Nami nikawa najiuliza someone Newton simwoni kwenye orodha...kumbe aitwa Hilda Newton.Kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake, kwangu ingependeza zaidi kumuona Hilda Newton bungeni.
Nimeshangaa kutokuepo..Ila bado naona hatoshi maana ana utoto japo umaarufu mkubwaKila mtu ale kwa urefu wa kamba yake, kwangu ingependeza zaidi kumuona Hilda Newton bungeni.
Una hoja lakini inahitaji kujitoa mhanga sawa na kupanda juu ya ghorofa refu ukajiachi....Chadema wakikubali kupeleka wengine bungeni maana yake watakuwa wanahalalisha ule uharamia uliofanyika 2020, haya majina mnayookoteza huko kwangu naona ni usanii mtupu, sasa waamue wao.
Kama wapo tayari kudanganyika mwishowe waendelee kuchezewa akili na serikali ya CCM kwenye kila uchaguzi, au wabaki na msimamo wao wa kutoutambua ule uchaguzi hata kama itawagharimu kuikosa ruzuku.
Nadhani wameangalia brain ya mtu sio umaarufu.unamwacha Hilda aliye active kwenye Chama unampa Joyce,anafanyia siasa wapi huyu au uvunguni?
Very interesting.....
Wewe ndio Mukya?Kama wewe unavyompa furaha mumeo maana hata ukipigwa miti na bodaboda anakuchekea tu
Haitakuwa sawaMtu kama yule anaachwaje
Dah hapa wamekosea Yule binti kichwa sanaMtu kama yule anaachwaje
Acha umbeya wewe,huyu yupo nyuma ya keyboard' kwenye taasisi Kuna watu watu muhimu invisible"Huyu Joyce Mukya sijawahi kumuona katika ujenzi wa Chama ila miaka yote anapeta tu, labda kwasababu anampa furaha mwenyekiti wetu basi acha tu aulambe
Huyu Joyce Mukya sijawahi kumuona katika ujenzi wa Chama ila miaka yote anapeta tu, labda kwasababu anampa furaha mwenyekiti wetu basi acha tu aulambe
Ukimuacha huyu Basi, dhambi kubwa! Huyu amekipambania chama bila kujali Magufuli anapoteza watu, anaua, anateka , anajeruhi kwa risasi (Lisu). She deserves to go front line in the parliamentYosepher Komba
View attachment 2220323
Yosepher Komba.Yule aliyegombani ubunge TANGA kwa Hamis anaitwa Nani? Ni kichwa yule dada
Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app
Yes bado ana ka utoto Sana, atapigwa ban na Tulia Sana[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Nimeshangaa kutokuepo..Ila bado naona hatoshi maana ana utoto japo umaarufu mkubwa
Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app
Active kwenye Chama wakati kichwani hakuna kitu.. Ataenda kuongea nini au kuchangia nini cha maana Bungeni??unamwacha Hilda aliye active kwenye Chama unampa Joyce,anafanyia siasa wapi huyu au uvunguni?
Sakata la kuvuliwa uanachama wabunge 19 wa Viti Maalum wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) linaendelea kushika kasi baada ya tetesi zinazodai kuwa kuna uwezekano mkubwa wa chama hicho kupeleka majina mengine ya wabunge wa viti maalum ili kuchukua nafasi yao.
Majina yanayotarajia kuwarithi ni Catherine Ruge (Katibu Mkuu Bawacha), Sharifa Mohamed (Kaimu Mwenyekiti Bawacha), Suzan Kiwanga (Aliyekuwa mgombea jimbo la Mlimba, Morogoro) Grace Kiwelu, Joyce Mukya, Suzan Lyimo.
Wengine ni Devotha Minja (aliyekuwa mgombea jimbo la Morogoro Mjini) Upendo Peneza, Lucy Owenya, Rose Moshi, Rhoda Kunchela, Gimbi Masaba, Rose Mayemba, Aisha Luja, Husna Said, Nice Gisunte, Moza Ally, Dorcas Francis, Ruth Molle, Pamela Massay na Lucy Magereli.
Nitawashangaa Chadema kwa ukongwe wao na yote waliyopitia kama hawatafanya nilichoandika kisa ruzuku!Una hoja lakini inahitaji kujitoa mhanga sawa na kupanda juu ya ghorofa refu ukajiachi....