Uchaguzi 2020 Majimbo zaidi ya 11 ya mikoa ya Lindi na Mtwara hatarini kupotea

Uchaguzi 2020 Majimbo zaidi ya 11 ya mikoa ya Lindi na Mtwara hatarini kupotea

Kwi kwi kwiiiii. Huyu dikteta uchwara aliyenyang'anya korosho kwa kutumia jeshi akija ndo ataharibu kabisaa!!
Ukisema waling'ang'anywa unamaanisha nini?uhakika unao kuwa hawakulipwa?,kwa hiyo kangomba kununua korosho ikiwa shambani ni sawa ila Serikali kununua kwa bei ya 3000/= ni wizi kisa zilishukuliwa kwa jeshi.Na vipi mwaka huu hao wanunuzi wamefikia bei ya serikali ni nani mnyonyaji ,mnakurupuka sana bila kuchangamsha hata akili hilo swala lipo kisiasa mmezeshwa kombe na nyie ndio mnalipuka kama moto wa kifuu.
 
Ukisema waling'ang'anywa unamaanisha nini?uhakika unao kuwa hawakulipwa?,
Wengi Sana hawakulipwa. Walikuwa wakiporwa halafu wakienda kudai wanaambiwa kaoneshe shamba. Mtu akienda kuonesha shamba wanadai haliendani na kilo.

Ndiyo maana dikteta huyu ameogopa kwenda Kusini. Aende aone.
 
Tunaomba Rais atumie hata chopa kunusuru hayo majimbo. Maana sauti ya baba ina faraja kubwa kuliko sauti nyingine. Mwenyekiti wa Taifa wa CCM, tafadhali tumia busara zako, kwenye siku 10, zilizobaki tumia siku 3 (tatu) kwenda kwenye mikoa ya Lindi, Mtwara na Ruvuma ili angalau wakuone kuwa una wathamini kuliko kutokwenda kabisa.
Atakwendaje wakati anadaiwa hela za korosho alizokwiba?
 
Taarifa zilizo rasmi za kiutafiti katika mikoa ya LINDI na Mtwara yapo majimbo takriban 11 ambayo yapo hatarini kupotea. Majimbo hayo ni kama ifuatavyo,

1. Kilwa Kaskazini
2. Kilwa Kusini
3.Nachingwea
4. Lindi Mjini
5. Liawale

Kwa upande wa Mkoa wa Mtwara ni,
1. Mtwara Mjini
2. Tandahimba
3. Newala Mjini
4. Masasi Mjini
5. Newala Vijijini

Lakini mengine bado utafiti wake unaendelea ambayo yatatolewa report zake kamili ndani ya siku 3. Majimbo ambayo utafiti unaendelea ni Mtwara Vijijini, Nanyamba, Nanyumbu, Mchinga na Ndanda.

Chanzo kikuu cha mambo kwenda mrama ni kusimamisha wagombea wasiokubalika, waliochoka na wasio na mvuto. Chama cha Mapinduzi turufu iliyobakia ni kuja kwa Mukulu lakini baada ya kusema hatokuja mikoa ya Kusini Hali ndio imekuwa Ngumu na wapinzani wakishangilia.

Kwa mfano jimbo la Kilwa Kusini Mgombea aliyeongozwa alikatwa na kuteuliwa wa nne aliyepata kura 12 tu, Liwale pia hivyo hivyo, Kilwa Kaskazini nako ni hivyo hivyo. Mtwara Mjini nako mgombea aliyeshinda alikatwa, Tandahimba nako alikatwa, Newala Vijijini pia alikatwa.

Bwege wa Kilwa Kusini tayari mguu mmoja upo bungeni maana kazi kwake ni rahisi mnoo.

