Uchaguzi 2020 Majimbo zaidi ya 11 ya mikoa ya Lindi na Mtwara hatarini kupotea

Uchaguzi 2020 Majimbo zaidi ya 11 ya mikoa ya Lindi na Mtwara hatarini kupotea

Taarifa zilizo rasmi za kiutafiti katika mikoa ya LINDI na Mtwara yapo majimbo takriban 11 ambayo yapo hatarini kupotea. Majimbo hayo ni kama ifuatavyo,

1. Kilwa Kaskazini
2. Kilwa Kusini
3.Nachingwea
4. Lindi Mjini
5. Liawale

Kwa upande wa Mkoa wa Mtwara ni,
1. Mtwara Mjini
2. Tandahimba
3. Newala Mjini
4. Masasi Mjini
5. Newala Vijijini

Lakini mengine bado utafiti wake unaendelea ambayo yatatolewa report zake kamili ndani ya siku 3. Majimbo ambayo utafiti unaendelea ni Mtwara Vijijini, Nanyamba, Nanyumbu, Mchinga na Ndanda.

Chanzo kikuu cha mambo kwenda mrama ni kusimamisha wagombea wasiokubalika, waliochoka na wasio na mvuto. Chama cha Mapinduzi turufu iliyobakia ni kuja kwa Mukulu lakini baada ya kusema hatokuja mikoa ya Kusini Hali ndio imekuwa Ngumu na wapinzani wakishangilia.

Kwa mfano jimbo la Kilwa Kusini Mgombea aliyeongozwa alikatwa na kuteuliwa wa nne aliyepata kura 12 tu, Liwale pia hivyo hivyo, Kilwa Kaskazini nako ni hivyo hivyo. Mtwara Mjini nako mgombea aliyeshinda alikatwa, Tandahimba nako alikatwa, Newala Vijijini pia alikatwa.

Bwege wa Kilwa Kusini tayari mguu mmoja upo bungeni maana kazi kwake ni rahisi mnoo.

Naomba kuwasilisha.
yanapotea yanaenda wapi?? Boko haramu ?? Au??? Matcle wewe

Shabiki mandaZi wew€
 
Hizi Habari zipo toka chaguzi za nyuma mwisho CCM ndio inashinda kwa kishindo. Ukifuatilia siasa za mitandaoni unaweza sema Upinzani unashinda kumbe wananchi bado wanaimani na CCM naona ndugu yangu Membe kaweka mpira kwapani.
Mkuu, ccm itashinda tu tena kwa kishindo. Huoni Lissu wao mikutano yake inavyomdodea. Mkutano haufikishi hata watu mia mbili watarajie kushinda? thubutuu..!! Kwa kazi iliyofanywa na serikali mbona ushindi ni asubuhi tu. Mifano michache ni; kufufua shirika la ndege, kuboresha miundombinu, meli za kisasa ziwa Victoria, kuongeza ajira kwa vijana maelfu kwa maelfu bila kusahau kusimamia kwa ufanisi masoko ya mazoa ya wakulima.
Utakumbuka mazao ya korosho, mbaazi na pamba, wakulima wanatanasamu tu. CCM ushindi nje nje[emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Anyway kawafariji hivyohivyo.
 
Mtwara vijiijn na Mjini uhakika wa asilimia km zote. Hali si shwari CUF wanapenda kutwaa majimbo hauo kirahisi sana
 
Taarifa zilizo rasmi za kiutafiti katika mikoa ya LINDI na Mtwara yapo majimbo takriban 11 ambayo yapo hatarini kupotea. Majimbo hayo ni kama ifuatavyo,

1. Kilwa Kaskazini
2. Kilwa Kusini
3.Nachingwea
4. Lindi Mjini
5. Liawale

Kwa upande wa Mkoa wa Mtwara ni,
1. Mtwara Mjini
2. Tandahimba
3. Newala Mjini
4. Masasi Mjini
5. Newala Vijijini

Lakini mengine bado utafiti wake unaendelea ambayo yatatolewa report zake kamili ndani ya siku 3. Majimbo ambayo utafiti unaendelea ni Mtwara Vijijini, Nanyamba, Nanyumbu, Mchinga na Ndanda.

Chanzo kikuu cha mambo kwenda mrama ni kusimamisha wagombea wasiokubalika, waliochoka na wasio na mvuto. Chama cha Mapinduzi turufu iliyobakia ni kuja kwa Mukulu lakini baada ya kusema hatokuja mikoa ya Kusini Hali ndio imekuwa Ngumu na wapinzani wakishangilia.

Kwa mfano jimbo la Kilwa Kusini Mgombea aliyeongozwa alikatwa na kuteuliwa wa nne aliyepata kura 12 tu, Liwale pia hivyo hivyo, Kilwa Kaskazini nako ni hivyo hivyo. Mtwara Mjini nako mgombea aliyeshinda alikatwa, Tandahimba nako alikatwa, Newala Vijijini pia alikatwa.

Bwege wa Kilwa Kusini tayari mguu mmoja upo bungeni maana kazi kwake ni rahisi mnoo.

Naomba kuwasilisha.


Hayo majimbo hatarini kupotelea wapi??---- kuwa muwazi ndugu.
 
Tunaomba Rais atumie hata chopa kunusuru hayo majimbo. Maana sauti ya baba ina faraja kubwa kuliko sauti nyingine. Mwenyekiti wa Taifa wa CCM, tafadhali tumia busara zako, kwenye siku 10, zilizobaki tumia siku 3 (tatu) kwenda kwenye mikoa ya Lindi, Mtwara na Ruvuma ili angalau wakuone kuwa una wathamini kuliko kutokwenda kabisa.
Weee mzee wa watu usimchongee kwa kina Njomba! Atawaambia nini kuhusu koro-show?
 
Tunaomba Rais atumie hata chopa kunusuru hayo majimbo. Maana sauti ya baba ina faraja kubwa kuliko sauti nyingine. Mwenyekiti wa Taifa wa CCM, tafadhali tumia busara zako, kwenye siku 10, zilizobaki tumia siku 3 (tatu) kwenda kwenye mikoa ya Lindi, Mtwara na Ruvuma ili angalau wakuone kuwa una wathamini kuliko kutokwenda kabisa.
Acha upumbavu, mtu aliyetishia kupiga shangazi zenu unamwita baba, Magufuli Hana sofa hata moja ya ubaba
 
Hao wabunge 11 wanafidia wabunge waliopitishwa bila kupingwa na Mahera
 
Acha kutukana watu wewe, kwa akili yako unajiona mjanja kuliko watu wa kusini na kuwaita wajinga Sana? Huyo mbwatukaji wenu naona kafundisha wafuasi wake matusi Sasa unatukana mamilioni ya wana kusini.

Sasa wewe unajiona una akili?
 
Back
Top Bottom