Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwann uongeleeInteresting kwamba umeona hapo tu
Hao ni wale wa uswahilini nawaongelea wale rich mimi!Vipi yale malesbians yalokomaa kama maroboti
Hamfikii huyo joan joan ana sura tamu mpaka rahaaHata Martha ni mrembo sana
Na Harmonize anajiita Bakhtesa na hawezi kushitakiwaKama wameyasajili kama majina ya kampuni au biashara. Ndio maana Diamond anajiita Dangote lakini hatumii kama brand name
Siku hizi ameachaHarmonize anajiita Bakhtesa
Navipenda viharage ndo maana 😉😊VIBEANS
Unapenda kudharau wakubwa zako 😏Niache we mtoto
Mi itabidi nijaribu nione km kweli, wengine kina Tomaso hatuamini mpk tushike 😹😹Huyo Martha hayuko sawa kisaikolojia hata mama yake kasema ilo huo upuuzi haiwezi kunoga kuliko dushe.
KumbeSiku hizi ameacha
Better than pleatsNavipenda viharage ndo maana 😉😊
😀😀😀😹😹😹 shemeji tumchinje xmass sis.!
Waambie wakupe lipa namba au bank account tulipe asitutie aibu.!! 🤣
Nimecheka hapo kwa Zari halafu Diamond wako kakumbia lol.!! 😹
Nimekugongea dislike kwa mara ya kwanza leo😭😭Mi itabidi nijaribu nione km kweli, wengine kina Tomaso hatuamini mpk tushike 😹😹
Yani mpk ndoa kavunja kisa kugusanisha vibeans.!! Awww lazima nijaribu 🤣🤣
😹😹😹😀😀😀
Acha tu kwenye pochi nina vitendea kazi tu yaani wanja na lipstic tu.Nakutumia no soon
Nakuzingua bana na shemeji yako namuachia nani kwa mfano?? 😹😹😹Nimekugongea dislike kwa mara ya kwanza leo😭😭
Kyeleuwiiiiiiiiii uwiiiiiii please dont try that mdogo wangu kipenzi🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Uwiiiii .
Joannah kuna kikao cha dharura usiku huu popote ulipo
Umenirusha roho nimejisikia vibaya ila pia nilihisi unanizingua ulivyo mrembo kisa gani ufanye huo uchafuNakuzingua bana na shemeji yako namuachia nani kwa mfano?? 😹😹😹
Kumbe unanipenda 🤣
Aiseee siwezi sis hata kujaribu sifikirii bana.!
Kuwa na amani
😹😹🤣🤣Umenirusha roho nimejisikia vibaya ila pia nilihisi unanizingua ulivyo mrembo kisa gani ufanye huo uchafu