha Mapinduzi turufu iliyobakia ni kuja kwa Mukulu lakini baada ya kusema hatokuja mikoa ya Kusini Hali ndio imekuwa Ngumu na wapinzani wakishangilia.

Kwa mfano jimbo la Kilwa Kusini Mgombea aliyeongozwa alikatwa na kuteuliwa wa nne aliyepata kura 12 tu, Liwale pia hivyo hivyo, Kilwa Kaskazini nako ni hivyo hivyo. Mtwara Mjini nako mgombea aliyeshinda alikatwa, Tandahimba nako alikatwa, Newala Vijijini pia alikatwa.

Bwege wa Kilwa Kusini tayari mguu mmoja upo bungeni maana kazi kwake ni rahisi mnoo.

Naomba kuwasilisha.
Kusikojulikana au porini
 
Taarifa zilizo rasmi za kiutafiti katika mikoa ya LINDI na Mtwara yapo majimbo takriban 11 ambayo yapo hatarini kupotea. Majimbo hayo ni kama ifuatavyo,

1. Kilwa Kaskazini
2.Kilwa Kusini
3.Nachingwea
4.Lindi Mjini
5.Liawale

Kwa upande wa Mkoa wa Mtwara ni,
1.Mtwara Mjini
2. Tandahimba
3.Newala Mjini
4.Masasi Mjini
5.Newala Vijijini

Lakini mengine bado utafiti wake unaendelea ambayo yatatolewa report zake kamili ndani ya siku 3. Majimbo ambayo utafiti unaendelea ni Mtwara Vijijini, Nanyamba, Nanyumbu, Mchinga na Ndanda.

Chanzo kikuu cha mambo kwenda mrama ni kusimamisha wagombea wasiokubalika, waliochoka na wasio na mvuto. Chama cha Mapinduzi turufu iliyobakia ni kuja kwa Mukulu lakini baada ya kusema hatokuja mikoa ya Kusini Hali ndio imekuwa Ngumu na wapinzani wakishangilia.

Kwa mfano jimbo la Kilwa Kusini Mgombea aliyeongozwa alikatwa na kuteuliwa wa nne aliyepata kura 12 tu, Liwale pia hivyo hivyo, Kilwa Kaskazini nako ni hivyo hivyo. Mtwara Mjini nako mgombea aliyeshinda alikatwa, Tandahimba nako alikatwa, Newala Vijijini pia alikatwa.

Bwege wa Kilwa Kusini tayari mguu mmoja upo bungeni maana kazi kwake ni rahisi mnoo.

Naomba kuwasilisha.
#NIYEYE2020
 
Tunaomba Rais atumie hata chopa kunusuru hayo majimbo. Maana sauti ya baba ina faraja kubwa kuliko sauti nyingine. Mwenyekiti wa Taifa wa CCM, tafadhali tumia busara zako, kwenye siku 10, zilizobaki tumia siku 3 (tatu) kwenda kwenye mikoa ya Lindi, Mtwara na Ruvuma ili angalau wakuone kuwa una wathamini kuliko kutokwenda kabisa.
Kuna magaidi uko alivyo muoga hawezi nusa pua yake uko.
 
Hata wangeleta majina yaliyopitishwa na wajumbe bado hali ingekuwa ile ile.wameumizwa sana wale watu na suala la gesi,Unakumbuka lile sakata la "Gesi haitoki".na jambo la pili ni mbaazi na Korosho.haya yaliwapa umasikini kabisa.sidhani kama wana hamu tena kufanya majaribio na maisha yao.Anayeendelewa kuaminika huko ni Nape tuuu.kwa sababu alipaza sauti bila unafiki kabisa
Hivi majimbo hayo yanapotea au yanajikomboa kutoka makucha ya ccm???
 
Taarifa zilizo rasmi za kiutafiti katika mikoa ya LINDI na Mtwara yapo majimbo takriban 11 ambayo yapo hatarini kupotea. Majimbo hayo ni kama ifuatavyo,

1. Kilwa Kaskazini
2. Kilwa Kusini
3.Nachingwea
4. Lindi Mjini
5. Liawale

Kwa upande wa Mkoa wa Mtwara ni,
1. Mtwara Mjini
2. Tandahimba
3. Newala Mjini
4. Masasi Mjini
5. Newala Vijijini

Lakini mengine bado utafiti wake unaendelea ambayo yatatolewa report zake kamili ndani ya siku 3. Majimbo ambayo utafiti unaendelea ni Mtwara Vijijini, Nanyamba, Nanyumbu, Mchinga na Ndanda.

