Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,559
- 19,101
Kuandika "Maislamu" ni sawa?Wapi nimesema nawachukia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuandika "Maislamu" ni sawa?Wapi nimesema nawachukia?
Kuandika "Maislamu" ni sawa?
Kweli kabisa. Tunaua kimya kimya.Usitoe taarifa wataongeza nguvu na mbinu, we tulia, mbona tunajuwa mengi tu na tuko kimya? Usiwashtue!
yanapotea yanaenda wapi?? Boko haramu ?? Au??? Matcle weweTaarifa zilizo rasmi za kiutafiti katika mikoa ya LINDI na Mtwara yapo majimbo takriban 11 ambayo yapo hatarini kupotea. Majimbo hayo ni kama ifuatavyo,
1. Kilwa Kaskazini
2. Kilwa Kusini
3.Nachingwea
4. Lindi Mjini
5. Liawale
Kwa upande wa Mkoa wa Mtwara ni,
1. Mtwara Mjini
2. Tandahimba
3. Newala Mjini
4. Masasi Mjini
5. Newala Vijijini
Lakini mengine bado utafiti wake unaendelea ambayo yatatolewa report zake kamili ndani ya siku 3. Majimbo ambayo utafiti unaendelea ni Mtwara Vijijini, Nanyamba, Nanyumbu, Mchinga na Ndanda.
Chanzo kikuu cha mambo kwenda mrama ni kusimamisha wagombea wasiokubalika, waliochoka na wasio na mvuto. Chama cha Mapinduzi turufu iliyobakia ni kuja kwa Mukulu lakini baada ya kusema hatokuja mikoa ya Kusini Hali ndio imekuwa Ngumu na wapinzani wakishangilia.
Kwa mfano jimbo la Kilwa Kusini Mgombea aliyeongozwa alikatwa na kuteuliwa wa nne aliyepata kura 12 tu, Liwale pia hivyo hivyo, Kilwa Kaskazini nako ni hivyo hivyo. Mtwara Mjini nako mgombea aliyeshinda alikatwa, Tandahimba nako alikatwa, Newala Vijijini pia alikatwa.
Bwege wa Kilwa Kusini tayari mguu mmoja upo bungeni maana kazi kwake ni rahisi mnoo.
Naomba kuwasilisha.
Bariadi ya wapi mkuu?!View attachment 1602177
Hii ni Bariadi
Mkuu, ccm itashinda tu tena kwa kishindo. Huoni Lissu wao mikutano yake inavyomdodea. Mkutano haufikishi hata watu mia mbili watarajie kushinda? thubutuu..!! Kwa kazi iliyofanywa na serikali mbona ushindi ni asubuhi tu. Mifano michache ni; kufufua shirika la ndege, kuboresha miundombinu, meli za kisasa ziwa Victoria, kuongeza ajira kwa vijana maelfu kwa maelfu bila kusahau kusimamia kwa ufanisi masoko ya mazoa ya wakulima.Hizi Habari zipo toka chaguzi za nyuma mwisho CCM ndio inashinda kwa kishindo. Ukifuatilia siasa za mitandaoni unaweza sema Upinzani unashinda kumbe wananchi bado wanaimani na CCM naona ndugu yangu Membe kaweka mpira kwapani.
Masikini! Ndio mmefikia hapa?View attachment 1602177
Hii ni Bariadi
Kwahiyo nawe umekamatika na ujinga wa huyo bavicha mwenzio?Hawachomoki. Ccm kwisha!!
Taarifa zilizo rasmi za kiutafiti katika mikoa ya LINDI na Mtwara yapo majimbo takriban 11 ambayo yapo hatarini kupotea. Majimbo hayo ni kama ifuatavyo,
1. Kilwa Kaskazini
2. Kilwa Kusini
3.Nachingwea
4. Lindi Mjini
5. Liawale
Kwa upande wa Mkoa wa Mtwara ni,
1. Mtwara Mjini
2. Tandahimba
3. Newala Mjini
4. Masasi Mjini
5. Newala Vijijini
Lakini mengine bado utafiti wake unaendelea ambayo yatatolewa report zake kamili ndani ya siku 3. Majimbo ambayo utafiti unaendelea ni Mtwara Vijijini, Nanyamba, Nanyumbu, Mchinga na Ndanda.
Chanzo kikuu cha mambo kwenda mrama ni kusimamisha wagombea wasiokubalika, waliochoka na wasio na mvuto. Chama cha Mapinduzi turufu iliyobakia ni kuja kwa Mukulu lakini baada ya kusema hatokuja mikoa ya Kusini Hali ndio imekuwa Ngumu na wapinzani wakishangilia.
Kwa mfano jimbo la Kilwa Kusini Mgombea aliyeongozwa alikatwa na kuteuliwa wa nne aliyepata kura 12 tu, Liwale pia hivyo hivyo, Kilwa Kaskazini nako ni hivyo hivyo. Mtwara Mjini nako mgombea aliyeshinda alikatwa, Tandahimba nako alikatwa, Newala Vijijini pia alikatwa.
Bwege wa Kilwa Kusini tayari mguu mmoja upo bungeni maana kazi kwake ni rahisi mnoo.
Naomba kuwasilisha.
Weee mzee wa watu usimchongee kwa kina Njomba! Atawaambia nini kuhusu koro-show?Tunaomba Rais atumie hata chopa kunusuru hayo majimbo. Maana sauti ya baba ina faraja kubwa kuliko sauti nyingine. Mwenyekiti wa Taifa wa CCM, tafadhali tumia busara zako, kwenye siku 10, zilizobaki tumia siku 3 (tatu) kwenda kwenye mikoa ya Lindi, Mtwara na Ruvuma ili angalau wakuone kuwa una wathamini kuliko kutokwenda kabisa.
Acha upumbavu, mtu aliyetishia kupiga shangazi zenu unamwita baba, Magufuli Hana sofa hata moja ya ubabaTunaomba Rais atumie hata chopa kunusuru hayo majimbo. Maana sauti ya baba ina faraja kubwa kuliko sauti nyingine. Mwenyekiti wa Taifa wa CCM, tafadhali tumia busara zako, kwenye siku 10, zilizobaki tumia siku 3 (tatu) kwenda kwenye mikoa ya Lindi, Mtwara na Ruvuma ili angalau wakuone kuwa una wathamini kuliko kutokwenda kabisa.
Hivi Lissu kesha kwenda tayari huko?Sina imani na hiyo mikoa maana imejaa waswahili sn
Amekula kona upepo si wake kule,Weee mzee wa watu usimchongee kwa kina Njomba! Atawaambia nini kuhusu koro-show?
Acha kutukana watu wewe, kwa akili yako unajiona mjanja kuliko watu wa kusini na kuwaita wajinga Sana? Huyo mbwatukaji wenu naona kafundisha wafuasi wake matusi Sasa unatukana mamilioni ya wana kusini.
Wanaweka mafuriko ya eddo ili waseme wameibiwa kura.Masikini! Ndio mmefikia hapa?
Najua unatamani mafuriko kama hayo ila ndio hivyo mtu wenu huyo hana uwezo wa kuyapata