Uchaguzi 2020 Majina 13,000 ya wagombea yamejadiliwaje kwa siku mbili?

Uchaguzi 2020 Majina 13,000 ya wagombea yamejadiliwaje kwa siku mbili?

Hivi tutaweza kuelezana njia na utaratibu uliotumika hapa?
Ngoja msemaji atatwambia bwana....imekuwakuwaje?
 
Tufanye labda hawakulala wala kusinzia kwahiyo walitumia masaa 48.

Ukigawa kwa idadi ya wagombea, utapata majina 270 yalijadiliwa kila baada ya lisaa limoja.

Ukichukua majina 270 ukayagawa kwa dakika 60, utapata majina takriban 5 yalijadiliwa kila baada ya dakika 1.

Hii imenishangaza sana hasa baada ya kusikia Mwenyekiti wa CCM akikazia kwamba wamefanya tathmini ya jina kwa jina kwa muda wa siku mbili na Hivyo kuwa wamepitia majina yote 13000.

Naomba kuelimishwa iliwezekanaje, isije ikawa ni kudhulumu ushindi wa wale wasiowapenda
Mkuu hawa ni mabingwa wa sanaa za maonyesho .
 
Tufanye labda hawakulala wala kusinzia kwahiyo walitumia masaa 48.

Ukigawa kwa idadi ya wagombea, utapata majina 270 yalijadiliwa kila baada ya lisaa limoja.

Ukichukua majina 270 ukayagawa kwa dakika 60, utapata majina takriban 5 yalijadiliwa kila baada ya dakika 1.

Hii imenishangaza sana hasa baada ya kusikia Mwenyekiti wa CCM akikazia kwamba wamefanya tathmini ya jina kwa jina kwa muda wa siku mbili na Hivyo kuwa wamepitia majina yote 13000.

Naomba kuelimishwa iliwezekanaje, isije ikawa ni kudhulumu ushindi wa wale wasiowapenda
Hapa wanatumia system ya Computerized ku perform sifa na vigezo zilizo kuwa setting.
 
Sidhani kama walikuwa wanachambua watia nia wote bt mi nahc ni Ile top 3 ndo walikuwa wanajadili Kwahyo syo watu wengi kihvyo kushndwa kuchambua ndani ya siku mbili pia tambua kuna majimbo mshndi akitajwa tu lazma apite huyo huyo. na hakuna haja ya kuchambua wengine
 
Tufanye labda hawakulala wala kusinzia kwahiyo walitumia masaa 48.

Ukigawa kwa idadi ya wagombea, utapata majina 270 yalijadiliwa kila baada ya lisaa limoja.

Ukichukua majina 270 ukayagawa kwa dakika 60, utapata majina takriban 5 yalijadiliwa kila baada ya dakika 1.

Hii imenishangaza sana hasa baada ya kusikia Mwenyekiti wa CCM akikazia kwamba wamefanya tathmini ya jina kwa jina kwa muda wa siku mbili na Hivyo kuwa wamepitia majina yote 13000.

Naomba kuelimishwa iliwezekanaje, isije ikawa ni kudhulumu ushindi wa wale wasiowapenda
Akili ya kawaida inapaswa ikuambie wanaojadiliwa ni wale watatu wa mwanzo kwenye maoni. Wakionekana wanakosa sifa wote watatu wanaenda kwenye 4-6..n.k.. Lakini akipatikana amabaye ana sifa zaidi ya wengine kati wa tatu wa mwanzo, huyo ndo anapita. Ripoti ya kamati ya maadili hutumika hapa katika kujua nanai ana sifa zaidi.
 
Tufanye labda hawakulala wala kusinzia kwahiyo walitumia masaa 48.

Ukigawa kwa idadi ya wagombea, utapata majina 270 yalijadiliwa kila baada ya lisaa limoja.

Ukichukua majina 270 ukayagawa kwa dakika 60, utapata majina takriban 5 yalijadiliwa kila baada ya dakika 1.

Hii imenishangaza sana hasa baada ya kusikia Mwenyekiti wa CCM akikazia kwamba wamefanya tathmini ya jina kwa jina kwa muda wa siku mbili na Hivyo kuwa wamepitia majina yote 13000.

Naomba kuelimishwa iliwezekanaje, isije ikawa ni kudhulumu ushindi wa wale wasiowapenda
Hata kwenye kuteua mawaziri anasemaga alikuwa halali!
 
Back
Top Bottom