Majina niliyoyaona ndani ya Lodge ya Alafaya iliyoko Vikindu yameniacha mdomo wazi

Majina niliyoyaona ndani ya Lodge ya Alafaya iliyoko Vikindu yameniacha mdomo wazi

Nimeona Mkuu, Kwa kweli nimejifunza kitu.

Nafikiri Siku Moja nitamweka Mapokezi Wema Sepetu ama Hamisa kwaajili ya Kuwavutia wateja wangu.

Najua wateja wangu wakihudumiwa hata matauro tu na hao watu japo Kwa Siku moja, wataenda kuhadithiana hivyo kuzidi kuja wengi Kulala kwangu 🤗
Mkuu kumbuka uliniahidi kity ujue..
Nasbri mambo yawe mazr
 
Back
Top Bottom