Matunda _Kuniga
JF-Expert Member
- Jun 2, 2019
- 231
- 178
Ukisema waling'ang'anywa unamaanisha nini?uhakika unao kuwa hawakulipwa?,kwa hiyo kangomba kununua korosho ikiwa shambani ni sawa ila Serikali kununua kwa bei ya 3000/= ni wizi kisa zilishukuliwa kwa jeshi.Na vipi mwaka huu hao wanunuzi wamefikia bei ya serikali ni nani mnyonyaji ,mnakurupuka sana bila kuchangamsha hata akili hilo swala lipo kisiasa mmezeshwa kombe na nyie ndio mnalipuka kama moto wa kifuu.Kwi kwi kwiiiii. Huyu dikteta uchwara aliyenyang'anya korosho kwa kutumia jeshi akija ndo ataharibu kabisaa!!
Wengi Sana hawakulipwa. Walikuwa wakiporwa halafu wakienda kudai wanaambiwa kaoneshe shamba. Mtu akienda kuonesha shamba wanadai haliendani na kilo.Ukisema waling'ang'anywa unamaanisha nini?uhakika unao kuwa hawakulipwa?,
Atakwendaje wakati anadaiwa hela za korosho alizokwiba?Tunaomba Rais atumie hata chopa kunusuru hayo majimbo. Maana sauti ya baba ina faraja kubwa kuliko sauti nyingine. Mwenyekiti wa Taifa wa CCM, tafadhali tumia busara zako, kwenye siku 10, zilizobaki tumia siku 3 (tatu) kwenda kwenye mikoa ya Lindi, Mtwara na Ruvuma ili angalau wakuone kuwa una wathamini kuliko kutokwenda kabisa.
Mkuu aliahidi kuwapiga shangazi zao. Sidhani kabisa kama Mzee Baba anaweza kwenda kule kuipeperusha ilani ya chama chake, zaidi ya kumtumia VP ama PM wake. Spana zimekaza, na mtori unavyozidi kunyweka ktk sahani lkn ni bayana hakuna kipande cha nyama hata kimoja ndani yake.Taarifa zilizo rasmi za kiutafiti katika mikoa ya LINDI na Mtwara yapo majimbo takriban 11 ambayo yapo hatarini kupotea. Majimbo hayo ni kama ifuatavyo,
1. Kilwa Kaskazini
2. Kilwa Kusini
3.Nachingwea
4. Lindi Mjini
5. Liawale
Kwa upande wa Mkoa wa Mtwara ni,
1. Mtwara Mjini
2. Tandahimba
3. Newala Mjini
4. Masasi Mjini
5. Newala Vijijini
Lakini mengine bado utafiti wake unaendelea ambayo yatatolewa report zake kamili ndani ya siku 3. Majimbo ambayo utafiti unaendelea ni Mtwara Vijijini, Nanyamba, Nanyumbu, Mchinga na Ndanda.
Chanzo kikuu cha mambo kwenda mrama ni kusimamisha wagombea wasiokubalika, waliochoka na wasio na mvuto. Chama cha Mapinduzi turufu iliyobakia ni kuja kwa Mukulu lakini baada ya kusema hatokuja mikoa ya Kusini Hali ndio imekuwa Ngumu na wapinzani wakishangilia.
Kwa mfano jimbo la Kilwa Kusini Mgombea aliyeongozwa alikatwa na kuteuliwa wa nne aliyepata kura 12 tu, Liwale pia hivyo hivyo, Kilwa Kaskazini nako ni hivyo hivyo. Mtwara Mjini nako mgombea aliyeshinda alikatwa, Tandahimba nako alikatwa, Newala Vijijini pia alikatwa.
Bwege wa Kilwa Kusini tayari mguu mmoja upo bungeni maana kazi kwake ni rahisi mnoo.
Naomba kuwasilisha.
Hiyo mikoa inawatu wengi wajinga sn
Una maana wa Tanzania au?(hao waswahili)Sina imani na hiyo mikoa maana imejaa waswahili sn
Heshima kitu cha bure brazaHiyo mikoa inawatu wengi wajinga sn
Ahakikishe amekamata fedha zao za korosho mkononi ndipo atinge kule. Ahadi zimechokwa na Wanakusini. Pia asisahau wale Mashangazi wanamsubiri kwa hamu.Tunaomba Rais atumie hata chopa kunusuru hayo majimbo. Maana sauti ya baba ina faraja kubwa kuliko sauti nyingine.
Mwenyekiti wa Taifa wa CCM, tafadhali tumia busara zako, kwenye siku 10, zilizobaki tumia siku 3 (tatu) kwenda kwenye mikoa ya Lindi, Mtwara na Ruvuma ili angalau wakuone kuwa una wathamini kuliko kutokwenda kabisa.
Ataenda kuwaambia nini kuhusu korosho? Usimponze mwenzako, we komaa tu mbunge mteule 😂Tunaomba Rais atumie hata chopa kunusuru hayo majimbo. Maana sauti ya baba ina faraja kubwa kuliko sauti nyingine.
Mwenyekiti wa Taifa wa CCM, tafadhali tumia busara zako, kwenye siku 10, zilizobaki tumia siku 3 (tatu) kwenda kwenye mikoa ya Lindi, Mtwara na Ruvuma ili angalau wakuone kuwa una wathamini kuliko kutokwenda kabisa.