Naomba kuwasilisha.
Mkuu aliahidi kuwapiga shangazi zao. Sidhani kabisa kama Mzee Baba anaweza kwenda kule kuipeperusha ilani ya chama chake, zaidi ya kumtumia VP ama PM wake. Spana zimekaza, na mtori unavyozidi kunyweka ktk sahani lkn ni bayana hakuna kipande cha nyama hata kimoja ndani yake.
 
Tunaomba Rais atumie hata chopa kunusuru hayo majimbo. Maana sauti ya baba ina faraja kubwa kuliko sauti nyingine.

Mwenyekiti wa Taifa wa CCM, tafadhali tumia busara zako, kwenye siku 10, zilizobaki tumia siku 3 (tatu) kwenda kwenye mikoa ya Lindi, Mtwara na Ruvuma ili angalau wakuone kuwa una wathamini kuliko kutokwenda kabisa.
Ahakikishe amekamata fedha zao za korosho mkononi ndipo atinge kule. Ahadi zimechokwa na Wanakusini. Pia asisahau wale Mashangazi wanamsubiri kwa hamu.
 
Tunaomba Rais atumie hata chopa kunusuru hayo majimbo. Maana sauti ya baba ina faraja kubwa kuliko sauti nyingine.

Mwenyekiti wa Taifa wa CCM, tafadhali tumia busara zako, kwenye siku 10, zilizobaki tumia siku 3 (tatu) kwenda kwenye mikoa ya Lindi, Mtwara na Ruvuma ili angalau wakuone kuwa una wathamini kuliko kutokwenda kabisa.
Ataenda kuwaambia nini kuhusu korosho? Usimponze mwenzako, we komaa tu mbunge mteule 😂
 
Tunaomba Rais atumie hata chopa kunusuru hayo majimbo. Maana sauti ya baba ina faraja kubwa kuliko sauti nyingine.

Mwenyekiti wa Taifa wa CCM, tafadhali tumia busara zako, kwenye siku 10, zilizobaki tumia siku 3 (tatu) kwenda kwenye mikoa ya Lindi, Mtwara na Ruvuma ili angalau wakuone kuwa una wathamini kuliko kutokwenda kabisa.
Kusini Kuna Moshi. JPM hawezi rudi huko
 
Taarifa zilizo rasmi za kiutafiti katika mikoa ya LINDI na Mtwara yapo majimbo takriban 11 ambayo yapo hatarini kupotea. Majimbo hayo ni kama ifuatavyo,

1. Kilwa Kaskazini
2. Kilwa Kusini
3.Nachingwea
4. Lindi Mjini
5. Liawale

Kwa upande wa Mkoa wa Mtwara ni,
1. Mtwara Mjini
2. Tandahimba
3. Newala Mjini
4. Masasi Mjini
5. Newala Vijijini

Lakini mengine bado utafiti wake unaendelea ambayo yatatolewa report zake kamili ndani ya siku 3. Majimbo ambayo utafiti unaendelea ni Mtwara Vijijini, Nanyamba, Nanyumbu, Mchinga na Ndanda.

Chanzo kikuu cha mambo kwenda mrama ni kusimamisha wagombea wasiokubalika, waliochoka na wasio na mvuto. Chama cha Mapinduzi turufu iliyobakia ni kuja kwa Mukulu lakini baada ya kusema hatokuja mikoa ya Kusini Hali ndio imekuwa Ngumu na wapinzani wakishangilia.

Kwa mfano jimbo la Kilwa Kusini Mgombea aliyeongozwa alikatwa na kuteuliwa wa nne aliyepata kura 12 tu, Liwale pia hivyo hivyo, Kilwa Kaskazini nako ni hivyo hivyo. Mtwara Mjini nako mgombea aliyeshinda alikatwa, Tandahimba nako alikatwa, Newala Vijijini pia alikatwa.

Bwege wa Kilwa Kusini tayari mguu mmoja upo bungeni maana kazi kwake ni rahisi mnoo.

