Majina 19 yanayotajwa kuwarithi Halima Mdee na wenzake bungeni

Nadhani you lack a lot of information
Labda niambie uchaguzi ushakuwa huru sasa?

Kuna haja kweli ya kupeleka wengine?

Mi nilidhani wakiondolewa hao, kutakuwa na wachadema yoyote bungeni..

Au walitaka wapeleke watu wao?
 

Nami ndio nilikuwa nashangaa hapa, naona watu wananiita chizi, wengine wanasema sina taarifa.

Hakika nimeamini wanachadema ni washabiki na bendera fuata upepo.
 
Vyakula vya mwenyekiti vyote hivyo. Nonsense
 
Hiyo list yako mleta mada hata kama Feki naona akina Manka toka kilimanjaro wengi hasa
 
Hawa COVID-19 wamepooza sana bungeni dhamira zinawasuta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…