Majina 963 marufuku kuingia Urusi, staa wa Hollywood, Morgan Freeman naye ni mmoja wao

Urusi saivi kilo ya sukari unapanga folen nani ataenda kukaa urusi
 
Ni sawa na mkuu wa mkoa wa songwe anamwekea vikwazo jay z kwenda kupiga show mkoani kwake [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mimi na wewe huwa hatuelewani na huwa nakupinga Sana ila leo umeongea maneno ya msingi, mtu yupo tandare afu anasema Russia hakuna issueπŸ˜‚
πŸ˜„πŸ˜„ humu JF kupishana kauli, kubishana,kutukanana ni jadi yetu.Cheers
 
We unayeishi kwa kuuza mkaa huko mbezi kwa Yusuf huwezi kujua umuhimu Russia
shuleni maisha yake yote ametumia choo kilichojengwa kwa msaada wa watu wa πŸ‡ΊπŸ‡ΈπŸ‡ΊπŸ‡ΈπŸ‡ΊπŸ‡Έ hapo amkumbuke πŸ‡·πŸ‡ΊπŸ‡·πŸ‡ΊπŸ‡·πŸ‡Ί kwa lipi ?.
Hata wewe hapo unatumia ARV
za bure kwa msaada wa serikali ya πŸ‡ΊπŸ‡ΈπŸ‡ΊπŸ‡ΈπŸ‡ΊπŸ‡Έ . πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ok! Unakalia wapi mwenzetu. Inaonekana ulishafika Urusi. Kama upo hapa hapa bongo kama mimi basi tuendelee tu kunywa wanzuki na kula mihogo.
Huyo Jangili yupo mbezi kwa yusuph anamaliza misitu yetu kwa kuchoma mkaa
 
Kiuhalisia hakuna anayependa kwenda Urusi
Hata mbwa wa buza watetezi wa Poo tin hawawezi enda
umenikumbusha Dr shika .πŸ™πŸ™πŸ™
 
Ni sawa na mkuu wa mkoa wa songwe anamwekea vikwazo jay z kwenda kupiga show mkoani kwake πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
πŸƒπŸƒπŸƒπŸƒ
Songwe tumekukosea nini mkuu πŸ˜‚
 
Tandare umempa cheo mkuu Yuko Nangurukulu huko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…