Majina 19 yanayotajwa kuwarithi Halima Mdee na wenzake bungeni

Majina 19 yanayotajwa kuwarithi Halima Mdee na wenzake bungeni

Sakata la kuvuliwa uanachama wabunge 19 wa Viti Maalum wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) linaendelea kushika kasi baada ya tetesi zinazodai kuwa kuna uwezekano mkubwa wa chama hicho kupeleka majina mengine ya wabunge wa viti maalum ili kuchukua nafasi yao.

Majina yanayotarajia kuwarithi ni Catherine Ruge (Katibu Mkuu Bawacha), Sharifa Mohamed (Kaimu Mwenyekiti Bawacha), Suzan Kiwanga (Aliyekuwa mgombea jimbo la Mlimba, Morogoro) Grace Kiwelu, Joyce Mukya, Suzan Lyimo.

Wengine ni Devotha Minja (aliyekuwa mgombea jimbo la Morogoro Mjini) Upendo Peneza, Lucy Owenya, Rose Moshi, Rhoda Kunchela, Gimbi Masaba, Rose Mayemba, Aisha Luja, Husna Said, Nice Gisunte, Moza Ally, Dorcas Francis, Ruth Molle, Pamela Massay na Lucy Magereli.
Wale wale akina Joyce Mukya, Owenya, Suzan Lyimo,!!!!!!!. Wangewapa wale ambao waligombea kwenye majimbo badala ya kuwapa hawa hawa wa kawaida!!! Mbowe ni kiongozi ambaye anaheshimika asifanye kosa la kumpa Ubunge Joyce Mukya; atasambaratisha chama.
 
Sijui huwa mnachangua kwa kuangalia facts zipi, kushinda twitter au?? Ndomaana mnatumika kirahisi sana kama platform ya watu kujikuza kisiasa, na hata huko mitandaoni(refer to kigogo) kwasababu mmejaa mihemko.

Huyo Hilda ana kipi cha maana, au swala lake la kujionyesha kuipenda CDM mitandaoni??

Sio kuonesha anaipenda CHADEMA lakini anaitetea sana mitandaoni kwa kujitolea!! Wewe unajua ccm wanatumia fedha ngapi kuwalipa wale chawa wao ili wawatetee udhalimu wao? Dunia ya leo bila kuwa na skills set ya mitandao aliyonayo huyo Hilda Newton huwezi kutoboa!! Huyu mama ni hazina kubwa sana kwa CHADEMA msimtupe.
 
Sijui huwa mnachangua kwa kuangalia facts zipi, kushinda twitter au?? Ndomaana mnatumika kirahisi sana kama platform ya watu kujikuza kisiasa, na hata huko mitandaoni(refer to kigogo) kwasababu mmejaa mihemko.

Huyo Hilda ana kipi cha maana, au swala lake la kujionyesha kuipenda CDM mitandaoni??

Huwezi kumfananisha Hilda Newton na hao wabibi wazee wakina Grace Kiwelu, Ruth Mollel, Lyimo na hao wengine waliokuwa wabunge zamani; huyu binti ni ICT literate skill ambayo itamfanya awe mbunge effective; waacheni hao mabibi wakacheze na wajukuu zao! Ukiwa na wabunge vijana kama Upendo Peneza Na Hilda Newton you are bound to get fresh ideas.
 
Chama cha kikristu
Na hiki kitakuwa chama cha dini gani.

Mwenyekiti - SSM - Mwislam
M/mwenyekiti/bara - kinana - Mwislam
M/Kiti visiwani - hussein mwinyi - Mwislam
Katibu mwenezi shaka - Mwislam
Katibu mkuu - Daniel chongolo
Naibu katibu mkuu Alhaji - Mwislam
 
Sakata la kuvuliwa uanachama wabunge 19 wa Viti Maalum wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) linaendelea kushika kasi baada ya tetesi zinazodai kuwa kuna uwezekano mkubwa wa chama hicho kupeleka majina mengine ya wabunge wa viti maalum ili kuchukua nafasi yao.

Majina yanayotarajia kuwarithi ni Catherine Ruge (Katibu Mkuu Bawacha), Sharifa Mohamed (Kaimu Mwenyekiti Bawacha), Suzan Kiwanga (Aliyekuwa mgombea jimbo la Mlimba, Morogoro) Grace Kiwelu, Joyce Mukya, Suzan Lyimo.

Wengine ni Devotha Minja (aliyekuwa mgombea jimbo la Morogoro Mjini) Upendo Peneza, Lucy Owenya, Rose Moshi, Rhoda Kunchela, Gimbi Masaba, Rose Mayemba, Aisha Luja, Husna Said, Nice Gisunte, Moza Ally, Dorcas Francis, Ruth Molle, Pamela Massay na Lucy Magereli.
Hawa Chadema si walikataa kuyatambua matokeo ya uchaguzi wa 2020, iweje leo wanapeleka majina kwenye bunge haramu?
 
Back
Top Bottom