Majina 19 yanayotajwa kuwarithi Halima Mdee na wenzake bungeni

Kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake, kwangu ingependeza zaidi kumuona Hilda Newton bungeni.
Nami nikawa najiuliza someone Newton simwoni kwenye orodha...kumbe aitwa Hilda Newton.

Kila la heri kwake
 
Una hoja lakini inahitaji kujitoa mhanga sawa na kupanda juu ya ghorofa refu ukajiachi....
 
Sijaliona jina la Lucia M. Mlowe aliyekuwa mbunge wa viti maalum 2015-2020, na aligombea jimbo la Njombe 2020 kupitia CDME
 
Huyu Joyce Mukya sijawahi kumuona katika ujenzi wa Chama ila miaka yote anapeta tu, labda kwasababu anampa furaha mwenyekiti wetu basi acha tu aulambe
Acha umbeya wewe,huyu yupo nyuma ya keyboard' kwenye taasisi Kuna watu watu muhimu invisible"
 
Msihesabu vifaranga kabla kuku hajatotolewa
 
unamwacha Hilda aliye active kwenye Chama unampa Joyce,anafanyia siasa wapi huyu au uvunguni?
Active kwenye Chama wakati kichwani hakuna kitu.. Ataenda kuongea nini au kuchangia nini cha maana Bungeni??

Michango yake tu ya Twitter inajidhihirisha alivyo mtupu kichwani..
 

Ungeweka heading ya tetesi. Kama ni kweli cdm watakuwa hawafanyi sawa kwa kuweka sura hizo hizo kila siku hata kwa viti vya dezo.
 
Una hoja lakini inahitaji kujitoa mhanga sawa na kupanda juu ya ghorofa refu ukajiachi....
Nitawashangaa Chadema kwa ukongwe wao na yote waliyopitia kama hawatafanya nilichoandika kisa ruzuku!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…