Hongera sanaNb: picha nilipiga kwa kujiiba ndo mana sio nzuri na sijaweza kupiga vyumba vyote
NB;Video hapo chini ni kwa hisani ya mwana JF aliyeenda alafaya
View attachment 3169817
Si kweliHongera sana
Shida yangu ni makelele…. Siku hizi guest, restaurants vyote vimekua na makelele Kama bar tu
Kitu kibaya sana
Nimeenda hapo mara 2 mkuu na mara zote sikuwahi kusikia mziki wa makelele.Hongera sana
Shida yangu ni makelele…. Siku hizi guest, restaurants vyote vimekua na makelele Kama bar tu
Kitu kibaya sana
Nenda na bebezSawa hilo la majina tumeliona me naomba kazi kwa lodge yako unayotarajia kuifungua.
Thank youNimeenda hapo mara 2 mkuu na mara zote sikuwahi kusikia mziki wa makelele.
Pana utulivu sana na mara ya kwanza kufika hapo nilikuta wachina wamekaa wanafnya kazi zao kwenye laptops.
Tuombe uzima inshallah🙏.Sawa hilo la majina tumeliona me naomba kazi kwa lodge yako unayotarajia kuifungua.
Nilitaka kusema nenda na bebez nikakosea nikasema nenda bebez pole jiraniJirani vipi tena!?
Mbona unanipeperushia my future employee☹️
Kwa mfano ufasaha wa jina limoja type mfano!!baadhi ya majina kama ameyaandika kwa ufasaha wa wahusika hayawezi mletea shida kweli..?
wanasheria mnasemaje hapa..?
Yaan ww ni taka taka sana ,ulkua hauna kazi unayo Fanya ukapoteza muda kufanya research Tena ya kijinga?Nb: picha nilipiga kwa kujiiba ndo mana sio nzuri na sijaweza kupiga vyumba vyote
NB;Video hapo chini ni kwa hisani ya mwana JF aliyeenda alafaya
View attachment 3169817