Chanzo kikuu cha mambo kwenda mrama ni kusimamisha wagombea wasiokubalika, waliochoka na wasio na mvuto. Chama cha Mapinduzi turufu iliyobakia ni kuja kwa Mukulu lakini baada ya kusema hatokuja mikoa ya Kusini Hali ndio imekuwa Ngumu na wapinzani wakishangilia.

Kwa mfano jimbo la Kilwa Kusini Mgombea aliyeongozwa alikatwa na kuteuliwa wa nne aliyepata kura 12 tu, Liwale pia hivyo hivyo, Kilwa Kaskazini nako ni hivyo hivyo. Mtwara Mjini nako mgombea aliyeshinda alikatwa, Tandahimba nako alikatwa, Newala Vijijini pia alikatwa.

Bwege wa Kilwa Kusini tayari mguu mmoja upo bungeni maana kazi kwake ni rahisi mnoo.

Naomba kuwasilisha.
Pumbavu kupotea ndo Nini?
 
Uchaguzi huu CCM inakwenda kushinda kwa kishindo kwakua upinzani nidhaifu kuliko wakati wowote tangukuanzishwa kwa vyama vingi.
 
Uchaguzi huu CCM inakwenda kushinda kwa kishindo kwakua upinzani ulishakufa tangu kuanzishwa kwa vyama vingi.
Kweli sana tu! Tundu Lissu hapati wafuasi popote aendapo kwa kuwa upinzani ulishajifia zamani. Anasombesha wanafunzi na wafanyakazi kwa kuwa ah! Upinzani ulishakufa tangu kale. Amezuia ccm isitangazwe kwenye vyombo vya habari kwa kuwa yenyewe ipo hai ila cha kina Lissu kimeshajifia zamani....! Unajitetenya mwenyewe halafu unahisi raha, unacheeeka! Lo! Kweli wajinga ndio waliwao!
 
Hizi Habari zipo toka chaguzi za nyuma mwisho CCM ndio inashinda kwa kishindo. Ukifuatilia siasa za mitandaoni unaweza sema Upinzani unashinda kumbe wananchi bado wanaimani na CCM naona ndugu yangu Membe kaweka mpira kwapani.
 
Taarifa zilizo rasmi za kiutafiti katika mikoa ya LINDI na Mtwara yapo majimbo takriban 11 ambayo yapo hatarini kupotea. Majimbo hayo ni kama ifuatavyo,

1. Kilwa Kaskazini
2. Kilwa Kusini
3.Nachingwea
4. Lindi Mjini
5. Liawale

Kwa upande wa Mkoa wa Mtwara ni,
1. Mtwara Mjini
2. Tandahimba
3. Newala Mjini
4. Masasi Mjini
5. Newala Vijijini

Lakini mengine bado utafiti wake unaendelea ambayo yatatolewa report zake kamili ndani ya siku 3. Majimbo ambayo utafiti unaendelea ni Mtwara Vijijini, Nanyamba, Nanyumbu, Mchinga na Ndanda.

Chanzo kikuu cha mambo kwenda mrama ni kusimamisha wagombea wasiokubalika, waliochoka na wasio na mvuto. Chama cha Mapinduzi turufu iliyobakia ni kuja kwa Mukulu lakini baada ya kusema hatokuja mikoa ya Kusini Hali ndio imekuwa Ngumu na wapinzani wakishangilia.

Kwa mfano jimbo la Kilwa Kusini Mgombea aliyeongozwa alikatwa na kuteuliwa wa nne aliyepata kura 12 tu, Liwale pia hivyo hivyo, Kilwa Kaskazini nako ni hivyo hivyo. Mtwara Mjini nako mgombea aliyeshinda alikatwa, Tandahimba nako alikatwa, Newala Vijijini pia alikatwa.

Bwege wa Kilwa Kusini tayari mguu mmoja upo bungeni maana kazi kwake ni rahisi mnoo.

Naomba kuwasilisha.
CCM mchezo wote wamemuachia Mahela...... Ndiyo Jecha wetu mpya.
 
Back
Top Bottom