njiwa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2009
- 13,144
- 6,942
Ala! Kumbe!
Asante gari ya muhishimiwa
Asiyekujua hakuthamini
Atakae hachoki
Bahati ni upepo sasa upo kwangu
Chanda chema huvikwa pete
Chokochoko mchokoe pweza, binadamu hutamweza
Chokochoko si njema mchague la kusema
Dua la kuku halimpati mwewe
Dunia duara
Embe mbivu yaliwa kwa uvumilivu
Ewe Mola tuepushe na mahasidi
Fadhila za punda ni mateke
Fimbo la mnyonge halina nguvu
Fitina yako faida yangu
Haba na haba, hujaza kibaba
Halahala mti na macho
Halua ya lozi imemshinda mdokozi
Hasidi hana sababu
Hata tukibanana hapa atapata aliyejaliwa
Hata ukinichukia la kweli nitakwambia
Hata ukinuna buzi tumelichuna
Hodi hodi naikome mwaka ujao naolewa
Huyo kibuzi mwarika mtizame anavyojitingisha
Japo kidogo chatosha kwa wapendanao
Japo sipendezi kubembeleza siwezi
Je! iko namna?
Asante gari ya muhishimiwa
Asiyekujua hakuthamini
Atakae hachoki
Bahati ni upepo sasa upo kwangu
Chanda chema huvikwa pete
Chokochoko mchokoe pweza, binadamu hutamweza
Chokochoko si njema mchague la kusema
Dua la kuku halimpati mwewe
Dunia duara
Embe mbivu yaliwa kwa uvumilivu
Ewe Mola tuepushe na mahasidi
Fadhila za punda ni mateke
Fimbo la mnyonge halina nguvu
Fitina yako faida yangu
Haba na haba, hujaza kibaba
Halahala mti na macho
Halua ya lozi imemshinda mdokozi
Hasidi hana sababu
Hata tukibanana hapa atapata aliyejaliwa
Hata ukinichukia la kweli nitakwambia
Hata ukinuna buzi tumelichuna
Hodi hodi naikome mwaka ujao naolewa
Huyo kibuzi mwarika mtizame anavyojitingisha
Japo kidogo chatosha kwa wapendanao
Japo sipendezi kubembeleza siwezi
Je! iko namna?