Naomba kuwasilisha.
Kuhusu Mtwara Vijijini, Mama Ghasia ana hali mbaya sana yaan kama mwaka 2015 alipatia ushindi Mahakamani basi safari hii kura zake haziwezi kutosha kabisa.

Mama Ghasia amekataliwa mpaka kwao kijiji cha Naumbu, yaani ndani ya miaka mitano ametimiza ahadi ya kujengwa MADRASSA tu na haijaisha mpaka raia zimemkataa.

Kuna mdada mmoja hivi anaitwa Shamsia ndio ana asilimia kubwa ya kuchukua Jimbo. Ningekuwa mtu wa karibu wa Ghasia ningemshauri aende Nanyumbu tu akamsaidie kampeni mume wake.

Kuhusu Nachingwea, halina ubishi Dr. Mmoto wa CHADEMA anachukua jimbo mapema tu, pale angesimama Mwl. Masala angemsumbua Mmoto ila kwa yule wa CCM hatoboi.

Kuhusu Liwale, mama Mitambo na kundi lake wamechukia sana kubadilisha matokeo na kumoa yule wa CUF. CCM wana 9% ya kushinda lile Jimbo.

Lindi Mjini, Mchinjita ana uelekeo mzuri wa kuchukua jimbo. Kiowa kule BWEGE kama kawa anarudi mjengoni. Kwa Lindi labda Mchinga na kwa Nape na Majaliwa ambapo alifanya kila hila wapinzani wasifanikiwe kurudisha fomu.
 
Taarifa zilizo rasmi za kiutafiti katika mikoa ya LINDI na Mtwara yapo majimbo takriban 11 ambayo yapo hatarini kupotea. Majimbo hayo ni kama ifuatavyo,

1. Kilwa Kaskazini
2. Kilwa Kusini
3.Nachingwea
4. Lindi Mjini
5. Liawale

Kwa upande wa Mkoa wa Mtwara ni,
1. Mtwara Mjini
2. Tandahimba
3. Newala Mjini
4. Masasi Mjini
5. Newala Vijijini

Lakini mengine bado utafiti wake unaendelea ambayo yatatolewa report zake kamili ndani ya siku 3. Majimbo ambayo utafiti unaendelea ni Mtwara Vijijini, Nanyamba, Nanyumbu, Mchinga na Ndanda.

Chanzo kikuu cha mambo kwenda mrama ni kusimamisha wagombea wasiokubalika, waliochoka na wasio na mvuto. Chama cha Mapinduzi turufu iliyobakia ni kuja kwa Mukulu lakini baada ya kusema hatokuja mikoa ya Kusini Hali ndio imekuwa Ngumu na wapinzani wakishangilia.

Kwa mfano jimbo la Kilwa Kusini Mgombea aliyeongozwa alikatwa na kuteuliwa wa nne aliyepata kura 12 tu, Liwale pia hivyo hivyo, Kilwa Kaskazini nako ni hivyo hivyo. Mtwara Mjini nako mgombea aliyeshinda alikatwa, Tandahimba nako alikatwa, Newala Vijijini pia alikatwa.

Bwege wa Kilwa Kusini tayari mguu mmoja upo bungeni maana kazi kwake ni rahisi mnoo.

Naomba kuwasilisha.
Na bora tushinde
 
Tunaomba Rais atumie hata chopa kunusuru hayo majimbo. Maana sauti ya baba ina faraja kubwa kuliko sauti nyingine.

Mwenyekiti wa Taifa wa CCM, tafadhali tumia busara zako, kwenye siku 10, zilizobaki tumia siku 3 (tatu) kwenda kwenye mikoa ya Lindi, Mtwara na Ruvuma ili angalau wakuone kuwa una wathamini kuliko kutokwenda kabisa.
Mwenyekiti wenu alikwisha onja joto la jiwe alipofukizwa kule Ruangwa ikabidi akimbie bila kugeuka nyuma mwacheni akae mbali na wakulima wa Korosho alizopora mpaka walipwe.
 
Back
Top Bottom