Laki Si Pesa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2018
- 5,085
- 9,022
Hilda Newton hana mtu wa kumpigania ndani ya chama....HANA CONNECTION.You must be old fashioned! Huyo Newton amekisaidia sana Chadema kwa kazi anayo fanya mitandaoni kuliko hao Mabibi wengi wabunge wa zamani waliochoka
If you are serious you cannot pick Susan Lyimo or Grace Kiwelu or Ruth Mollel not to mention Mukya AND leave out NEWTON! This is the digital age you need young and energetic parliamentarians and not old grandmothers!
Sakata la kuvuliwa uanachama wabunge 19 wa Viti Maalum wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) linaendelea kushika kasi baada ya tetesi zinazodai kuwa kuna uwezekano mkubwa wa chama hicho kupeleka majina mengine ya wabunge wa viti maalum ili kuchukua nafasi yao.
Majina yanayotarajia kuwarithi ni Catherine Ruge (Katibu Mkuu Bawacha), Sharifa Mohamed (Kaimu Mwenyekiti Bawacha), Suzan Kiwanga (Aliyekuwa mgombea jimbo la Mlimba, Morogoro) Grace Kiwelu, Joyce Mukya, Suzan Lyimo.
Wengine ni Devotha Minja (aliyekuwa mgombea jimbo la Morogoro Mjini) Upendo Peneza, Lucy Owenya, Rose Moshi, Rhoda Kunchela, Gimbi Masaba, Rose Mayemba, Aisha Luja, Husna Said, Nice Gisunte, Moza Ally, Dorcas Francis, Ruth Molle, Pamela Massay na Lucy Magereli.
Hilda Newton kazi anayowafanyia Chadema mitandaoni ingekuwa ni kumlipa angekuwa tajiri sana! Hopefully , watu progressive kama Heche, Sugu na Msigwa, watakuwa wameona contribution yake mitandaoni na kumsemea. Hao mabibi wanaotaka kuwarudisha bungeni wawaache wakalee wajukuu zao! Hamuoni wenzenu walivyoleta vijana bungeni?Hilda Newton hana mtu wa kumpigania ndani ya chama....HANA CONNECTION.
Sema moderators nao walitakiwa waweke jukwaa la tetesi
Anyway mimi nasubiri kwa hamu kama kweli Chadema itateua wabunge viti maalumu wapya !!
Nina peni na karatasi niOne kama list itakuwa na sura ya kitaifa au itajaza akina Manka!! Toka kilimanjar
Una uhakikaMbowe nae mbona alifeli shule, na hana cheti chochote.
chadema ovyo kabisa , kitakufa na ukabila wake.Mbona majina yote ya ukanda mmoja
Kusini
Magharibi
Kati
Zanzibar nk HAKUNA WATU?
ichi chama inabidi kife tu mana .Nakubaliana na wewe 100% itakuwa dhambi kubwa kuwaacha Hawa chipukizi Hilda Newton na Upendo Peneza. Msifamye makosa ya kuwajaza hao wabunge wa zamani waliozeeka na wengi wakitokea kanda ya Kaskazini ; mtaua chama. Jaribuni kupata balance ya wazee na vijana na pia balance ya Kanda to have harmony!
Wasipocheza karata zao vizuri Mbowe atabakia na chuma Chakavu ! Wenzie wameisha mfanyia mahesabu wammalize kisiasa.ichi chama inabidi kife tu mana .
Hizo ni sifa za kugombea ubunge sio urais.Unatakiwa ujue kusoma na kuandika tu. elimu ya darasa la saba
Mtasubiri sana.Wasipocheza karata zao vizuri Mbowe atabakia na chuma Chakavu ! Wenzie wameisha mfanyia mahesabu wammalize kisiasa.
Bila kutoa papuchi huendi bungeni
Ishara itaonekana Leo Leo baada ya huu mkutano! Mbowe kazoea kuwadilishia Gia hewani.Mtasubiri sana.
Unaweza kuwa na akili lkn kama huna discipline hutofanikiwa.Wanaweza kuchambua kama Sauti ya zege au wanaenda kubabaisha mjengoni?
Mwenyekiti - samia suluhu hassanWaislamu, wako wachache
Mbona unakimbilia wabunge....unakwepa kumtaja Rais sio.....una wasiwasi sana.Kwahiyo kumbe wabunge mliowachagua 2020 sio hawa waliopo bungeni?? 😀
Hahaha siasa sio kama unavyoifikiri, na nyinyi mnaoamini katika uropokaji wa mitandaoni ndio mliokuwa die hard fans wa Kigogo😀.You must be old fashioned! Huyo Newton amekisaidia sana Chadema kwa kazi anayo fanya mitandaoni kuliko hao Mabibi wengi wabunge wa zamani waliochoka . Mitandao ndio njia ya mawasiliano ya dunia ya leo!
If you are serious you cannot pick Susan Lyimo or Grace Kiwelu or Ruth Mollel not to mention Mukya AND leave out HILDA NEWTON! This is the digital age you need young and energetic parliamentarians and not old grandmothers!
Wenzenu wanatumia hao nzi kuwa piga nao nyie mkihangaika na mabibi zenu!! Ndio maana wanawaita SACCOS kwani hamna KPIs kwenye maamuzi yenu!Hahaha siasa sio kama unavyoifikiri, na nyinyi mnaoamini katika uropokaji wa mitandaoni ndio mliokuwa die hard fans wa Kigogo😀.
Kwenye siasa za tz, Hilda ni nzi tu.
Sharifs SuleimanMbona majina yote ya ukanda mmoja
Kusini
Magharibi
Kati
Zanzibar nk HAKUNA WATU?
Ni propaganda kupima upepo tu!!! Yaani utimue walioenda bungeni then uteue wanaoenda bunge lile lile wanaloliita haramu? Itakua double standardsKwahiyo Pamella Maasay ataachia kule EALA kwenye 'ulaji' zaidi? Vipi Hadija Mwago, Aliyekuwa Mgombea Ubunge Mbagala? Hii Orodha haiko sawa! Mwandishi ana ajenda zake.