Kusini Kuna Moshi. JPM hawezi rudi hukoTunaomba Rais atumie hata chopa kunusuru hayo majimbo. Maana sauti ya baba ina faraja kubwa kuliko sauti nyingine.
Mwenyekiti wa Taifa wa CCM, tafadhali tumia busara zako, kwenye siku 10, zilizobaki tumia siku 3 (tatu) kwenda kwenye mikoa ya Lindi, Mtwara na Ruvuma ili angalau wakuone kuwa una wathamini kuliko kutokwenda kabisa.
Kuhusu Mtwara Vijijini, Mama Ghasia ana hali mbaya sana yaan kama mwaka 2015 alipatia ushindi Mahakamani basi safari hii kura zake haziwezi kutosha kabisa.Taarifa zilizo rasmi za kiutafiti katika mikoa ya LINDI na Mtwara yapo majimbo takriban 11 ambayo yapo hatarini kupotea. Majimbo hayo ni kama ifuatavyo,
1. Kilwa Kaskazini
2. Kilwa Kusini
3.Nachingwea
4. Lindi Mjini
5. Liawale
Kwa upande wa Mkoa wa Mtwara ni,
1. Mtwara Mjini
2. Tandahimba
3. Newala Mjini
4. Masasi Mjini
5. Newala Vijijini
Lakini mengine bado utafiti wake unaendelea ambayo yatatolewa report zake kamili ndani ya siku 3. Majimbo ambayo utafiti unaendelea ni Mtwara Vijijini, Nanyamba, Nanyumbu, Mchinga na Ndanda.
Chanzo kikuu cha mambo kwenda mrama ni kusimamisha wagombea wasiokubalika, waliochoka na wasio na mvuto. Chama cha Mapinduzi turufu iliyobakia ni kuja kwa Mukulu lakini baada ya kusema hatokuja mikoa ya Kusini Hali ndio imekuwa Ngumu na wapinzani wakishangilia.
Kwa mfano jimbo la Kilwa Kusini Mgombea aliyeongozwa alikatwa na kuteuliwa wa nne aliyepata kura 12 tu, Liwale pia hivyo hivyo, Kilwa Kaskazini nako ni hivyo hivyo. Mtwara Mjini nako mgombea aliyeshinda alikatwa, Tandahimba nako alikatwa, Newala Vijijini pia alikatwa.
Bwege wa Kilwa Kusini tayari mguu mmoja upo bungeni maana kazi kwake ni rahisi mnoo.
Naomba kuwasilisha.
Na bora tushindeTaarifa zilizo rasmi za kiutafiti katika mikoa ya LINDI na Mtwara yapo majimbo takriban 11 ambayo yapo hatarini kupotea. Majimbo hayo ni kama ifuatavyo,
1. Kilwa Kaskazini
2. Kilwa Kusini
3.Nachingwea
4. Lindi Mjini
5. Liawale
Kwa upande wa Mkoa wa Mtwara ni,
1. Mtwara Mjini
2. Tandahimba
3. Newala Mjini
4. Masasi Mjini
5. Newala Vijijini
Lakini mengine bado utafiti wake unaendelea ambayo yatatolewa report zake kamili ndani ya siku 3. Majimbo ambayo utafiti unaendelea ni Mtwara Vijijini, Nanyamba, Nanyumbu, Mchinga na Ndanda.
Chanzo kikuu cha mambo kwenda mrama ni kusimamisha wagombea wasiokubalika, waliochoka na wasio na mvuto. Chama cha Mapinduzi turufu iliyobakia ni kuja kwa Mukulu lakini baada ya kusema hatokuja mikoa ya Kusini Hali ndio imekuwa Ngumu na wapinzani wakishangilia.
Kwa mfano jimbo la Kilwa Kusini Mgombea aliyeongozwa alikatwa na kuteuliwa wa nne aliyepata kura 12 tu, Liwale pia hivyo hivyo, Kilwa Kaskazini nako ni hivyo hivyo. Mtwara Mjini nako mgombea aliyeshinda alikatwa, Tandahimba nako alikatwa, Newala Vijijini pia alikatwa.
Bwege wa Kilwa Kusini tayari mguu mmoja upo bungeni maana kazi kwake ni rahisi mnoo.
Naomba kuwasilisha.
Mwenyekiti wenu alikwisha onja joto la jiwe alipofukizwa kule Ruangwa ikabidi akimbie bila kugeuka nyuma mwacheni akae mbali na wakulima wa Korosho alizopora mpaka walipwe.Tunaomba Rais atumie hata chopa kunusuru hayo majimbo. Maana sauti ya baba ina faraja kubwa kuliko sauti nyingine.
Mwenyekiti wa Taifa wa CCM, tafadhali tumia busara zako, kwenye siku 10, zilizobaki tumia siku 3 (tatu) kwenda kwenye mikoa ya Lindi, Mtwara na Ruvuma ili angalau wakuone kuwa una wathamini kuliko kutokwenda kabisa.
Du! Uwanyang'Hiyo mikoa inawatu wengi wajinga sn
Unaposema wavivu, korosho unawalimia wewe,? Mahindi na tumbaku, mihogo na ufuta unawalimia wewe?Ni watu wavivu wasiolewa mambo na ni rahisi kudanganyika