Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hawa ni mabingwa wa sanaa za maonyesho .Tufanye labda hawakulala wala kusinzia kwahiyo walitumia masaa 48.
Ukigawa kwa idadi ya wagombea, utapata majina 270 yalijadiliwa kila baada ya lisaa limoja.
Ukichukua majina 270 ukayagawa kwa dakika 60, utapata majina takriban 5 yalijadiliwa kila baada ya dakika 1.
Hii imenishangaza sana hasa baada ya kusikia Mwenyekiti wa CCM akikazia kwamba wamefanya tathmini ya jina kwa jina kwa muda wa siku mbili na Hivyo kuwa wamepitia majina yote 13000.
Naomba kuelimishwa iliwezekanaje, isije ikawa ni kudhulumu ushindi wa wale wasiowapenda
Hapa wanatumia system ya Computerized ku perform sifa na vigezo zilizo kuwa setting.Tufanye labda hawakulala wala kusinzia kwahiyo walitumia masaa 48.
Ukigawa kwa idadi ya wagombea, utapata majina 270 yalijadiliwa kila baada ya lisaa limoja.
Ukichukua majina 270 ukayagawa kwa dakika 60, utapata majina takriban 5 yalijadiliwa kila baada ya dakika 1.
Hii imenishangaza sana hasa baada ya kusikia Mwenyekiti wa CCM akikazia kwamba wamefanya tathmini ya jina kwa jina kwa muda wa siku mbili na Hivyo kuwa wamepitia majina yote 13000.
Naomba kuelimishwa iliwezekanaje, isije ikawa ni kudhulumu ushindi wa wale wasiowapenda
Viongozi wetu we na naniYa CCM tuachie CCM.. tunawaamini viongozi wetu.
Nyinyi endeleeni kujadiliana mwaka mzima
Akili ya kawaida inapaswa ikuambie wanaojadiliwa ni wale watatu wa mwanzo kwenye maoni. Wakionekana wanakosa sifa wote watatu wanaenda kwenye 4-6..n.k.. Lakini akipatikana amabaye ana sifa zaidi ya wengine kati wa tatu wa mwanzo, huyo ndo anapita. Ripoti ya kamati ya maadili hutumika hapa katika kujua nanai ana sifa zaidi.Tufanye labda hawakulala wala kusinzia kwahiyo walitumia masaa 48.
Ukigawa kwa idadi ya wagombea, utapata majina 270 yalijadiliwa kila baada ya lisaa limoja.
Ukichukua majina 270 ukayagawa kwa dakika 60, utapata majina takriban 5 yalijadiliwa kila baada ya dakika 1.
Hii imenishangaza sana hasa baada ya kusikia Mwenyekiti wa CCM akikazia kwamba wamefanya tathmini ya jina kwa jina kwa muda wa siku mbili na Hivyo kuwa wamepitia majina yote 13000.
Naomba kuelimishwa iliwezekanaje, isije ikawa ni kudhulumu ushindi wa wale wasiowapenda
Tulishalipa zote, kama hujapata kamuone katibu wako wa amcosKulipana miposho mirefu hali ya kuwa tunawadai koro show zetu
Hata kwenye kuteua mawaziri anasemaga alikuwa halali!Tufanye labda hawakulala wala kusinzia kwahiyo walitumia masaa 48.
Ukigawa kwa idadi ya wagombea, utapata majina 270 yalijadiliwa kila baada ya lisaa limoja.
Ukichukua majina 270 ukayagawa kwa dakika 60, utapata majina takriban 5 yalijadiliwa kila baada ya dakika 1.
Hii imenishangaza sana hasa baada ya kusikia Mwenyekiti wa CCM akikazia kwamba wamefanya tathmini ya jina kwa jina kwa muda wa siku mbili na Hivyo kuwa wamepitia majina yote 13000.
Naomba kuelimishwa iliwezekanaje, isije ikawa ni kudhulumu ushindi wa wale wasiowapenda