Majina na Tabia zake

Majina na Tabia zake

majina ya salum wanajifanya wajuaji sana then wapenda sifa kinom....
 
Andrew-wapole ila wana msimamo na maamuzi yao,hawashauriki
Alex-viherehere,wakorofi na waongeaji! Usibishane nao
Deo-matapeli,waongo na wanafki.Machoni wapole
Richard-wachafu na wanapenda ngono balaa
.
Kuna Deo wawili nawafahamu yaan hujakosea, exactly kama ulivyoandika
 
Majina yote mliyoyataja kuwa ni cheap, wanajiuza, malaya etc ni majina yenye watu wengi. Hivyo statistics zinawapronounce. Inawezekana kuna Majina uncommon kabisa lakini vituko vyao vikawa zaidi.

Generalisation is uncalled for.

toka zako! Mbona joseph (jina la yeboyebo) lipo kila mtaa hapa Tz na halijapewa sifa mbaya?
 
Mizengo waongo sana na wanapenda kulia lia hasa wakibanwa kwa kufanya kitu kinyume na utaratibu..wengi wao huwa wanapenda kuaahidi mambo yasiyotekelezeka

hahahah umeua mkuu!!!
 
brayan,kelvin au calvin na tony.hawa ni watundu kupindukia alaf wanapenda kilaur balaa
 
Kina Laurent wanabusara,kina God+Fatuma wazinzi,kina Frola waungwana bt wanamisimamo,Joyce waelewa,Vicky wanaakili sana.
 
Neema....... huwa hawajatulia

Eliza..... wengi ni mabeki 3
 
Back
Top Bottom